Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mahakama inatafasiri sheriamahakama inasoma tu,ila wanaopeleka ushahudi ni polisi hao hao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahakama inatafasiri sheriamahakama inasoma tu,ila wanaopeleka ushahudi ni polisi hao hao.
sheria ni maandishi tu.ndio maana ikawewa rufaa.maana si kila wakati inatoa hukumu sahihi.Mahakama inatafasiri sheria
Sawa mkuusheria ni maandishi tu.ndio maana ikawewa rufaa.maana si kila wakati inatoa hukumu sahihi.
Umeanza vile vijembejembe vyako.Hata Bavicha wanasema hivyo hivyo kuhusu Mbowe
Tuache vyombo vya usalama vifanye kazi yake!
Hivi huwa mnafikiri kwa kutumia funza badala ya akili?Yaani vyombo vya usalama vijichunguze vyenyewe?!Hata Bavicha wanasema hivyo hivyo kuhusu Mbowe
Tuache vyombo vya usalama vifanye kazi yake!
Kwani haiwezekani au mbege imekuganda ubingoni?!!Hivi huwa mnafikiri kwa kutumia funza badala ya akili?Yaani vyombo vya usalama vijichunguze vyenyewe?!
Ulichoandika hapo kimedefine uwezo wako wa akili.Ushauri wangu kwako ni kwamba JF siyo uwanja wako wa kuja kufanya maonyesho ya ujinga.Kwani haiwezekani au mbege imekuganda ubingoni?!!
Hahahaaaa....... Endelea kukariri!Ulichoandika hapo kimedefine uwezo wako wa akili.Ushauri wangu kwako ni kwamba JF siyo uwanja wako wa kuja kufanya maonyesho ya ujinga.
Mwenyekiti anatuhumiwa!!...Huyu Hamza tayari vyombo vya ulinzi vimetoa taarifa ni Gaidi!!.. Lakini alikua anafadhiri chama flani cha siasa!!... Usijifanye huna akili Kwa ujinga huu!!..gaidi hafugwi,maana kutambulika ni ngumu.
si unaona mwenyekiti!!!
Mahakamani ni Sheria,ushahidi unaweza kuwepo lakini haukidhi!!!...mahakama inasoma tu,ila wanaopeleka ushahudi ni polisi hao hao.
uko verified halafu hata akili hutumii.Mwenyekiti anatuhumiwa!!...Huyu Hamza tayari vyombo vya ulinzi vimetoa taarifa ni Gaidi!!.. Lakini alikua anafadhiri chama flani cha siasa!!... Usijifanye huna akili Kwa ujinga huu!!..
sheria inasubiri ushahidi ili itoe haki.Mahakamani ni Sheria,ushahidi unaweza kuwepo lakini haukidhi!!!...
Tukubali kuwa, nchi yetu imekwisha, inaendeshwa na wahuni wahuni hivi, malaya malaya hivi; kweli tunakoelekea hatukujui. Nyeupe inakuwa nyeusi na nyeusi inasemwa ndiyo nyeupe. Hakuna ethics kabisa juu hadi chini. Angalia huyu mwanakijiji anavyoongea ukweli lakini huko serikalini uozo, na uongo ni chakula yao.
Kwa nini? Ati ccm itawale. Nani ataamini kuwa mbowe amesweka ndani kwa ugaidi? Kama iq yako ipo chini ya iq ya kuku basi utaamini; 2+2 = 4
Mwisho wa tanzania huo.
Maswali mengine bana.We huoni hio ni makala watu wanahojiwa tena mbele ya kamera?Huoni kabisa kwamba hakuna mchujo wala uchakachuzi.Huoni walioandaa hii ripoti hawana maslahi yoyte na hamza wala jeshi la polisi?Huoni?Kama huoni umechagua kutokuona.Ila usiulize utafiti umefanyiwa wapi.Kuna siku utatamani ukweli ila hutauonaUchunguz wako wa kupata hizo taarifa umefanyia wapi?
Kwani ukiwa mmiliki wa migodi huwezi kuwa gaidi?Polisi wametoa ripoti kuwa Hamza hakuwa mmiliki wa mgodi, lakini wananchi wanaomjua huko Chunya mkoani Mbeya, wanasema alikuwa ni mmiliki wa mgodi na alitoa ajira kwa baadhi ya watu katika mgodi huo.
Hii ripoti ya Polisi dhidi ya Hamza haina credibility yoyote, kwa sababu haiwezekani chombo chenye ugomvi na mtu eti kiwe ndo chenye kuchunguza ugomvi huo, lazima kitajipendelea tu.
Video ya wananchi wanavyomzungumzia Hamza hii hapa chini:
View attachment 1921691