fahad singh
JF-Expert Member
- Aug 3, 2013
- 207
- 490
Rostam Aziz alikuwepo pia awamu ya jiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SidhaniMungu analipenda sana Taifa letu.
Tutapata mtu sahihi tena.
TRA wameacha kutangaza makusanyo ya kila mwezi.
Hali ni mbaya mno.
Utaishia kuwa mjinga kila siku.,Wanafanya hivyo kwa kuwa figure za kila mwezi ni rahisi kushitukiwa kuwa makisanyo yamepungua.
Ila wakijumuisha na kutoa kwa pamoja haitashitua sana.
Ni mbinu ndogo tu ambayo inafanya kazi kwako.
Serikali haijaacha kutangaza bali imebadili utaratibu,inatangaza Kila robo..Hiyo ya TRA, kuacha kutangaza makusanyo ni toka kipindi cha dhalimu, na hata walipokuwa wakitangaza sehemu kubwa ilikuwa ni data za kupika. Usidhani tumesahau. Tena wakati ule dhalimu alipoacha kutangaza mapato ya kila mwezi, kulianzishwa hadi uzi wa kumnanga hapa jukwaani. Hivyo leta porojo nyingine kuhusu bibi ushungi na sio hili.
Historia ina tabia ya kujirudia unless juhudi za makusudi zimechukuliwa kuhakikisha haijirudii.
Kawaambie wamachinga wanaolalamika kusumbuliwa na wagambo.Tuache malalamiko tufanye kazi!
Serikali haijaacha kutangaza bali imebadili utaratibu,inatangaza Kila robo..
Hata sasa ukiingia tovuti ya TRA utazikita Takwimu..
Serikali ya Sasa ina pesa ndefu haina sababu za kupika Takwimu.
Sasa hivi tuweke tozo ya nini ili tuongeze pesa zaidi?Serikali haijaacha kutangaza bali imebadili utaratibu,inatangaza Kila robo..
Hata sasa ukiingia tovuti ya TRA utazikita Takwimu..
Serikali ya Sasa ina pesa ndefu haina sababu za kupika Takwimu.
Labda kwakuwa zote ni even numbersUkiangalia mfumo wa uongozi wa awamu ya sita na nne vinafanana sana. (Makusanyo hafifu ya kodi na gharama kubwa za maisha kwa wananchi kwa manufaa ya wafanaya biashara, huduma mbovu za sekta ya umma).
Za uhakika utazitoa wapi?Mkuu mimi siamini sana habari za serikali ya CCM, nyingi zina propaganda ndani yake.
Tunaongea tozo kwenye vinywaji vikali na sigara,tozo kwenye kubeti na tozo kwenye mitandao ya Kimataifa ya kijamii kama Twitter,google nk..Sasa hivi tuweke tozo ya nini ili tuongeze pesa zaidi?
Mkuu mimi siamini sana habari za serikali ya CCM, nyingi zina propaganda ndani yake.
Za uhakika utazitoa wapi?
Umeanza utoto,unaweza thibitisha kwamba ni za kupika?Hata kama nitakosa za uhakika, haimaanishi niamini za kupika.
Acheni uongo.mama Yuko vzr mnoo kuliko rais yyt kupata kutokeaUkiangalia mfumo wa uongozi wa awamu ya sita na nne vinafanana sana. (Makusanyo hafifu ya kodi na gharama kubwa za maisha kwa wananchi kwa manufaa ya wafanaya biashara, huduma mbovu za sekta ya umma).
Viongozi waliokuwa awamu ya nne katika mashirika ya umma na taasisi nyingine wamerejea kwenye nafsi zao awamu hii ya nne. ( Kinana, Makamba, Nehemia Mchechu)
Baadhi ya mambo yaliyopewa kipaumbele awamu ya nne yamerejea tena kwa kasi awamu ya sita.( Mfano uuzwaji wa wanyama pori na mbuga za wanyama)
Marafiki na wadau wa awamu ya nne ndio hao wenye nafasi awamu hii ya sita. (Mfano Rostam Aziz).
Sasa tunashindwa kuelewa kama tumerejea awamu ya nne au ni awamu ya sita iliyoboresha ya awamu ya nne.
Tuna kila sababu ya kuiona awamu ya sita na sio kuiona awamu ya nne katika awamu ya sita au kuiona awamu ya sita iliyoboresha awamu ya nne.
Chawa wa marehemu Meko.Yeye alishamaliza alichotumwa kufanya.
Wewe umebaki halafu bado huna mchango wowote kwa Taifa lako hasara tu.