Wanandoa wengi hawapendani

Wanandoa wengi hawapendani

Wanaishi pamoja kama kawaida lakini wamechokana, mama anatamani baba afe ili arithi mali, baba anatamani mama afe ili aoe dogodogo. Halafu mbaya zaidi wanaombeana vifo vya ghafla na kuugua kwa muda mfupi.

Yaliyomo moyoni yangejiandika usoni tungeshuhudia mengi ya ajabu mno.
Dah...haya mambo ya "milele", "kifo kiwatenganishe", " kwa shida na raha" hayana maana.....bora kuwa na ndoa ya mkataba[emoji13] [emoji87]
 
[HASHTAG]#justiceforLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenakiwahai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#FreeMaxeceMelo[/HASHTAG]
 
Wanaishi pamoja kama kawaida lakini wamechokana, mama anatamani baba afe ili arithi mali, baba anatamani mama afe ili aoe dogodogo. Halafu mbaya zaidi wanaombeana vifo vya ghafla na kuugua kwa muda mfupi.

Yaliyomo moyoni yangejiandika usoni tungeshuhudia mengi ya ajabu mno.
Vipi na wewe upo kwenye hili kundi? Yaani unamuombea mkeo afe uoe dogodogo?
 
Kinachopungua kwenye ndoa nyingi ni ile kutamaniana kingono, lakini upendo wa kindugu huongezeka.
Mkishakaa mda mrefu mnakuwa kama ndugu. Lakini kwa vile mmezoeana sana basi ile kumtamani ku du nae inapungua sana ,, mnapiga game kwaajili ya kumwaga oil tu.
 
Inawezekana lakini sio kila ndoa,inahitaji utafiti wa kutosha.mi naona tinapendana mapungufu ni ya kibinadamu tu.
 
Umenikumbusha juzi apa kuna mamake rafiki yangu ( tuko nae jirani) aliniita akaniambia kuna mama kapigiwa cm na no. Mpya inaishia na 94 apo apo akaanguka na kufa, so usipokee no usioijua.Akaniambia ameshawaambia ndugu zake wote.Kioja sasa nkamuuliza umeshamwambia baba( Mme wake) et uyo sina shida nae atajijua.
Duh ina maana huyo mama anakujali ww usidhurike kuliko mume wake??
Umeshindwa kung'amua body language ya mama kama anakutaka mbanjue amri ya 6
 
Back
Top Bottom