Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha juzi apa kuna mamake rafiki yangu ( tuko nae jirani) aliniita akaniambia kuna mama kapigiwa cm na no. Mpya inaishia na 94 apo apo akaanguka na kufa, so usipokee no usioijua.Akaniambia ameshawaambia ndugu zake wote.Kioja sasa nkamuuliza umeshamwambia baba( Mme wake) et uyo sina shida nae atajijua.
Duh kwahiyo Mme wake afe !!!
..naona mwataka kulianzisha tena, lolz...kuna kabila flani linasemwa sana aisee..
hiyo tunaiita hast generalization ni moja ya changamoto zinazomkumba mtu katika kufikiria kwa makini na ufanya uamuzi/critical thinking na hili ndo tatizo kubwa sana la kwenye mahusiano mengi mtu experience yake mbaya ya mahusiano anataka aiconvert kwa jinsia ya pili kwamba wote wapo ihivyoWatu wana generalize mambo
mwingine kaoa/olewa na kwekwerekwe anadhani kila mtu ni hivo
Umenikumbusha juzi apa
kuna mamake rafiki yangu ( tuko nae jirani) aliniita akaniambia kuna
mama kapigiwa cm na no. Mpya inaishia na 94 apo apo akaanguka na kufa,
so usipokee no usioijua.Akaniambia ameshawaambia ndugu zake wote.Kioja
sasa nkamuuliza umeshamwambia baba( Mme wake) et uyo sina shida nae
atajijua.
Wanaishi pamoja kama kawaida lakini wamechokana, mama anatamani baba afe ili arithi mali, baba anatamani mama afe ili aoe dogodogo. Halafu mbaya zaidi wanaombeana vifo vya ghafla na kuugua kwa muda mfupi.
Yaliyomo moyoni yangejiandika usoni tungeshuhudia mengi ya ajabu mno.
Wewe umejuaje?
umeoa?kama umeoa
kwa sababu wewe na mkeo mnaishi hivyo ndo unafikiri wanandoa wote wanaishi hivyo?
watu tuna enjoy ndoa leo mwaka wa 15...
Jipange tena
Wanaishi pamoja kama kawaida lakini wamechokana, mama anatamani baba afe ili arithi mali, baba anatamani mama afe ili aoe dogodogo. Halafu mbaya zaidi wanaombeana vifo vya ghafla na kuugua kwa muda mfupi.
Yaliyomo moyoni yangejiandika usoni tungeshuhudia mengi ya ajabu mno.
hatupo kwenye thesis hapa sihitaji ukubaliane nami acha upuuzi, hii ni thread ukiona haikufai ipotezee hapa sio shuleni wala ngo kuulizaoa utafiti
Wewe umejuaje?
umeoa?kama umeoa
kwa sababu wewe na mkeo mnaishi hivyo ndo unafikiri wanandoa wote wanaishi hivyo?
watu tuna enjoy ndoa leo mwaka wa 15...
Jipange tena
Kweli tumetoka mbaliSasa mbona umeulizwa kistaarabu tu alafu unajibu kihuni na matusi juu??? Maswali kama hayo usipoulizwa hapa unadhani kuna mtu atakuuliza vijiweni???
Basi ngoja nikuache,naona lengo lako ilikuwa kuanzisha tu thread.umefanikiwa