Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wananch ni wana chadema
Tunaendelea kuwatafuta wasiotaka katiba mpya. Ni watu wasiojulikana.
Leo utapokea buku 10. Maana ule uzi wa kwanza buku 5 na huu wa sasa hivi 5 = jumla 10. Pambana mkuu ili angalau leo familia ile kuku badala ya kula dagaa kila siku. Siku hizi uanaharakati unalipa sana, ndo maana siajabu kumkuta chawa mmoja ana IDs zaidi ya tano. Endeleeni kupambania matumbo yenu huku wenye akili tukiendelea kuzichora fikra zenu.
View attachment 2181780
wezi na mafisadi aka ccm na wachumia tumbo ndo hawaitaki katiba mpyaWananchi kwa tafsiri sahihi wanataka katiba mpya sasa:
View attachment 2181747
Enyi kina Zitto na wenye kujitanabaisha kuwa katiba mpya si kipaumbele mna mwakilisha nani?
View attachment 2181751
Hekima ipi mpewe na nani nyie?
Au ndiyo la kuvunda?
Walio tayari waendeleze mapambano, hao wengine watajiunga mbele ya safari kama wakiona kuna umuhimu wa kufanya hivyo, ila wayakumbuke hayo maneno ya Warioba.
Cc: Ndege DudumiziKuna vijana wa uvccm na wapo wale hoyahoya wanaolipwa. Hao ndio tatizo kubwa sana kuliko hata viongozi wenyewe
wezi na mafisadi aka ccm na wachumia tumbo ndo hawaitaki katiba mpya
Kuna waoga flan wako ccm ndiyo ambao hawataki katiba mpya. Na ukiwauliza kwann hawataki hawana sababu. Aliyendika katiba iliyopo Mh. Msekwa anasema tunahitaji katiba mpya lakini hawa wapambe wa Lumumba ndiyo wanajifanya hawataki katiba mpyaWananchi kwa tafsiri sahihi wanataka katiba mpya sasa:
View attachment 2181747
Enyi kina Zitto na wenye kujitanabaisha kuwa katiba mpya si kipaumbele mna mwakilisha nani?
View attachment 2181751
Hekima ipi mpewe na nani nyie?
Au ndiyo la kuvunda?
Kuna waoga flan wako ccm ndiyo ambao hawataki katiba mpya. Na ukiwauliza kwann hawataki hawana sababu. Aliyendika katiba iliyopo Mh. Msekwa anasema tunahitaji katiba mpya lakini hawa wapambe wa Lumumba ndiyo wanajifanya hawataki katiba mpya
Ukweki ni kwamba wananchi tunataka katiba mpya, sema vyama vya siasa vinatuvuruga, kuna katiba ambazo wao wanazitaka.