Wananchi wanyonge wa Chasimba Wazo wampinga Waziri Lukuvi wamwomba Rais Magufuli aingilie kati na kuwasaidia

Kuna kabila lilikuwa linaishi kimara, kama ndio hilo hilo linaishi huko wazo karibu na kiwanda basi wajiandae kisaikolojia.
 
CCM ndiyo imesababisha huu ujinga na inaupenda Sana kwani UJINGA ndiyo mtaji wake.Huyo wanayemlilia hajulukani alipo na haijulikani ni mzima ama la.Yeye Ni Kama Been Sanaane na Azory Gwanda halafu wanataka awasaidie.Ccm ni mashetani.
 
Haya majina yanafanana na cement zinazozalishwa happy kiwandani lakini hii chachui mhhh! Sijawahi kuisikia.
 
Huu mgogoro umetengenezwa kama kule Ndachi Dodoma wafaidika na wauzaji wa maeneo wapo wazi wanalindwa
 
Huu mgogoro umetengenezwa kama kule Ndachi Dodoma wafaidika na wauzaji wa maeneo wapo wazi wanalindwa
Ni lini tunapewa hivi viwanja ambavyo tuliambiwa na tuliona vimeshapimwa muda tuu kule Ndachi Dodoma??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…