Wanandoa wengi wameoa/olewa na watu ambao hawakuwapenda, wanandoa mnavumilianaje kwenye hili?

Wanandoa wengi wameoa/olewa na watu ambao hawakuwapenda, wanandoa mnavumilianaje kwenye hili?

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Nimefanya uchunguzi sio rasmi kwa wamama wawili watu wazima Waliodumu Kwenye ndoa kwa miaka zaidi ya 20 Mmoja akiwa na watoto na Mwingine akiwa na watoto na wajukuu Kabisa, Wote story zao zilifanana, ingawa ni watu tofauti hawajuani, utaskia mama anasema huyu mwanaume alienioa, wala alikua hayupo akilini mwangu, ila alinisumbua Kunitongoza kwa muda mrefu sana hadi nikamkubalia, Kwasababu mwanaume nliempenda alikua haeleweki .

Niliongea na mbaba mmoja ndugu yangu mtu mzima mwenye miaka 60+ Aliedumu kwenye ndoa kwa miaka zaidi ya 30+ alikiri mbele yangu Mm kijana wa miaka 20+ kuwa mke wake sio mzuri, Alisema mke wake ana sura mbaya (kiukweli Kabisa mkewe ana sura mbaya si uongo) Ila alimuoa kwasababu huyo mwanamke alimpenda, yani mwanamke alimpenda sana ndugu yangu ndo maana aliolewa.

Jamaa yangu mwingine alieoa na kadumu kwenye ndoa kwa miaka mingi kiasi, aliniambia ameoa huyo mwanamke kwasababu ndio aina ya mwanamke aliyeweza kumpata, hakuwa na option ingine.

Sasa mliooana hii hali mnadeal nayo vipi, maana kukaa kwenye ndoa na mtu usiempenda Wala kuwa na hisia nae daah ni kazi, Si mateso hayo
 
Kumuoa unaempenda kwa dhati utateseka sana maana anaweza fanya atakalo akijua kwake hupindui, kuishi na usiemtarajia inakuwa poa sana mana atakuheshimu na taratibu mtajikuta miaka inasonga tu wala hamzinguani ndani over!!!
 
Kumuoa unaempenda kwa dhati utateseka sana maana anaweza fanya atakalo akijua kwake hupindui, kuishi na usiemtarajia inakuwa poa sana mana atakuheshimu na taratibu mtajikuta miaka inasonga tu wala hamzinguani ndani over!!!
Ukwel mtupu kabsa kuoa mwanamke unaempenda kwa dhati kabs no tatzo hapo bdae lazm uteseke
 
alikiri mbele yangu Mm kijana wa miaka 20+ kuwa mke wake sio mzuri, Alisema mke wake ana sura mbaya (kiukweli Kabisa mkewe ana sura mbaya si uongo)
AmusedSeveralAnkolewatusi-size_restricted.gif
 
Upendo na hisia hua kuna kipindi vyote vinaisha kabisa, so to me hata kama ningepewa nafasi ya kumshauri mtu kuhusu suala la kuoa, nigemwambia upendo unatakiwa uwe kigezo cha mwisho kabisa katika list yake.

Utu, uvumilivu,usikivu, na maarifa ya kijamii kwangu ndo vigezo muhimu sana.

By the way, kurudi hapo juu, kwa ushahidi mdogo tu ndio maana watu ambao hawakuchagua upendo kama kigezo kikuu cha kuingia kwa ndoa wameishi katika taasisi hiyo kwa muda mrefu, na kinyume chake majibu pia unayo.
 
Upendo na hisia hua kuna kipindi vyote vinaisha kabisa, so to me hata kama ningepewa nafasi ya kumshauri mtu kuhusu suala la kuoa, nigemwambia upendo unatakiwa uwe kigezo cha mwisho kabisa katika list yake.

Utu, uvumilivu,usikivu, na maarifa ya kijamii kwangu ndo vigezo muhimu sana.

By the way, kurudi hapo juu, kwa ushahidi mdogo tu ndio maana watu ambao hawakuchagua upendo kama kigezo kikuu cha kuingia kwa ndoa wameishi katika taasisi hiyo kwa muda mrefu, na kinyume chake majibu pia unayo.


Upendo wa kweli unapaswa kuwa jambo la kwanza kabisa.

Upendo ndio unaoweza kumfanya mtu kuvumilia,

Upendo;
Huvumilia
Hauhusudu
Hauhesabu mabaya
Huamini yote
Haukosi kuwa na adabu
N.k

Ni ngumu sana kumvumilia mtu usiyempenda.
 
Upendo wa kweli unapaswa kuwa jambo la kwanza kabisa.

Upendo ndio unaoweza kumfanya mtu kuvumilia,

Upendo;
Huvumilia
Hauhusudu
Hauhesabu mabaya
Huamini yote
Haukosi kuwa na adabu
N.k

Ni ngumu sana kumvumilia mtu usiyempenda.
Nakubaliana nawewe kabisa mkuu, lakini sasa huo upendo unaouzungumzia ni nadharia tu in reality kuupata ni 1/10. Huo upendo unaousema tumeambiwa unaweza batilisha mpaka unabii na maarifa. Asee ngumu sana kupata huo upendo.

Pia upendo hua nadhani anao Mungu pekee, but swali la kujiuliza hata Mungu pia japo alikua na upendo kuna Muda alikua anawaacha watu wake wateseke utumwani, wapigwe katika vita na Mengine mengi je leo huyu binadamu mimi nitaweza kweli batilisha unabii?

Kingine pia hujawahi kutana na watu wanasema tunapendana lakini hatuwezi kuishi kama mume na mke?, Je unafikiri hakuna upendo kati yao?
 

yaan kiuhalisia mara nyingi yale mahusiano unayoyachukulia poa huzaaa ndoa, yule unayemchukulia poa ndye mtu sahihi.

mara nyingi tunapata tunachostahili na s tunachokitaka.......
 
Oa au olewa na rafiki yakooo, na awe anaijua vizuri akili yakoooooo

Tatizo unaoa kwa ajili ya takooo au unaolewa kwa sababu ya gari.

Ndy shida hiyooo
Acha kufananisha tako la mwanamke na vitu vya kipumbavu Aidanna
 
Upendo na hisia hua kuna kipindi vyote vinaisha kabisa, so to me hata kama ningepewa nafasi ya kumshauri mtu kuhusu suala la kuoa, nigemwambia upendo unatakiwa uwe kigezo cha mwisho kabisa katika list yake.

Utu, uvumilivu,usikivu, na maarifa ya kijamii kwangu ndo vigezo muhimu sana.

By the way, kurudi hapo juu, kwa ushahidi mdogo tu ndio maana watu ambao hawakuchagua upendo kama kigezo kikuu cha kuingia kwa ndoa wameishi katika taasisi hiyo kwa muda mrefu, na kinyume chake majibu pia unayo.
Hivi kweli mtu anaweza kuwa na UTU na asiwe na UPENDO??
 
Nitakujibu asubuhi kaka....
Wee weee ukute mdada ana kiuno nyigu, hips na, rangi ya ngozi maji ya kunde, TAKO limechomoza kutoka mwenge hadi moroco, miguu imenona kidogo..hapo ndio utajua hujui kuwa buggati au lamborghini ni mascrepa tu Aidanna
 
Back
Top Bottom