Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Tukubali kuwa, nchi yetu imekwisha, inaendeshwa na wahuni wahuni hivi, malaya malaya hivi; kweli tunakoelekea hatukujui. Nyeupe inakuwa nyeusi na nyeusi inasemwa ndiyo nyeupe. Hakuna ethics kabisa juu hadi chini. Angalia huyu mwanakijiji anavyoongea ukweli lakini huko serikalini uozo, na uongo ni chakula yao.Uchunguz wako wa kupata hizo taarfa umefanyia wap
Kwani kijani wao wanasemaji? Wao siwamesema ni gaidi, au nakosea JohnHata Bavicha wanasema hivyo hivyo kuhusu Mbowe
Tuache vyombo vya usalama vifanye kazi yake!
Sasa ukipuuza ndio hamza anakuwa sio gaidi!Polisi wetu ni hawana credibility wala weledi. Ni wa kupuuzwa. Uchunguzi ufanywe na chombo kingine.
Kwani Polisi Wamefanya Wapi?Uchunguz wako wa kupata hizo taarfa umefanyia wap
Yule alikuwa kada wao mtiifu, ila kumbe alikuwa gaidi pia. Sasa waseme nini?Kwani kijani wao wanasemaji? Wao siwamesema ni gaidi, au nakosea John
Basi wamezeeka kama wameanza kuwaangua hao.yuke alikuwa kada wao mtiifu, ila kumne alikuwa gaidi pia.sasa waseme nini?
Waite koleo ni kijiko kikubwa!!!!!
NDIOsasa ukipuuza ndio hamza anakuwa sio gaidi!!
Unaona kuna vyombo vya usalama hiyo nchi? Kuna vyombo vya usalama wa mama Samia na CCM siyo vinginevyoHata Bavicha wanasema hivyo hivyo kuhusu Mbowe
Tuache vyombo vya usalama vifanye kazi yake!
Polisi ni watuhumiwa lakini wao ndiyo wanafanya uchunguziPolisi wetu ni hawana credibility wala weledi. Ni wa kupuuzwa. Uchunguzi ufanywe na chombo kingine.
CCM wanafuga magaidiyuke alikuwa kada wao mtiifu,ila kumne alikuwa gaidi pia.sasa waseme nini??
waite koleo ni kijiko kikubwa!!!!!
gaidi hafugwi,maana kutambulika ni ngumu.CCM wanafuga magaidi
Mahakama bado haijamkuta na hatiagaidi hafugwi,maana kutambulika ni ngumu.
si unaona mwenyekiti!!!
mahakama inasoma tu,ila wanaopeleka ushahudi ni polisi hao hao.Mahakama bado haijamkuta na hatia