Wanandoa wa sasa mtafika jehanum City centre mkiwa mmechoka mwili na akili

Wanandoa wa sasa mtafika jehanum City centre mkiwa mmechoka mwili na akili

JITU LA MIRABA MINNE

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2015
Posts
726
Reaction score
476
Ndoa za sasa ni changamoto kubwa sana nipo kitengo ,kesi ni nyingi kweli mapenzi kizunguzungu moyo wa kupenda umeisha kwa sababu zifuatazo
1.Umemtongoza mwanamke baada ya siku mbili atakuorodheshea shida zake zote uzitatue

2.Mwanamke unaachana na mume wako ukidai ni muhuni ana wanawake wengi unaenda kuwa mchepuko wa mwanaume ambae ana mke na watoto na wakati huo nae ana wanawake wengi nje

3.Mwanaume umemwacha mwanamke baada ya kumfumania unaenda kuoa mwanamke alieachika baada ya kufumaniwa na mume wake

4.Mwanamke anaachana na mwanaume kisa hatoi huduma stahiki za familia anapewa laki 4 kesi inaenda mwanaume anaambiwa anatakiwa kiserikali kutoa matumizi ya mtoto elf 75 na kwa kua wapo 2 ni Tsh 150000 nje ya ada matumizi mengine mama ndio atachangia kwani wote ni mtoto wao

5.Mwanaume unasema sitaki kuoa mwanamke mwenye mtoto unaenda kuoa mwanamke samaki na fundi gerej ameshashusha engine mara nyingi kila siku kumsumbua Mwampos anataka keki na mafuta huna engine umeshaharibu toka shulen,vyuoni,halaf unataka kupakata mtoi daah

N.B Nawahakikishieni mtafika jehanam mkiwa mmechoka moto unawasubiri ni swala la muda tu
 
Binafsi yangu suala la kuoa halina kipaumbele kabisa, licha ya kwamba familia imekua iki ni pressure nioe ila nimebaki na msimamo wangu kwamba kwa sasa hilo kwangu sio kipaumbele, nashukuru nina mtoto tayari, ila nikiangalia misuko suko ya kaka zangu/ dada zangu / marafiki zangu na ndoa zao wengi wanatamani wasingeoa/wasingeolewa, siko tayari kuingia kwenye mtego huo kwa sasa.
NB: Nikiwa na shida na Utelezi naweza kupata muda wowote.
 
Ndoa za sasa ni changamoto kubwa sana nipo kitengo ,kesi ni nyingi kweli mapenzi kizunguzungu moyo wa kupenda umeisha kwa sababu zifuatazo
1.Umemtongoza mwanamke baada ya siku mbili atakuorodheshea shida zake zote uzitatue

2.Mwanamke unaachana na mume wako ukidai ni muhuni ana wanawake wengi unaenda kuwa mchepuko wa mwanaume ambae ana mke na watoto na wakati huo nae ana wanawake wengi nje

3.Mwanaume umemwacha mwanamke baada ya kumfumania unaenda kuoa mwanamke alieachika baada ya kufumaniwa na mume wake

4.Mwanamke anaachana na mwanaume kisa hatoi huduma stahiki za familia anapewa laki 4 kesi inaenda mwanaume anaambiwa anatakiwa kiserikali kutoa matumizi ya mtoto elf 75 na kwa kua wapo 2 ni Tsh 150000 nje ya ada matumizi mengine mama ndio atachangia kwani wote ni mtoto wao

5.Mwanaume unasema sitaki kuoa mwanamke mwenye mtoto unaenda kuoa mwanamke samaki na fundi gerej ameshashusha engine mara nyingi kila siku kumsumbua Mwampos anataka keki na mafuta huna engine umeshaharibu toka shulen,vyuoni,halaf unataka kupakata mtoi daah

N.B Nawahakikishieni mtafika jehanam mkiwa mmechoka moto unawasubiri ni swala la muda tu
Kikubwa hapa ni ngono na mkono kwenda kinywani baas, ukisubiria kufa!
 
Binafsi yangu suala la kuoa halina kipaumbele kabisa, licha ya kwamba familia imekua iki ni pressure nioe ila nimebaki na msimamo wangu kwamba kwa sasa hilo kwangu sio kipaumbele, nashukuru nina mtoto tayari, ila nikiangalia misuko suko ya kaka zangu/ dada zangu / marafiki zangu na ndoa zao wengi wanatamani wasingeoa/wasingeolewa, siko tayari kuingia kwenye mtego huo kwa sasa.
NB: Nikiwa na shida na Utelezi naweza kupata muda wowote.
Huoi lakini unashukuru Mungu unamtoto, na ukitaka utelezi muda wowote unaupata..Aisee dunia hii!, Tumuogope Muumba jamani, jehannam is real.
 
ila kwa kizazi iki ndoa hakuna kabisa, juzi jamaa kaagwa kwa penzi zito na ex wake, ex wake kapata bwana anaenda kufunga nae ndoa kesho alaf jamaa kapewa penz leo. [emoji42] Mungu tusaidie.

mim pia ex wangu aneolewa lakin kila wakati ananiforce nikamchakate ati ameyamiss mapigo yangu, na ndoa yake ina mwaka mmoja tu.

rafiki yangu wa tatu ndio mkatili kinoma, anasex na ex wake aliyepo kwenye ndoa ya miaka mi3 na dem anamimba ya miez 8 lakin anampeleka gheto anampelekea moto kama hana mimba vile, dah
 
ila kwa kizazi iki ndoa hakuna kabisa, juzi jamaa kaagwa kwa penzi zito na ex wake, ex wake kapata bwana anaenda kufunga nae ndoa kesho alaf jamaa kapewa penz leo. [emoji42] Mungu tusaidie.

mim pia ex wangu aneolewa lakin kila wakati ananiforce nikamchakate ati ameyamiss mapigo yangu, na ndoa yake ina mwaka mmoja tu.

rafiki yangu wa tatu ndio mkatili kinoma, anasex na ex wake aliyepo kwenye ndoa ya miaka mi3 na dem anamimba ya miez 8 lakin anampeleka gheto anampelekea moto kama hana mimba vile, dah
mda wa kuzimu unakaribia
 
Back
Top Bottom