Wananchi wanataka katiba mpya sasa wasiotaka kina nani?

Wananchi wanataka katiba mpya sasa wasiotaka kina nani?

katiba mpya lazima iwe na kipengere cha kumshaki raisi na uwezo wa bunge wa kupiga kura ys isiyo na imani na waziri mkuu au raisi. sasa huyu warioba hajui hilo? kwa nini jambo zuri kama hilo alilikwepa na kusisitiza wananchi wanataka serikali ya tanganyika na serikali tatu?

kumbuka 81% ya watanzania ni darasa la saba hivyo kusaka maoni kwao ya katiba ni sawa na kumpatia refa ukocha wa taifa star. mwanasheria mmoja tuu anathamani ya kuunda katiba kuliko maoni ya wananchi milion hamsini wasio na elimu ya secondari. hivyo lazima tuwe makini sana . Ben Gurion na washing ton waliunda katiba nzuri za mataifa yao bila michakato wala kusaka maoni ya wananchi' waliwatumia wanasheria , viongozi wa dini na wakufunzi wa vyuo vikuu tuu.

Uhuru wa mihimili ni muhimu sana.

Pakistan Waziri mkuu kuona kura ya kukosa imani yaja, kakimbilia kulivunja bunge.

Mahakama imekomaa, mchezo hauendi hivyo.

Hakuna almighty au mwenye kujichimbia zaidi. Nchi ni mali za wananchi.
 
Uhuru wa mihimili ni muhimu sana.

Pakistan Waziri mkuu kuona kura ya kukosa imani yaja, kakimbilia kulivunja bunge.

Mahakama imekomaa, mchezo hauendi hivyo.

Hakuna almighty au mwenye kujichimbia zaidi. Nchi ni mali za wananchi.
Katiba Mpya itamoa uhuru hata Rais.
 
Ukweki ni kwamba wananchi tunataka katiba mpya, sema vyama vya siasa vinatuvuruga, kuna katiba ambazo wao wanazitaka.
Chadema wameshaweka wazi wanahitaji katiba ya wananchi chini ya Warioba.

Hao wengine wanataka ipi?
 
Inafahamika CCM wanataka katiba ya 1977 idumu milele. Kwani wengine wanataka ipi mkuu?
Nadhani unafahamu kulikua na mchakato wa katiba ya Warioba, kama ukifanikiwa kujua kwa nini haukutufikia wananchi tupige kura, unaweza kujua hao wengine na wanachokitaka. Inshort,kila chama kinataka katiba itakayokua rafiki kwake na sio rafiki kwa watanzania.
 
Inafahamika CCM wanataka katiba ya 1977 idumu milele. Kwani wengine wanataka ipi mkuu?
Nadhani unafahamu kulikua na mchakato wa katiba ya Warioba. Kama ukifanikiwa kujua kwa nini haukutufikia wananchi tupige kura, unaweza kujua hao wengine na wanachokitaka. Inshort,kila chama kinataka katiba itakayokua rafiki kwake na sio rafiki kwa watanzania.
 
Nadhani unafahamu kulikua na mchakato wa katiba ya Warioba, kama ukifanikiwa kujua kwa nini haukutufikia wananchi tupige kura, unaweza kujua hao wengine na wanachokitaka. Inshort,kila chama kinataka katiba itakayokua rafiki kwake na sio rafiki kwa watanzania.

Utakuwa unachanganya madawa mkuu. Wananchi tunataka katiba ya Warioba.

Mzozo uliotokea baina ya ukawa na CCM ni kuwa kama ilivyo kwa wananchi, ukawa walisimama na katiba ya Warioba.

Kipi zaidi ya maneno ya mzee Warioba:

IMG_20220409_164601_301.jpg


IMG_20220409_164634_543.jpg
 
Utakuwa unachanganya madawa mkuu. Wananchi tunataka katiba ya Warioba.

Mzozo uliotokea baina ya ukawa na CCM ni kuwa kama ilivyo kwa wananchi, ukawa walisimama na katiba ya Warioba.

Kipi zaidi ya maneno ya mzee Warioba:

View attachment 2182042

View attachment 2182049
Kwanza mkuu huu ni mtazamo wangu sio lazima ukubaliane nao. Ninavyofahamu katiba ilitakiwa ije, tuelimishwe na kisha tuipigie kura ya kukubali au kukataa. Ila hao uliowataja wakaamua kugombana na mwisho kuuzika ule mchakato. Inawezekana rasimu haikuweka utaratibu mzuri wakuipitisha ndio maana kulitokea kutoaminiana kwa hao wahusika.
 
Chadema wameshaweka wazi wanahitaji katiba ya wananchi chini ya Warioba.

Hao wengine wanataka ipi?
Huo uchama ndio uliopelekea mchakato kugota. Unaweza kuniambia kwanini waligoma!?
 
Kwanza mkuu huu ni mtazamo wangu sio lazima ukubaliane nao. Ninavyofahamu katiba ilitakiwa ije, tuelimishwe na kisha tuipigie kura ya kukubali au kukataa. Ila hao uliowataja wakaamua kugombana na mwisho kuuzika ule mchakato. Inawezekana rasimu haikuweka utaratibu mzuri wakuipitisha ndio maana kulitokea kutoaminiana kwa hao wahusika.

Kugombana ni choice ya maneno kuelezea kilichotokea. Ila kilichotokea ni kuwa CCM walitaka kulazimisha matakwa yao kama yalivyoorodheshwa hapa chini ambayo ukawa hawakukubaliana:

IMG_20220325_185419_284.jpg


Haya yalikuwa ya msingi na ukawa kuyaridhia kwa kulazimishwa kienyeji tu haikuwa sahihi.
 
Wazanzibari wanataka sovereignty. Hizo serikali 3 mnazotaka kaziundeni na Burundi.
 
Wee ndiye unayemlipa Mzee Waryoba buku 5?
Leo utapokea buku 10. Maana ule uzi wa kwanza buku 5 na huu wa sasa hivi 5 = jumla 10. Pambana mkuu ili angalau leo familia ile kuku badala ya kula dagaa kila siku. Siku hizi uanaharakati unalipa sana, ndo maana siajabu kumkuta chawa mmoja ana IDs zaidi ya tano. Endeleeni kupambania matumbo yenu huku wenye akili tukiendelea kuzichora fikra zenu.

View attachment 2181780
 
Kugombana ni choice ya maneno kuelezea kilichotokea. Ila kilichotokea ni kuwa CCM walitaka kulazimisha matakwa yao kama yalivyoorodheshwa hapa chini ambayo ukawa hawakukubaliana:

View attachment 2182101

Haya yalikuwa ya msingi na ukawa kuyaridhia kwa kulazimishwa kienyeji tu haikuwa sahihi.
Sawa. Unadhani wananchi tungeelekezwa tukaikataa isingekua message tosha kwa wanaochomekea vitu vyao!? Hivi unadhani hao CCM wangeamua jambo lao kwa wakati huo wangeshindwa!? Kumbuka wao ndio waliokua katika dola na wakaruhusu huo mchakato uanze. Kama yalikua maigizo, basi katiba mpya haikujipambanua vizuri namna itakavyopitishwa ndio maana kukatokea kutoaminiana.
 
Sawa. Unadhani wananchi tungeelekezwa tukaikataa isingekua message tosha kwa wanaochomekea vitu vyao!? Hivi unadhani hao CCM wangeamua jambo lao kwa wakati huo wangeshindwa!? Kumbuka wao ndio waliokua katika dola na wakaruhusu huo mchakato uanze. Kama yalikua maigizo, basi katiba mpya haikujipambanua vizuri namna itakavyopitishwa ndio maana kukatokea kutoaminiana.

Ninaamini unajua walioyaona mapungufu yaliyokuwa yakiingizwa siyo wajinga.

Ninadhani pia UKAWA kwa kuraise objections zao na CCM akakomaa si kuwa ndiyo ilikuwa basi.

Ninadhani unajua aliyesimamisha mchakato huu si ukawa bali CCM.

Ninadhani utakuwa unajua kwanini CCM waligwaya kuendelea mbele na kuamua kama vipi mchakato ufe.
 
Ninaamini unajua walioyaona mapungufu yaliyokuwa yakiingizwa siyo wajinga.

Ninadhani pia UKAWA kwa kuraise objections zao na CCM akakomaa si kuwa ndiyo ilikuwa basi.

Ninadhani unajua aliyesimamisha mchakato huu si ukawa bali CCM.

Ninadhani utakuwa unajua kwanini CCM waligwaya kuendelea mbele na kuamua kama vipi mchakato ufe.
Sawa, ni mtazamo wako siwezi kupinga. Kwangu wote wanashida maana kila mmoja anavutia kamba, amini hata hiyo katiba tungeweza pata bomu la hatari.
 
Sawa, ni mtazamo wako siwezi kupinga. Kwangu wote wanashida maana kila mmoja anavutia kamba, amini hata hiyo katiba tungeweza pata bomu la hatari.

Mmoja anavutia kwa maoni ya wananchi kama yalivyo kwenye rasimu ya Warioba. Huyu havutii kwake, anavutia kwetu ndiyo maana kura ya maoni hailetwi, maana itakuwa sisi dhidi yao.
 
Back
Top Bottom