Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #41
Tatizo maua ya siku hizi yanatugeuza sisi kuwa baba zao kwa kututwisha majukumu mazitoMkuu uku kla mahali mau n ww tu mpaka zmezd
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo maua ya siku hizi yanatugeuza sisi kuwa baba zao kwa kututwisha majukumu mazitoMkuu uku kla mahali mau n ww tu mpaka zmezd
🤣🤣🤣 uspo kaa kinjanja dah utaumiaTatizo maua ya siku hizi yanatugeuza sisi kuwa baba zao kwa kututwisha majukumu mazito
100%Muhimu kuburudika na jamii
Wanalenga kibunda tu🤣🤣🤣 uspo kaa kinjanja dah utaumia
Pana vaibu hapo?V ways kinondoni
Endelea kutuwakisha pande za kinondoni, big man.V ways kinondoni
Hayo ndio mambo mkuu, mi bado sijatoka nangojea saa tatu usiku ndio nichomoke nikapate vaibu la huko nje, nione maua yamevaa vinguo vya kuogelea 😀100%
Hapa Arusha na hii jioni kuna hali ya hewa nzuri sana unaweza ukaamua unapiga sweta au simple tu t-shirt huku unagonga vyombo.
Hata kama hutumii alcohol poa sana kuchanganyika na jamii.
Mkuu Equation x upo wapi?
Kuburudika muhimu, siku ikipita haijirudii tenaHatari sana
👍🏻 ndy usiombe ukutane na izi singo mama zilizo vurungwa hawana huruma kama ujakaa kiuwanaume haloo utajkuta unampatia tembo card yako yy ndy afanye malipoWanalenga kibunda tu
Sawa kingman.Hayo ndio mambo mkuu, mi bado sijatoka nangojea saa tatu usiku ndio nichomoke nikapate vaibu la huko nje, nione maua yamevaa vinguo vya kuogelea 😀
NAKAZIAKuburudika muhimu, siku ikipita haijirudii tena
Ili kwenda kukutana na wenzi wao walio nje ya mjiSiku ya ijumaa ndo siku ya wafanyakazi kuomba ruhusa kuanzia mida ya saa sita Mchana sijui kwanini 🤣😂
Muhimu, usilewe mpaka kupoteza kumbukumbu👍🏻 ndy usiombe ukutane na izi singo mama zilizo vurungwa hawana huruma kama ujakaa kiuwanaume haloo utajkuta unampatia tembo card yako yy ndy afanye malipo
Njoo hapa Police Officers Mess tupate maji ya mende!Wananzengo vipi?
Leo tunaenda kula bata wapi?
Wanasema kazi na dawa; ukiwa bize sana ni sawa na kutumia mikono yako kusukuma mlima ili uweze kuhama.
Twende kazi!
Ongeza kitimoto na ndizi zilizokaangwaNjoo hapa Police Officers Mess tupate maji ya mende!
😍😍😍😂😂😂😂Ongeza kitimoto na ndizi zilizokaangwa
basi sijawahi kufikiri kujaribu gambe kabisaKwa nini hutumii?