Muharango
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,663
- 1,037
Wewe ungakuwa na busara usingejiita "Ndumilakuwili"; Shame!Jaribu kuwa unatumia maneno yenye busara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ungakuwa na busara usingejiita "Ndumilakuwili"; Shame!Jaribu kuwa unatumia maneno yenye busara.
Sawa.Wewe ungakuwa na busara usingejiita "Ndumilakuwili"; Shame!
Kama ni mfuatiliaji wa mambo basi hii hoja usingeitoaKwanini serikali imekataa kuwataja hadharani wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja?
Watajwe kama yeye alivyowataja aliowatuhumu kutumia madawa ya kulevya mnamficha wa nini huyu hayawani?
Demu mjanja mno, na watu wameingia na wataingia mkenge kama kwa kina Joshua, Lusekelo n.k. Akili ni mali sana Duniani, demu analialia huku kuhusu kodi, mali zenyewe za urithi, hata kulipa kodi wanashindwa huku wakiishi Marekani kweli?! Ubabaishaji na utapeli wa hali ya juu, kelele nyingi kumbe shida asimpe ya Kaisari, tumestuka..Huyu demu ame-control mind za watu wengi kumbe hivyo doh Ndio maana gwajima amekuwa tajiri wa kutupwa sababu hiyo Mfano walio control mind za watu wakatajirika
1.mzee wa loliondo
2.Manyau nyau
3.Gwajima
Na saizi Mange loading...
Subiri na mimi nianzishe jambo la kucontrol mind za watu nianze kupiga pesa
Wananchi?? Wako wangapi?? Nenda kwenye page ya Samatta au Diamond uone wanavyokubalika.Watu wengi wameoneshwa kusikitishwa na jambo lililomkuta Mange Kimambi kuhusu kupigwa mnada kwa Hoteli ya familia yao ambayo Mange anahisa 25%.View attachment 484634
Kwa kuonyesha masikitiko yao juu ya jambo hilo, watu wengi wamemuomba Mange atoe namba ya Akaunti wamchangie ili aweze kulipa deni wanalodaiwa. View attachment 484635View attachment 484636
Je, hii inaonyesha ishara gan. Ni kwamba Mange anakubalika sana au?
Kwani bilicanas ilikuwa ya mbowe?? Wee vipi??Sasa si bora yao inapigwa mnada..... Kamanda wa anga alibomolewa kabisa billicana.....
Wa Bashite?Watanzania tunapenda ujingaujinga tu
Well said!ajitambua sasa ana laana huyo
Hapana sio watanzania kuna kundi la wachacheWatanzania tunapenda ujingaujinga tu
Figisu tu tunaojua tunajua kodi sio hoja, ukishakua mwiba lazma utawala watafute namna ya kukumaliza.HIVI NI KWELI KODI YA ARDHI FAMILIA YA MANGE WAMESHINDWA KULIPA? KWANI KODI YA MWAKA YA ARDHI NI TSH NGAPI? KODI YA ARDHI NAYOJUA MIMI KWELI KWA COMMERCIAL PLOT INAZIDI LAKI 5 KWA MWAKA? LET ASSUME HAWAJALIPA TANGU MZEE AFARIKI,JE NDIO WASHINDWE KULIPA HIYO ,LAKI 3 X15 AMBAYO NI 4.5MILIONS?
Na ukitaka kufanikiwa zaidi jiite wa miujiza maana wapo baadhi ya Wtz hawapendi kufikiria wanapenda miujiza tuHuyu demu ame-control mind za watu wengi kumbe hivyo doh
Ndio maana gwajima amekuwa tajiri wa kutupwa sababu hiyo
Mfano walio control mind za watu wakatajirika
1.mzee wa loliondo
2.Manyau nyau
3.Gwajima
Na saizi Mange loading...
Subiri na mimi nianzishe jambo la kucontrol mind za watu nianze kupiga pesa
Hizo tarakimu unazckia tu hata mavi yakunya hunaKwan shingap..... Hata mm ntamchangia
Tena nmepanga kuumpa 2ml
MANGE weka acc number nfanye mambo
Ukapimwe akili naona hujui maana ya neno heroMangekimambL she's the real soldier.. Hero
ushaakunywa chai?Hilo ndo la msingi. Yan akiweka tu me natuma 30,000 fastaaaaaa.