Wananchi wamechanganyikiwa hawatambui kama wapo awamu ya Nne au ya Sita

Wananchi wamechanganyikiwa hawatambui kama wapo awamu ya Nne au ya Sita

Sisi wengine tulichanganywa zaidi na awamu ya tano kwa kurudishwa enzi za akina Nyungu ya mawe, Isike na Kinjikitile Ngwale!
 
Ndugu zangu tukubali kazi ya Mungu haina makosa. Ndo imeisha hiyo!

Ambao hatutaki mambo ya awamu ya 5 yajirudie tena katu abadani, tuseme Ameen!
Yaani wale watu ambao JAMII YA WATANZANIA IMEWAKATAA ndio Samia anawaamini na kuwatuma kwenye Jamii ambayo imewakataa.

KWANINI watu wasipate mashaka naye.

Samia anapingwa kutokana na maamuzi mabaya aliyoyafanya.

Kuwa karibu na watu ambao tayari Jamii ilishajenga mashaka nao.
 
Ulimaliza darasa la saba? Hiyo question mark maana yake ni nini?

Katika vitu sikosei ni uandishi wangu, nafahamu vyema matumizi ya koma, nukta, herufi kubwa na ndogo, na wapi zitumike. Nilichokiandika sijakiandika kwa bahati mbaya, inshort ni jibu lililo katika mfumo wa swali. Subiri vilaza ndio uwatishie, sio hii id boss.
 
Ndio maana nakwambia wewe ni mjinga Sana, toka lini Samia alivyoingia TRA ikatangaza mapato Kila mwezi? Huwa wanatangaza Kila robo kwa hiyo robo ya 4 subiria mwezi wa 8 kama tuu wanavyofanya Tamisemi..

Mataahira wa Mwendazake mkiona hivi mnachanganyikiwa kabisaa, mama kaongeza mapato kutoka Til.1.3 kwa mwezi hadi Til.1.8 kwa mwezi..[emoji116]
We fala uzi wa vita vya ukraine umekushindaa...umepigwaa za uso na pro russia..unakuja na hukuu utapigwaa na matako huku..shwain ww
 
We fala uzi wa vita vya ukraine umekushindaa...umepigwaa za uso na pro russia..unakuja na hukuu utapigwaa na matako huku..shwain ww
😆😆👇👇
 

Attachments

  • FB_IMG_16534737002578898.jpg
    FB_IMG_16534737002578898.jpg
    87.5 KB · Views: 8
Tulikuonya kwamba CCM ina wenyewe lakini ukaleta dharau na kiburi , sasa utaisoma namba , MNAFIKI MKUBWA WE !!

Unamlilia nani sasa ?
 
Ukiangalia mfumo wa uongozi wa awamu ya sita na nne vinafanana sana. (Makusanyo hafifu ya kodi na gharama kubwa za maisha kwa wananchi kwa manufaa ya wafanaya biashara, huduma mbovu za sekta ya umma).

Viongozi waliokuwa awamu ya nne katika mashirika ya umma na taasisi nyingine wamerejea kwenye nafsi zao awamu hii ya nne./ Sita( Kinana, Makamba, Nehemia Mchechu)

Baadhi ya mambo yaliyopewa kipaumbele awamu ya nne yamerejea tena kwa kasi awamu ya sita.( Mfano uuzwaji wa wanyama pori na mbuga za wanyama)

Marafiki na wadau wa awamu ya nne ndio hao wenye nafasi awamu hii ya sita. (Mfano Rostam Aziz).

Sasa tunashindwa kuelewa kama tumerejea awamu ya nne au ni awamu ya sita iliyoboresha ya awamu ya nne.

Tuna kila sababu ya kuiona awamu ya sita na sio kuiona awamu ya nne katika awamu ya sita au kuiona awamu ya sita iliyoboresha awamu ya nne.
Ni Bora ambeayeaye
 
Ukiangalia mfumo wa uongozi wa awamu ya sita na nne vinafanana sana. (Makusanyo hafifu ya kodi na gharama kubwa za maisha kwa wananchi kwa manufaa ya wafanaya biashara, huduma mbovu za sekta ya umma).

Viongozi waliokuwa awamu ya nne katika mashirika ya umma na taasisi nyingine wamerejea kwenye nafsi zao awamu hii ya nne./ Sita( Kinana, Makamba, Nehemia Mchechu)

Baadhi ya mambo yaliyopewa kipaumbele awamu ya nne yamerejea tena kwa kasi awamu ya sita.( Mfano uuzwaji wa wanyama pori na mbuga za wanyama)

Marafiki na wadau wa awamu ya nne ndio hao wenye nafasi awamu hii ya sita. (Mfano Rostam Aziz).

Sasa tunashindwa kuelewa kama tumerejea awamu ya nne au ni awamu ya sita iliyoboresha ya awamu ya nne.

Tuna kila sababu ya kuiona awamu ya sita na sio kuiona awamu ya nne katika awamu ya sita au kuiona awamu ya sita iliyoboresha awamu ya nne.
Ni ujinga mtupu kujiuliza upo awamu gani badala ya kufanya kazi zaidi uongeze kipato.
 
Ukiangalia mfumo wa uongozi wa awamu ya sita na nne vinafanana sana. (Makusanyo hafifu ya kodi na gharama kubwa za maisha kwa wananchi kwa manufaa ya wafanaya biashara, huduma mbovu za sekta ya umma).

Viongozi waliokuwa awamu ya nne katika mashirika ya umma na taasisi nyingine wamerejea kwenye nafsi zao awamu hii ya nne./ Sita( Kinana, Makamba, Nehemia Mchechu)

Baadhi ya mambo yaliyopewa kipaumbele awamu ya nne yamerejea tena kwa kasi awamu ya sita.( Mfano uuzwaji wa wanyama pori na mbuga za wanyama)

Marafiki na wadau wa awamu ya nne ndio hao wenye nafasi awamu hii ya sita. (Mfano Rostam Aziz).

Sasa tunashindwa kuelewa kama tumerejea awamu ya nne au ni awamu ya sita iliyoboresha ya awamu ya nne.

Tuna kila sababu ya kuiona awamu ya sita na sio kuiona awamu ya nne katika awamu ya sita au kuiona awamu ya sita iliyoboresha awamu ya nne.
Tatizo ni CCM! Sasa hemu tusaidiane way forward.
 
Back
Top Bottom