Bila shaka itakua ni wachache wanaonufaika na ulaji, hofu yao ni kama katiba itaboreshwa watakosa ulaji.Huu mfano wa Kenya unatolewa na watu Fulani wasiojielewa. Kenya walitengeza Katiba mpya nzuri, baadaye wakaona hata hiyo nzuri ina upungufu kidogo, wanataka waondoe huo upungufu. Nyie mnakiri mna katiba mbovu lakini kwa vile katiba mpya ya Kenya imeonekana ina mapungufu mnaona kumbe hamna haja ya kutengeneza Katiba yenu kwa vile mpya ya Kenya ina mapungufu. Hizi akili sijui mlipewa za nini?
Maendeleo bila katiba nzuri yapo kweli!!!!Huo ndio ukweli, kwa sasa wanasiasa ndio wanataka katiba mpya kwa lengo lao moja tu tamaa ya kushika DOLA lakini sisi wananchi kwa sasa tunataka maendeleo kwanza, tunataka maisha yetu duni ya kimasikini yakwamuliwe, kwa sasa tunataka elimu bora kwa watoto wetu, tunataka maji safi na salama, tunataka umeme wa uhakika, tunataka huduma za afya bora.
Kwa sasa tunaye Rais aliye na dhamira ya dhati kufanya mabadiliko makubwa ya kiuchumi na kisasa hivyo tumpe muda kama alivyo sema ili aweze kujipanga na kushughulikia jambo moja baada ya jingine, tusilazimishe mambo twendeni kwa busara, wanasiasa acheni jazba, wananchi tumemuelewa vizuri Rais wetu Samia.
Kila mwananchi anafahamu umuhimu wa katiba mpya baada ya zoezi la Jaji warioba, ila kwa sasa Rais wetu katumia kauli ya kiungwana huvyo na sisi tuwe waungwana, tusijifanye wajuaji sana, tusiwe wabinafsi, tuache kejeli,tusimbananishe, kila jambo lina muda wake,tuwe wavumilivu kwani mvumilivu hula mbivu.
kazi iendelee.
Umuhimu wa katiba hauna mbadala siku wakikuminya pumbu na ukakosa watetezi usije kulialia humu. Wakina nape pole pole makamba mzee makamba na mwanane plus kinana hawakujua Kama zamu zao za kubatizwa kwa Moto zitafika.Ajabu sana mkuu,matakwa yao wanawapakazia wananchi,mama kawastukia kawapiga TKO,wamebaki kuhenyahenya tu mitandaoni.
Mama shikilia hapo hapo,hakuna kucheka na nyani.
Katiba haikatazwi kuombwa,ila kwa taratibu zinazotakiwa sio kelele kelele za mitandaoni tuUmuhimu wa katiba hauna mbadala siku wakikuminya pumbu na ukakosa watetezi usije kulialia humu. Wakina nape pole pole makamba mzee makamba na mwanane plus kinana hawakujua Kama zamu zao za kubatizwa kwa Moto zitafika.
Umeacha wizi simu hizi ndugu yangu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Basi nyie Mataga ni wapumbavu miaka 61 bado unataka maendeleo ambayo hujui utayapata lini.Hivi nyie mataga nani aliye waroga.
Tunaitaji Katiba bora ambayo itaenda kuondoa wanasiasa sample ya Ccm tunahitaji wawajibishwe na wananchi pale wanaposhindwa kuleta maendeleo
Fala wewe mtoa mada
Tuko tupate uhuru bado tunataka maendeleo tu?Huo ndio ukweli, kwa sasa wanasiasa ndio wanataka katiba mpya kwa lengo lao moja tu tamaa ya kushika DOLA lakini sisi wananchi kwa sasa tunataka maendeleo kwanza, tunataka maisha yetu duni ya kimasikini yakwamuliwe, kwa sasa tunataka elimu bora kwa watoto wetu, tunataka maji safi na salama, tunataka umeme wa uhakika, tunataka huduma za afya bora.
Kwa sasa tunaye Rais aliye na dhamira ya dhati kufanya mabadiliko makubwa ya kiuchumi na kisasa hivyo tumpe muda kama alivyo sema ili aweze kujipanga na kushughulikia jambo moja baada ya jingine, tusilazimishe mambo twendeni kwa busara, wanasiasa acheni jazba, wananchi tumemuelewa vizuri Rais wetu Samia.
Kila mwananchi anafahamu umuhimu wa katiba mpya baada ya zoezi la Jaji warioba, ila kwa sasa Rais wetu katumia kauli ya kiungwana huvyo na sisi tuwe waungwana, tusijifanye wajuaji sana, tusiwe wabinafsi, tuache kejeli,tusimbananishe, kila jambo lina muda wake,tuwe wavumilivu kwani mvumilivu hula mbivu.
kazi iendelee.
mambo hayo uliyo yasema, mambo ya maendeleo, mipango ya elimu, afya n.k wala hayahitaji katiba mpya yapo tayari ktk SERA YA TAIFA 2020/2025, 2025/2035.Inatakiwa tupate katiba mpya ambayo inaelekeza tunafanya nn ili tupate maendeleo sio kila baada miaka kumi tunabadili malengo maana kwakweli kila tunapokuwa na kiongoz mpya tunabadili vipaumbele na anapoondoka vipaumbele alivyoacha nusu vinabadilika inatakiwa tuwe katiba mpya ili kuepuka waziri kubadili jina la division 0 kuwa division 5 na bado akajisifu et ameboresha elimu, Au waziri kuja kubadili grading na anajisifu ameboresha elimu, Tuwe na katiba ambayo wataalamu wanasikilizwa kuliko mwanasiasa kwenye taaluma husika, Kama ni kuboresha elimu wadau wa elimu wahusishwe kujua changamoto kubwa na namna gani kusolve hizo changamoto, Kwa sasa tupo kama mlevi, Tukipata kiongozi fulani tunapiga hatua kumi kwenye kujenga na mambo mengine ila akija mwingine hatua kumi hizo zinahamia upande mwingine na hatua kumi zile za mwenzake zinavurugwa na kuonekana mwenzake hakufanya kitu, Tunatakiwa kuwa na katiba mpya ili kiongozi akiingia kuna kipaumbele ambacho katiba inampa
maendeleo hayana kikomo,Tuko tupate uhuru bado tunataka maendeleo tu?
Sidhani kama unaelewa uwezo wa katiba katika kudhibiti viongozimambo hayo uliyo yasema, mambo ya maendeleo, mipango ya elimu, afya n.k wala hayahitaji katiba mpya yapo tayari ktk SERA YA TAIFA 2020/2025, 2025/2035.
sera zipo ndio zina ongoza mipango yote ya maendeleo ya taifa letu hakuna kiongozi yeyote anaye enda kinyume na sera/Dira ya Taifa.
hao wanao dai katiba mpya lengo lao ni moja tu uchu wa MADARAKA sio maendeleo ya wananchi.
sisi wananchi tunataka maendeleo tu.