Wananchi Wakiamua Kupuuza jambo hata mkitumia nini haitasaidia Chochote

Kamuokoe Kwanza Mbowe. Lisu kamkalia kooni
 
Kwanini wasihamishie hiyo Mechi Dodoma kama wanavyohamishia mechi zingine nchi jirani ya Zanzibar?
Ninaimani kama Dodoma pangekuwa na uwanja mkubwa kama uliopo kisiwani basi ingekuwa rahisi kutimiza wazo lako mkuu.

Hapo napata hoja kutoka kwako kuwa, kwanini viwanja vya mpira vya kisasa vyenye hadhi ya kimataifa havikujengwa bara ambapo ligi ni maarufu na yenye hadhi na vikajengwe kule? Ambapo ligi yake hatuioni kama inashawishi kuwekeza kwa huo ukubwa

Hapo ningepata maswali zaidi mkuu.
 
Tuache kuangalia game sababu ya watu wachache wasioeleweka
Siku watawala na wagombea kiti wakikaa chini na kutathimini viongozi Bora na kuruhusu washike madaraka achiliambali vyama na wale wababaishaji kuwekwa kando basi nitaanza rasmi kujihusisha na mambo ya kisiasa lakini huu utaratibu wa kihistoria na Nani alifanyanini, hawa wezi hawakufanya hiki unatuvunja Sana moyo Sisi kizazi kipya kujihusisha na mambo ya kisiasa.
 
Kilichopo hapa Dom nilichokiona kwa macho yangu mawili ni wingi wa malaya na upungufu mkubwa wa condoms
 
 
LISSU anapewa attention kuliko mkutano mzima wa ccm you tube imeongeza watumiaji Tanzania kwasababu ya LISSU na sio Malaya 3000 walioko dodoma week hii.
 
Ccm mbele kwa mbele, unaijua ile coras?
 
Shauri yako

Mwokoe Boss wako Gaidi Freman
Nyie mmatrend kwa kutukanana na kupigana vyooni sio🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…