Wanandoa wa sasa mtafika jehanum City centre mkiwa mmechoka mwili na akili

Any living human is behaviorally unpredictable creature (dynamism) and it only depends on several environment, so be careful.
 
Wanawake wa siku hizi wana uwezo wa kuwa na kila kitu kama mwanaume na wanaume bado wana akili ya kujiona wako juu, mkishaanza kushindana hakuna ndoa tena
 
Wanawake wa siku hizi wana uwezo wa kuwa na kila kitu kama mwanaume na wanaume bado wana akili ya kujiona wako juu, mkishaanza kushindana hakuna ndoa tena
Siku hizi? Mbona ata kabla ya kristu yalikuwa haya.... tofauti ni ushindani ndo umekuja kivuruga form.
 
Duh...uyo rafiki yako wazimu. Hapo ubabe umezidi mkuu.
 
Maisha kweli hayana adabu Ila tuzikaribishe shida Tu Kwa kuowana na kuachana
 
Beautiful withno brain. Mtu unaolewa soon halafu unaliwa na mtu mwingine. Huyo msichana ni kilaza tu hana u inteligency wowote. Anayeenda kuoa ana hasara
 
Ndoa ni zaidi ya utelezi ndugu
 
Beautiful withno brain. Mtu unaolewa soon halafu unaliwa na mtu mwingine. Huyo msichana ni kilaza tu hana u inteligency wowote. Anayeenda kuoa ana hasara

tukisimamia maandiko, msichana yeyote anayeolewa akiwa hana bikra kwa maana ya bikra imetoka kwa kugongwa au amegawa papuchi kabla ya ndoa HUYO NI KILAZA HANA AKILI.

Mwanaume yeyote anayeoa akiwa tayari ameshakula papuchi kadhaa kifupi naye sio bikra naye HANA AKILI.

Akili tunazoziongelea ni za duniani za mipango na utafutaji ugali, akili za shule na kazini nk.

Kwa muktadha wa vitabu vitakatifu - KILA ADHINIYE (KUFANYA MAPENZI BILA NDOA) HANA AKILI.
 
Maandiko yapo tu na ni wachache sana wayafuata. Lakini ni upumbavu zaidi umepata mchumba halafu unataka kuolewa huku unaendelea na x wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…