Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kila kinachoandikwa hapa kinaakisi ukweli Ndugu, amka wewe!Du ni noma... sasa sisi tunaotaka kuoa mnatukata maini kabisa
Any living human is behaviorally unpredictable creature (dynamism) and it only depends on several environment, so be careful.nimepewa sharti hapa, eti naolewa lakini sitaki tuachane, please promise me. Kama kawaida nasubiri tu kaolewe week ijayo, wakishafunga ndoa tu nakapiga chini ila kwasasa nakapa moyo tuko pamoja maana kachizi haka nikikaambia ukiolewa tunaachan hii ndoa next week hakuna tena.
Usihofu wewe unaeoa next week, mkifunga ndoa mimi nakuachia, naheshimu ndoa. Ila umepata mke, she is beutifully and intelligent but she likes wahuni and somebody very strong and chakalamu like me. Najua katakusumbua sana hizi week baada ya ndoa nikikapiga chini maana katakosa raha na papuchi unaweza usipewe, kuwa mvumilivu and stay strong i will help to resolve.
Wanawake wa siku hizi wana uwezo wa kuwa na kila kitu kama mwanaume na wanaume bado wana akili ya kujiona wako juu, mkishaanza kushindana hakuna ndoa tena
- "Ndoa na iheshimiwe na watu wote".
- Ndoa isiyo mpango wa Mungu na wazazi lazima iwe kizungumkuti.
- Zamani wazee walitafiki na kuwaelekeza vijana sehenu za kuoa, kwa sasa vijana wanajiamulia tu kwa hisia zao.
- Pia wazazi walichangia kudhibiti mienendo na mihemko ya vijana kabla ya kuleta madhara kwenye Ndoa.
- Maswaibu ya ukubwani wanayopitia waliolelewa na wazazi waliotengana ni makubwa, na hakuna anayewaonea huruma.
Sasa unafikiri utii unakuja tuu .....Kwanini uvumilivu?
Na Kwanini uvumilivu huo uwe kwa mwanamke tu ?
Kimsingi anaetakiwa kuvumilia ni Mwanaume maana ndiye aloagizwa kupenda.
Uvumilivu ni mojawapo ya tabia ya upendo.
Mke ameagizwa kutii.
Umenena mkuu. Wanatakiwa wakuongezee per diem.Kikubwa hapa ni ngono na mkono kwenda kinywani baas, ukisubiria kufa!
Uyo jamaa hajawai jua shida za wanawake haziishagi...zikiisha atabuni tu.Ukiwa na pesa utaambiwa Huna nguvu za kiume
Siku hizi? Mbona ata kabla ya kristu yalikuwa haya.... tofauti ni ushindani ndo umekuja kivuruga form.Wanawake wa siku hizi wana uwezo wa kuwa na kila kitu kama mwanaume na wanaume bado wana akili ya kujiona wako juu, mkishaanza kushindana hakuna ndoa tena
Yatakuwa yamemkuta.Umewaza nini kuleta huu uzi ndugu yangu, kweli tutafika motoni tukiwa tunawaka moto
Duh...uyo rafiki yako wazimu. Hapo ubabe umezidi mkuu.ila kwa kizazi iki ndoa hakuna kabisa, juzi jamaa kaagwa kwa penzi zito na ex wake, ex wake kapata bwana anaenda kufunga nae ndoa kesho alaf jamaa kapewa penz leo. [emoji42] Mungu tusaidie.
mim pia ex wangu aneolewa lakin kila wakati ananiforce nikamchakate ati ameyamiss mapigo yangu, na ndoa yake ina mwaka mmoja tu.
rafiki yangu wa tatu ndio mkatili kinoma, anasex na ex wake aliyepo kwenye ndoa ya miaka mi3 na dem anamimba ya miez 8 lakin anampeleka gheto anampelekea moto kama hana mimba vile, dah
Kwenye hao 6 jitoeWanawake wavumilivu hapa Tanzania tumebaki sita tu
Nipo mdogo angu, mi ni almasi mchanganiKwenye hao 6 jitoe
AhaaNipo mdogo angu, mi ni almasi mchangani
Beautiful withno brain. Mtu unaolewa soon halafu unaliwa na mtu mwingine. Huyo msichana ni kilaza tu hana u inteligency wowote. Anayeenda kuoa ana hasaranimepewa sharti hapa, eti naolewa lakini sitaki tuachane, please promise me. Kama kawaida nasubiri tu kaolewe week ijayo, wakishafunga ndoa tu nakapiga chini ila kwasasa nakapa moyo tuko pamoja maana kachizi haka nikikaambia ukiolewa tunaachan hii ndoa next week hakuna tena.
Usihofu wewe unaeoa next week, mkifunga ndoa mimi nakuachia, naheshimu ndoa. Ila umepata mke, she is beutifully and intelligent but she likes wahuni and somebody very strong and chakalamu like me. Najua katakusumbua sana hizi week baada ya ndoa nikikapiga chini maana katakosa raha na papuchi unaweza usipewe, kuwa mvumilivu and stay strong i will help to resolve.
Ndoa ni zaidi ya utelezi nduguBinafsi yangu suala la kuoa halina kipaumbele kabisa, licha ya kwamba familia imekua iki ni pressure nioe ila nimebaki na msimamo wangu kwamba kwa sasa hilo kwangu sio kipaumbele, nashukuru nina mtoto tayari, ila nikiangalia misuko suko ya kaka zangu/ dada zangu / marafiki zangu na ndoa zao wengi wanatamani wasingeoa/wasingeolewa, siko tayari kuingia kwenye mtego huo kwa sasa.
NB: Nikiwa na shida na Utelezi naweza kupata muda wowote.
Beautiful withno brain. Mtu unaolewa soon halafu unaliwa na mtu mwingine. Huyo msichana ni kilaza tu hana u inteligency wowote. Anayeenda kuoa ana hasara
Maandiko yapo tu na ni wachache sana wayafuata. Lakini ni upumbavu zaidi umepata mchumba halafu unataka kuolewa huku unaendelea na x wakotukisimamia maandiko, msichana yeyote anayeolewa akiwa hana bikra kwa maana ya bikra imetoka kwa kugongwa au amegawa papuchi kabla ya ndoa HUYO NI KILAZA HANA AKILI.
Mwanaume yeyote anayeoa akiwa tayari ameshakula papuchi kadhaa kifupi naye sio bikra naye HANA AKILI.
Akili tunazoziongelea ni za duniani za mipango na utafutaji ugali, akili za shule na kazini nk.
Kwa muktadha wa vitabu vitakatifu - KILA ADHINIYE (KUFANYA MAPENZI BILA NDOA) HANA AKILI.