BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Wapuuzi kama wewe wanaodhani kwamba Katiba mpya ni manufaa kwa wanasiasa tu ni JANGA KUBWA LA Taifa.
Kwa ufinyu wako wa akili ngoja nikueleweshe.
👉🏽 Katiba mpya itahakikisha chaguzi zetu ni HURU na za HAKI.
👉🏽 Watanzania tutakuwa na uhuru na haki ya kuchagua Viongozi tuwatakao bila kuporwa kura zetu kwa kutumia mtutu wa bunduki.
👉🏽 Vyombo vya habari vitakuwa huru na haki ya kufanya kazi zao bila hofu ya kufungiwa, kutekwa na hata kuuawa.
👉🏽 Na huu ujinga wako wa kutumia katiba ya Kenya achana nao kabisa. Katika uchaguzi wa Kenya wa mwaka 2017 taratibu mbali za uchaguzi zilikiukwa na Mahakama Kuu ya Kenya ikatumia vipengele kuyafuta matokeo ya uchaguzi ule na kuitisha uchaguzi mwingine ndani ya siku 60.
Mkuu antimatter pita mtaa huu.
www.jamiiforums.com
Kwa ufinyu wako wa akili ngoja nikueleweshe.
👉🏽 Katiba mpya itahakikisha chaguzi zetu ni HURU na za HAKI.
👉🏽 Watanzania tutakuwa na uhuru na haki ya kuchagua Viongozi tuwatakao bila kuporwa kura zetu kwa kutumia mtutu wa bunduki.
👉🏽 Vyombo vya habari vitakuwa huru na haki ya kufanya kazi zao bila hofu ya kufungiwa, kutekwa na hata kuuawa.
👉🏽 Na huu ujinga wako wa kutumia katiba ya Kenya achana nao kabisa. Katika uchaguzi wa Kenya wa mwaka 2017 taratibu mbali za uchaguzi zilikiukwa na Mahakama Kuu ya Kenya ikatumia vipengele kuyafuta matokeo ya uchaguzi ule na kuitisha uchaguzi mwingine ndani ya siku 60.
Mkuu antimatter pita mtaa huu.
KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)
Mahakama imempa ushindi mwombaji yaani Odinga hivyo uchaguzi umeonekana ulikuwa na kasoro na utarudiwa ndani ya siku sitini. Nchi za Afrika zijifunze hasa Tanzania Hivi punde,Mahakama ya Juu ya Kenya imeridhika na hoja za Umoja wa Vyama vya Upinzani (NASA) kuwa uchaguzi haukufuata Katiba na...
Wewe ni mwana siasa unaye tamani kupata nafasi ktk serikali,au kuteuliwa kupitia katiba mpya ila sisi wananchi tunataka kwanza maendeleo.
Katiba mpya ni MAANDISHI TU angalia Jirani zetu wa kenya kati ya mwaka 2014/2015 waliandika katiba mpya ambayo iliitwa katiba bora haijawahi kutokea! lkn leo hii baada ya miaka 6 wanadai tena katiba ibadilishwe!! lkn wanao taka ni wana siasa ili kurahisisha kushika dola.
sisi wananchi hatutaki kupotoshwa, Mama kwa sasa fanya kazi ya kujenga uchumi wetu ili tujigombowe kutoka kwenye umasikini.