Wananchi wanaomjua Hamza wanasema alikuwa mtu mzuri, mwana CCM kindakindaki na Mmiliki wa mgodi

Wananchi wanaomjua Hamza wanasema alikuwa mtu mzuri, mwana CCM kindakindaki na Mmiliki wa mgodi

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Polisi wametoa ripoti kuwa Hamza hakuwa mmiliki wa mgodi, lakini wananchi wanaomjua huko Chunya mkoani Mbeya, wanasema alikuwa ni mmiliki wa mgodi na alitoa ajira kwa baadhi ya watu katika mgodi huo.

Hii ripoti ya Polisi dhidi ya Hamza haina credibility yoyote, kwa sababu haiwezekani chombo chenye ugomvi na mtu eti kiwe ndo chenye kuchunguza ugomvi huo, lazima kitajipendelea tu.

Video ya wananchi wanavyomzungumzia Hamza hii hapa chini:

 
Uchunguz wako wa kupata hizo taarfa umefanyia wap
Tukubali kuwa, nchi yetu imekwisha, inaendeshwa na wahuni wahuni hivi, malaya malaya hivi; kweli tunakoelekea hatukujui. Nyeupe inakuwa nyeusi na nyeusi inasemwa ndiyo nyeupe. Hakuna ethics kabisa juu hadi chini. Angalia huyu mwanakijiji anavyoongea ukweli lakini huko serikalini uozo, na uongo ni chakula yao.

Kwa nini? Ati ccm itawale. Nani ataamini kuwa mbowe amesweka ndani kwa ugaidi? Kama iq yako ipo chini ya iq ya kuku basi utaamini; 2+2 = 4

Mwisho wa tanzania huo.
 
Polisi kuchunguza kesi ya Hamza ni kielelezo cha umbumbumbu wa serikali na watu wake.

Kuna kitu kinaitwa 'conflict of interest'. Kwenye kesi hii, jeshi la polisi lilikuwa mgongano wa maslahi. Hakukuwa na uchunguzi pale. Vyovyote iwavyo lazima wangetoa majibu waliyoyatoa.
 
Hao walimfahamu tu. Kumjua mtu ni kitu kigumu sana. Ila kumfahamu ni kitu rahisi tu.
 
Back
Top Bottom