Dah...haya mambo ya "milele", "kifo kiwatenganishe", " kwa shida na raha" hayana maana.....bora kuwa na ndoa ya mkataba[emoji13] [emoji87]Wanaishi pamoja kama kawaida lakini wamechokana, mama anatamani baba afe ili arithi mali, baba anatamani mama afe ili aoe dogodogo. Halafu mbaya zaidi wanaombeana vifo vya ghafla na kuugua kwa muda mfupi.
Yaliyomo moyoni yangejiandika usoni tungeshuhudia mengi ya ajabu mno.
Mtoto huwezi jua hisia na akili za ndani kwa wazazi wakoNikikumbuka yule mke aliyeua mumewe kwa ushirikiano na house boy kule Arusha....
Vipi na wewe upo kwenye hili kundi? Yaani unamuombea mkeo afe uoe dogodogo?Wanaishi pamoja kama kawaida lakini wamechokana, mama anatamani baba afe ili arithi mali, baba anatamani mama afe ili aoe dogodogo. Halafu mbaya zaidi wanaombeana vifo vya ghafla na kuugua kwa muda mfupi.
Yaliyomo moyoni yangejiandika usoni tungeshuhudia mengi ya ajabu mno.
I like this.Mmmh
Kuchokana kupo but haimaanishi hampendani
Wachagga.kama kabila gani
Kwani uongo? Wachagga wanathamini pesa kuliko utu...naona mwataka kulianzisha tena, lolz...kuna kabila flani linasemwa sana aisee..
duh hio mixture hatari. amaweza akazaliwa "Mnefili" hapammh mimi nimeongea kwa ujumla wake lakini mimi kabila langu ni mix grill ya mluya msandawe mmasai na mmanda
"wapalestina"kanda ya mlima,the highest mountain in Africa.kama kabila gani
Duh ina maana huyo mama anakujali ww usidhurike kuliko mume wake??Umenikumbusha juzi apa kuna mamake rafiki yangu ( tuko nae jirani) aliniita akaniambia kuna mama kapigiwa cm na no. Mpya inaishia na 94 apo apo akaanguka na kufa, so usipokee no usioijua.Akaniambia ameshawaambia ndugu zake wote.Kioja sasa nkamuuliza umeshamwambia baba( Mme wake) et uyo sina shida nae atajijua.
Vipi mkuu au wewe si mwanandoa.[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji115]
Sikatai wapo, lakini sio wote. Nina practical experience ya wachache ambao utu ni zaidi ya hizo pesa!!Kwani uongo? Wachagga wanathamini pesa kuliko utu.