ummumuhammad
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 796
- 697
😁😁😁MUNGU ni MWEMA sana kwa kulifyeka dikteta March 2021.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁MUNGU ni MWEMA sana kwa kulifyeka dikteta March 2021.
Waache wajidanganye tu, Rostam alikuwepo awamu ya tano tena kwa sana tu. Walijaribu kumpiga na chini lakini jamaa akadunda kama mpira.Rostam Aziz alikuwepo pia awamu ya jiwe
Yaani wale watu ambao JAMII YA WATANZANIA IMEWAKATAA ndio Samia anawaamini na kuwatuma kwenye Jamii ambayo imewakataa.Ndugu zangu tukubali kazi ya Mungu haina makosa. Ndo imeisha hiyo!
Ambao hatutaki mambo ya awamu ya 5 yajirudie tena katu abadani, tuseme Ameen!
Umeanza utoto,unaweza thibitisha kwamba ni za kupika?
Ulimaliza darasa la saba? Hiyo question mark maana yake ni nini?Unauliza au unapigia jibu mstari?
Ulimaliza darasa la saba? Hiyo question mark maana yake ni nini?
Mmeanza useju sio ebu achen ujingalaUlimaliza darasa la saba? Hiyo question mark maana yake ni nini?
We fala uzi wa vita vya ukraine umekushindaa...umepigwaa za uso na pro russia..unakuja na hukuu utapigwaa na matako huku..shwain wwNdio maana nakwambia wewe ni mjinga Sana, toka lini Samia alivyoingia TRA ikatangaza mapato Kila mwezi? Huwa wanatangaza Kila robo kwa hiyo robo ya 4 subiria mwezi wa 8 kama tuu wanavyofanya Tamisemi..
Mataahira wa Mwendazake mkiona hivi mnachanganyikiwa kabisaa, mama kaongeza mapato kutoka Til.1.3 kwa mwezi hadi Til.1.8 kwa mwezi..[emoji116]
😆😆👇👇We fala uzi wa vita vya ukraine umekushindaa...umepigwaa za uso na pro russia..unakuja na hukuu utapigwaa na matako huku..shwain ww
Ni Bora ambeayeayeUkiangalia mfumo wa uongozi wa awamu ya sita na nne vinafanana sana. (Makusanyo hafifu ya kodi na gharama kubwa za maisha kwa wananchi kwa manufaa ya wafanaya biashara, huduma mbovu za sekta ya umma).
Viongozi waliokuwa awamu ya nne katika mashirika ya umma na taasisi nyingine wamerejea kwenye nafsi zao awamu hii ya nne./ Sita( Kinana, Makamba, Nehemia Mchechu)
Baadhi ya mambo yaliyopewa kipaumbele awamu ya nne yamerejea tena kwa kasi awamu ya sita.( Mfano uuzwaji wa wanyama pori na mbuga za wanyama)
Marafiki na wadau wa awamu ya nne ndio hao wenye nafasi awamu hii ya sita. (Mfano Rostam Aziz).
Sasa tunashindwa kuelewa kama tumerejea awamu ya nne au ni awamu ya sita iliyoboresha ya awamu ya nne.
Tuna kila sababu ya kuiona awamu ya sita na sio kuiona awamu ya nne katika awamu ya sita au kuiona awamu ya sita iliyoboresha awamu ya nne.
Ni ujinga mtupu kujiuliza upo awamu gani badala ya kufanya kazi zaidi uongeze kipato.Ukiangalia mfumo wa uongozi wa awamu ya sita na nne vinafanana sana. (Makusanyo hafifu ya kodi na gharama kubwa za maisha kwa wananchi kwa manufaa ya wafanaya biashara, huduma mbovu za sekta ya umma).
Viongozi waliokuwa awamu ya nne katika mashirika ya umma na taasisi nyingine wamerejea kwenye nafsi zao awamu hii ya nne./ Sita( Kinana, Makamba, Nehemia Mchechu)
Baadhi ya mambo yaliyopewa kipaumbele awamu ya nne yamerejea tena kwa kasi awamu ya sita.( Mfano uuzwaji wa wanyama pori na mbuga za wanyama)
Marafiki na wadau wa awamu ya nne ndio hao wenye nafasi awamu hii ya sita. (Mfano Rostam Aziz).
Sasa tunashindwa kuelewa kama tumerejea awamu ya nne au ni awamu ya sita iliyoboresha ya awamu ya nne.
Tuna kila sababu ya kuiona awamu ya sita na sio kuiona awamu ya nne katika awamu ya sita au kuiona awamu ya sita iliyoboresha awamu ya nne.
Tatizo ni CCM! Sasa hemu tusaidiane way forward.Ukiangalia mfumo wa uongozi wa awamu ya sita na nne vinafanana sana. (Makusanyo hafifu ya kodi na gharama kubwa za maisha kwa wananchi kwa manufaa ya wafanaya biashara, huduma mbovu za sekta ya umma).
Viongozi waliokuwa awamu ya nne katika mashirika ya umma na taasisi nyingine wamerejea kwenye nafsi zao awamu hii ya nne./ Sita( Kinana, Makamba, Nehemia Mchechu)
Baadhi ya mambo yaliyopewa kipaumbele awamu ya nne yamerejea tena kwa kasi awamu ya sita.( Mfano uuzwaji wa wanyama pori na mbuga za wanyama)
Marafiki na wadau wa awamu ya nne ndio hao wenye nafasi awamu hii ya sita. (Mfano Rostam Aziz).
Sasa tunashindwa kuelewa kama tumerejea awamu ya nne au ni awamu ya sita iliyoboresha ya awamu ya nne.
Tuna kila sababu ya kuiona awamu ya sita na sio kuiona awamu ya nne katika awamu ya sita au kuiona awamu ya sita iliyoboresha awamu ya nne.
Mkuu njoo lindi huku tupambaneKazi zipi hizo ambazo wakubwa na watoto wao wamezichukua tayari??