Wanandoa wa sasa mtafika jehanum City centre mkiwa mmechoka mwili na akili

Wanandoa wa sasa mtafika jehanum City centre mkiwa mmechoka mwili na akili

Binafsi yangu suala la kuoa halina kipaumbele kabisa, licha ya kwamba familia imekua iki ni pressure nioe ila nimebaki na msimamo wangu kwamba kwa sasa hilo kwangu sio kipaumbele, nashukuru nina mtoto tayari, ila nikiangalia misuko suko ya kaka zangu/ dada zangu / marafiki zangu na ndoa zao wengi wanatamani wasingeoa/wasingeolewa, siko tayari kuingia kwenye mtego huo kwa sasa.
NB: Nikiwa na shida na Utelezi naweza kupata muda wowote.
kwa sasa huu unatakiwa kuwa ni msimamo wa wanaume wote wenye akili
 
Adam na hawa walivyokula tu TUNDA wakafukuzwa bustanini,,,,kula TUNDA bila ruhusa ndo msingi wa mambo yote hayo,,,,mwanaume kama umeingia kwenye ndoa sio bikra vilevile mwanamke kama umeingia kwenye ndoa kama sio bikra, tegemea kuchapiwa/kuibiwa sana,,,,,kama ww sio bikra achana na ndoa tafta muhini mwenzako mwendeleze zambi!!!!
Ndoa ni agano takatifu🤝
 
Ndoa za sasa ni changamoto kubwa sana nipo kitengo ,kesi ni nyingi kweli mapenzi kizunguzungu moyo wa kupenda umeisha kwa sababu zifuatazo
1.Umemtongoza mwanamke baada ya siku mbili atakuorodheshea shida zake zote uzitatue

2.Mwanamke unaachana na mume wako ukidai ni muhuni ana wanawake wengi unaenda kuwa mchepuko wa mwanaume ambae ana mke na watoto na wakati huo nae ana wanawake wengi nje

3.Mwanaume umemwacha mwanamke baada ya kumfumania unaenda kuoa mwanamke alieachika baada ya kufumaniwa na mume wake

4.Mwanamke anaachana na mwanaume kisa hatoi huduma stahiki za familia anapewa laki 4 kesi inaenda mwanaume anaambiwa anatakiwa kiserikali kutoa matumizi ya mtoto elf 75 na kwa kua wapo 2 ni Tsh 150000 nje ya ada matumizi mengine mama ndio atachangia kwani wote ni mtoto wao

5.Mwanaume unasema sitaki kuoa mwanamke mwenye mtoto unaenda kuoa mwanamke samaki na fundi gerej ameshashusha engine mara nyingi kila siku kumsumbua Mwampos anataka keki na mafuta huna engine umeshaharibu toka shulen,vyuoni,halaf unataka kupakata mtoi daah

N.B Nawahakikishieni mtafika jehanam mkiwa mmechoka moto unawasubiri ni swala la muda tu

Hapa umenena mkuu
 
Back
Top Bottom