TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
- Thread starter
- #41
UooongoooooYamekukuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UooongoooooYamekukuta
Kila lakheriIla ni vitamu hatari.
Mchomeeni utambi afukuzwe!Hawa watoto jau sana,kuna jamaa amaekuwa kama mtumwa sasa,kazi haziendi unakuta wamekaa kule wanapiga stori kazi zimesimama
Mimi ndiye niliyempa kazi ,na huwa hatufukuzi kabla yakumuonya mtu na kumpatia elimuMchomeeni utambi afukuzwe!
Simple tu
Then aonywe tabia yake ya kugandana na watoto wa kike kazini!Mimi ndiye niliyempa kazi ,na huwa hatufukuzi kabla yakumuonya mtu na kumpatia elimu
Tatzo linaanzia kwenu mtt wa afu 2 huweki kambi ukishapga tu unamkaushia mazima, mtt wa afu2 usipompa hela time na ww hna na hii ndi dawa yao na siku ukimkumbuka we muwekee dau mezani harukiHawa watoto jau sana,kuna jamaa amaekuwa kama mtumwa sasa,kazi haziendi unakuta wamekaa kule wanapiga stori kazi zimesimama
Jibu swaliUooongooooo
Acha kujificha kwenye kivuli cha kijana wa kaziSija date nao,kuna kijana wangu wa kazi kinamuendesha sana.
Nina mtoto wa umri huo,hivyo kudate na watoto wa Rifa hilo ni sawa na kudate na mwanangu,hiyo ndio kanuni yangu,amini unavyo aminiAcha kujificha kwenye kivuli cha kijana wa kazi
visenzo jr wewe ni wa mkoa gani bro.kinehe nkoi
Inategemea kazi unayofanya ndio inafanya urahisi wa kufuatwa muda wa kazi. Watoto 2000 pia Inategemea 2000 ipi.Hawa Mabinti wa 2000 bado akili zao ni ndogo sana,wana mambo ya ajabu ajabu na wivu wa kinaa sana.
Muda wote vinawaza mapenzi ,havielewi kama huu ni muda wa kazi,vinataka mchati muda wote,vinaweza kukufuata sehemu ya kazi vikatia kambi hapo kinakupigisha stori hakuna cha maana.
Mimi na viona kama Mzigo ukiwa navyo labda kama uwe na akili kama zao,ninyi watu wazimu mnaodate na hawa watoto mnawezaje kuvistahimili?