Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 2,406
- 8,039
Nimefanya uchunguzi sio rasmi kwa wamama wawili watu wazima Waliodumu Kwenye ndoa kwa miaka zaidi ya 20 Mmoja akiwa na watoto na Mwingine akiwa na watoto na wajukuu Kabisa, Wote story zao zilifanana, ingawa ni watu tofauti hawajuani, utaskia mama anasema huyu mwanaume alienioa, wala alikua hayupo akilini mwangu, ila alinisumbua Kunitongoza kwa muda mrefu sana hadi nikamkubalia, Kwasababu mwanaume nliempenda alikua haeleweki .
Niliongea na mbaba mmoja ndugu yangu mtu mzima mwenye miaka 60+ Aliedumu kwenye ndoa kwa miaka zaidi ya 30+ alikiri mbele yangu Mm kijana wa miaka 20+ kuwa mke wake sio mzuri, Alisema mke wake ana sura mbaya (kiukweli Kabisa mkewe ana sura mbaya si uongo) Ila alimuoa kwasababu huyo mwanamke alimpenda, yani mwanamke alimpenda sana ndugu yangu ndo maana aliolewa.
Jamaa yangu mwingine alieoa na kadumu kwenye ndoa kwa miaka mingi kiasi, aliniambia ameoa huyo mwanamke kwasababu ndio aina ya mwanamke aliyeweza kumpata, hakuwa na option ingine.
Sasa mliooana hii hali mnadeal nayo vipi, maana kukaa kwenye ndoa na mtu usiempenda Wala kuwa na hisia nae daah ni kazi, Si mateso hayo
Niliongea na mbaba mmoja ndugu yangu mtu mzima mwenye miaka 60+ Aliedumu kwenye ndoa kwa miaka zaidi ya 30+ alikiri mbele yangu Mm kijana wa miaka 20+ kuwa mke wake sio mzuri, Alisema mke wake ana sura mbaya (kiukweli Kabisa mkewe ana sura mbaya si uongo) Ila alimuoa kwasababu huyo mwanamke alimpenda, yani mwanamke alimpenda sana ndugu yangu ndo maana aliolewa.
Jamaa yangu mwingine alieoa na kadumu kwenye ndoa kwa miaka mingi kiasi, aliniambia ameoa huyo mwanamke kwasababu ndio aina ya mwanamke aliyeweza kumpata, hakuwa na option ingine.
Sasa mliooana hii hali mnadeal nayo vipi, maana kukaa kwenye ndoa na mtu usiempenda Wala kuwa na hisia nae daah ni kazi, Si mateso hayo