New Rider
Senior Member
- Jun 29, 2021
- 122
- 258
Kama ulikuwa kwenye mawazo yangu, kwakweli haja kubwa ya watanzania ni maendeleo hasa uchumi wao, kujikwamua kutoka katika wimbi la umaskini,
Lakini wanasiasa kwa tamaa zao za kushika dola na uongozi wa nchi wanapakazia watanzania wanauhitaji mkubwa wa katiba mpya kumbe ni matakwa yao binafsi.
Kenya walipitia mchakato kama huu wa katiba mpya, je, uliwaondolea umaskini wananchi wakenya?! Zaidi ya kuwapa madaraka wanasiasa?! Leo tunaona tena wanasiasa hao hao kwa kutaka madaraka wanakuja na BBI shake hands, wananchi wakawaida wakenya wamebaki na umaskini wao kama mwanzo.
Kwakweli tunachohitaji watanzania ni maendeleo tena maendeleo na uchumi wa mtu mmoja mmoja kumtoa kutoka wimbi la umaskini na sio vinginevyo vinavyo pandikizwa na wanasiasa kwa mgongo wa wananchi.
Watanzania wanataka ajira, wanataka uchumi , wanataka maendeleo full stop!
Lakini wanasiasa kwa tamaa zao za kushika dola na uongozi wa nchi wanapakazia watanzania wanauhitaji mkubwa wa katiba mpya kumbe ni matakwa yao binafsi.
Kenya walipitia mchakato kama huu wa katiba mpya, je, uliwaondolea umaskini wananchi wakenya?! Zaidi ya kuwapa madaraka wanasiasa?! Leo tunaona tena wanasiasa hao hao kwa kutaka madaraka wanakuja na BBI shake hands, wananchi wakawaida wakenya wamebaki na umaskini wao kama mwanzo.
Kwakweli tunachohitaji watanzania ni maendeleo tena maendeleo na uchumi wa mtu mmoja mmoja kumtoa kutoka wimbi la umaskini na sio vinginevyo vinavyo pandikizwa na wanasiasa kwa mgongo wa wananchi.
Watanzania wanataka ajira, wanataka uchumi , wanataka maendeleo full stop!