Wanao date na watoto Wa 2000 sijui wanawezaje?

Wanao date na watoto Wa 2000 sijui wanawezaje?

TheForgotten Genious

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
2,087
Reaction score
3,156
Hawa Mabinti wa 2000 bado akili zao ni ndogo sana,wana mambo ya ajabu ajabu na wivu wa kinaa sana.

Muda wote vinawaza mapenzi ,havielewi kama huu ni muda wa kazi,vinataka mchati muda wote,vinaweza kukufuata sehemu ya kazi vikatia kambi hapo kinakupigisha stori hakuna cha maana.

Mimi na viona kama Mzigo ukiwa navyo labda kama uwe na akili kama zao,ninyi watu wazimu mnaodate na hawa watoto mnawezaje kuvistahimili?
 
Bado hujasema

1000017896.jpg
 
Hawa Mabinti wa 2000 bado akili zao ni ndogo sana,wana mambo ya ajabu ajabu na wivu wa kinaa sana.

Muda wote vinawaza mapenzi ,havielewi kama huu ni muda wa kazi,vinataka mchati muda wote,vinaweza kukufuata sehemu ya kazi vikatia kambi hapo kinakupigisha stori hakuna cha maana.

Mimi na viona kama Mzigo ukiwa navyo labda kama uwe na akili kama zao,ninyi watu wazimu mnaodate na hawa watoto mnawezaje kuvistahimili?
Daah kumbe viko hivi
Bora sisi tushakua wakongwe atujui haya mambo. BTW date na level yako, hutacomplain kitu
 
Back
Top Bottom