Wananchi wasikitishwa na yaliyomkuta Mange Kimambi, wataka kumchangia.

Wananchi wasikitishwa na yaliyomkuta Mange Kimambi, wataka kumchangia.

Aisee akili za baadhi ya watanzania bana hizi DECI wanazitengenezaga wenyewe,yakiwashinda wanaanza ilalamikia serikali kwa madhara waliyoyasababisha wenyewe.

Kama kweli mna nia ya dhati hizo hela mpeni lissu akijenge chama cha wanasheria vizuri kiwe kisu kikali na kuokoa wengi waliobambikiziwa kesi magerezani.
Nme kustah kwa sabab ya isidingo tuu
ila huna akili
 
Kiswahili ulibashite nini!!!! 😀😀😀 kupigwa mnada wa hotel ya familia YAO.... ni urithi ambapo waliamua kurithi kwa mtindo wa hisa yeye anamiliki 25%... Na wanafamilia wengine wana asilimia zao....
Rudia kusoma, angalia jibu sio unakurupuka tu, maneno uandike wewe, ujibiwe wewe ushindwe kuelewa ziro wanazo wengi kang'ang'aniwa makonda, kiswahili kigumu hata aliyepata sifuri kajitahidi
 
Hahaaa huwa mnanichekesha mnaposingizia isidingo.

Genious usilazimishe kila mtu awe na mawazo kama yako never ever. Kila mtu na ubongo wake.
Nme kustah kwa sabab ya isidingo tuu
ila huna akili
 
Kina Bashite ni wengi sana... Ni wapi nimesema ya Mange!!!! Kama unaongelea billicanas sawa jengo la national housing..... Ujue kuuliza maswali specifically nani.... Sio kwani ilikuwa yake!!!! Yake nani wakati nimeongelea watu wawili Mange na Kamanda wa anga....
 
Huyu demu ame-control mind za watu wengi kumbe hivyo doh

Ndio maana gwajima amekuwa tajiri wa kutupwa sababu hiyo

Mfano walio control mind za watu wakatajirika

1.mzee wa loliondo
2.Manyau nyau
3.Gwajima
Na saizi Mange loading...

Subiri na mimi nianzishe jambo la kucontrol mind za watu nianze kupiga pesa

Ni kweli
 
Kama ni kumchangia na me ntamchangia coz ni shujaa na jasiri sana
 
Huyu demu ame-control mind za watu wengi kumbe hivyo doh

Ndio maana gwajima amekuwa tajiri wa kutupwa sababu hiyo

Mfano walio control mind za watu wakatajirika

1.mzee wa loliondo
2.Manyau nyau
3.Gwajima
Na saizi Mange loading...

Subiri na mimi nianzishe jambo la kucontrol mind za watu nianze kupiga pesa
Kushikiwa akili na mtu ni kufilisika kimawazo/mtizamo, wacha wajanja waendelee kuzipiga hela kupitia kwa wasiojitambua. Mkuu na ww tafuta style ya kuwashika upige hela maana watz wengi wanafuata mkumbo tu
 
Back
Top Bottom