Wananchi watakula hayo maridhiano?

mtoa post umeeleza ukweli kabisa ila utaona chawa watakavyokuita sukuma gang huku wakikibaliana na wewe kimoyomoyo 😀
 
Huko nyuma hakukuwa na maridhiano ni kipi kilifanikiwa? Tukianzia na maji, umeme afya(madawa) kilimo, biashara nk?
 
Ugali + uji - unga 2200 kwa kilo na elf50 kilo25 kutoka sh 900 siku 366 zilizopita

Mchele 3200 hadi 4000 kwa kilo kutoka 1200 siku 360 zilizopita.

Ngano sh 2000 kutoka 1300.
 
Umeongea kwa uchungu sana,na kwa kweli kama taifa tumepotea jangwani,hatujui wapi tunaelekea,kama ni ndege,iko OUT PILOT.
 
... majukumu ya kiongozi ni kupiga watu risasi? Elewa hili, no matter utatenda mazuri namna gani but as long as unaua au kuumiza watu kwa sababu na visingizio vya kipumbavu (e.g. walituchelewesha sana) huna maana yoyote!
Ni mpumbavu tu anayeweza kuamini huu upumbavu ulio uandika,hakuna utawala uliowahi kupiga mtu risasi.
 
Kuna watu vichwani ni empty kabisa, bila kujenga amani kwa njia ya kukaa mezani, nchi itaendaje, au mlifurahia habari za matajiri kufa ovyo na watu kutekana na kutoweka?
Nani tajiri aliyekufa hovyo?!, kwa hiyo wewe kila kifo ama tukio linalotokea,serikali ina husika?!, kwa nn wajinga wanazidi kuongezeka hapa nchini?
 
Kama ulifuatilia rais aliahidi kuwa karibuni Ile kamati itaanza kazi kuhusu jinsi ya kuendeleza mchakato wa Katiba mpya ikihusisha pia vyama vyote.

Hatuna sababu ya kutilia shaka kauli ya rais ambayo aliitoa hadharani.
Vp, Bado una Imani naye?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…