Wanandoa wengi hawapendani

Wanandoa wengi hawapendani

Mwaka huu hizi ishu zimevuma sana hasa mikoa ya Arusha na Moshi, sijui kuna nini huko kwa watani zangu
 
i just have belief kwamba ndoa yangu itakuwa ya furaha ki-mahusiano labda huzuni ziletwe na vitu vingine ukishaanza kuwa na negative belief juu ya mahusiano ya ndoa ama nje yakle very posible huwezi kuwa na happy ending
Kwel kabisa kuna ndoa njema pia ambazo makwazo ndo chachu ya kujijenga vizuri zaid ktk ndoa .Namshukuru MUNGU kwa ndoa yangu.
 
Kwanza kabisa lazima uelewe kwamba kamwe hakuna ndoa perfect kwa sababu hakuna mtu mkamilifu. Pili kubali kwamba ni vigumu sana wewe mwenyewe kutambua udhaifu wako. Ukiwa kwenye ndoa na wewe na mwenzi wako mkakubali haya mambo mawili, basi uwezekano wa ndoa yenu kuwa ya utulivu ni mkubwa. Kama mwanandoa mmoja anamwona mwenzie ni wa hovyo na hayuko tayari kumsamehe udhaifu wake kwa kutambua kwamba hata yeye ana madhaifu yake.

Basi kwenye hiyo ndoa wanandoa watachokana tu. Wanandoa waliochokana wako wengi tu lakini sio rahisi kuwajua kwa sababu hawajitangazi na wala hawafanyiani mambo ya kudhalilishana mbele ya watu. Utafiti wa vipimo vya DNA vinavyofanyika ili kujua mtoto husika ni wa mume wa ndoa au mtu mwingine umeonyesha kuwa karibu nusu ya matokeo yamedhihirisha kwamba mtoto husika ni wa nje ya ndoa. Maana yake kwenye nusu ya ndoa husika wanandoa wamechokana.
 
Kuna haja gani
nitolee upuuzi wako hapa soma mada uilewe nimesema baadhi ya ndoa mbona unakuwa mpuuzi kiasi hiki mpaka unashindwa kusoma post na kuielewa? wewe na mpuuzi mmoja anaitwa tedo hamjui nini maana ya jukwaa piteni mbali na post zangu sijawalazimisha kuchangia
Ya kumtukana hivo kwani ungemuelimisha bila kumuita mpuuzi asingekuelewa??? Au unataka kila mtu akubaliane na unachoondika hapa??????
 
mmh mimi nimeongea kwa ujumla wake lakini mimi kabila langu ni mix grill ya mluya msandawe mmasai na mmanda

mshana jr Did it again. [emoji23][emoji23]

Umesema ukweli mtupu. Acha tu wengine hata hawa madem zetu ni utata mtupu....mna mahusiano unamlala huyo mwanamke lakini utashangaa ukigusa simu yake ni ugomvi na wakati mwingine inapigwa pin. Daah
 
Mimi namuombea afe kabisaa maana mwana ssheria wangu ananiambia kama nimekaa na wewe miezi sita nishakuwa mke wwako ukiniacha nakufunga

Sasa nafanya vibweka anichoke
 
Haya mambo hayatokei kwenye miaka ya mwanzoni sometimes it goes up to 20 years hasa mnapobarikiwa na kupata mali nyingi
Kabisa mshana lakini ndio nipo karibu na sipaswi kuweka negativity ya hiki kitu kwetu hofu ya Mungu kwanza kila mtu anatakiwa afanye wajibu wake jinsi Mungu alivotuamuru hivyo basi sitegemei kumchukia kiasi hicho kwa kweli hata kama nimemchokaje maana najua Mungu hapendi na uvumilivu ndo kila kitu.Japokuwa hayo uliyosema yapo.Kama wema wapo pia wabaya wapo hivyo inategemea.
 
Kabisa mshana lakini ndio nipo karibu na sipaswi kuweka negativity ya hiki kitu kwetu hofu ya Mungu kwanza kila mtu anatakiwa afanye wajibu wake jinsi Mungu alivotuamuru hivyo basi sitegemei kumchukia kiasi hicho kwa kweli hata kama nimemchokaje maana najua Mungu hapendi na uvumilivu ndo kila kitu.Japokuwa hayo uliyosema yapo.Kama wema wapo pia wabaya wapo hivyo inategemea.
Kuna masimulizi ya ndoa ukiyasikia yanatisha na Kuna wanandoa wanaishi jehanam ya mahusiano
 
09384194c072d6cbce55936a8f3050bb.jpg
 
Back
Top Bottom