Wanao Jiuza Dar sio Wale Wanao Panga Msitari Barabarani Kujiuza

Wanapo wapa vibali vya kuendesha hizo gest wanajuanikina nani wanalalagahumo, nakodi wanalipa ausio?.
 
Kwani tatizo nini? Biashara ni kuuziana na kununuliana. Acheni ujinga nyie wapingaji. Waacheni wenye uhitaji wahudumiwe chap. Nyie mnapenda mtu asumbuliweeeeèe wkt mambo yawezekana pasta. Acheni ujinga
 
Kwani watu wakijiuza shida yenu nini? Au tatizo ni kujipanga barabarani, mbona huku mtaani hawa wanaojiita wapenzi ni zaidi ya hao!
 
Nchi ngapi Duniani zilizoendelea na zisizoendelea ambazo hazina makahaba wanaojiuza ??
Mbali na Nchi zinazoongozwa kwa misingi ya kidini πŸ™„
 
Kahaba utakuwa umepigwa za uso na jiwe la gizani. Pole kwa kukusema
Cheki hii nyapu!...

Ndo Mana Africa tupo nyuma sana, Wenzetu wanawaza how they can make inovations to compete kwenye technology huyu anawaza nan na nan wemeingia guest house....

Nonsense kabisa, Ndo mana mnaambiwa tembea nchi zilizokua uone how they live.

KWANZA TANZANIA HAKUNA SHERIA INAYOKATAZA KUJIUZA. Na sijui hao askari wanaowakamata wanatumia sheria gani? πŸ€”

Natamani nikanunue mbususu alafu askari anikamate aone nitakavyomburuza mahakamani.

NDO MANA WANASEMA SOMENI SHERIA HATA KWA KIDUCHU Kuepuka huu upuuzi unaofanywa na wasiojua sheria.
 
Kuna vitu vingi vya kushughulikia nchi hii hili la ukahaba unadhani watawezana nalo, au wanapoteza tu rasilimali za serikali kwa kufanya vitu ili wamulikwe na kamera, hii nchi ina viongozi takataka kabisa, hawa viongozi walipaswa kujiuliza kwanza kwanini watu wanajiuza na sio kuwakamata wanaojiuza, ila kwa kuwa tuna viongozi ambao hawana tofauti na akili za funza haya ndio yanayotokea kwa sasa, DC unatoka ofisini unaenda kukagua gesti, hiyo si ni kazi ya mwenyekiti wa mtaa na mtendaji wake, takataka kabisa hawa watu.
 
wanajisumbua tu, wabongo ngono zembe imo ndani ya mishipa ya damu, hawawezi acha kabisa.
 
Kwani watu wakijiuza shida yenu nini? Au tatizo ni kujipanga barabarani, mbona huku mtaani hawa wanaojiita wapenzi ni zaidi ya hao!
Wanatafuta air time zakijingatu, nchi inamambo mangisana ya kuwakip biz, wanaacha majizi yana tafunakodizetu wanapambana na madada poa.
 
Hizi biashara zimekuwepo miaka yote tangu enzi na enzi, nyie hamuwez kuja kuimaliza kwa siku moja wala haitoisha maana wateja wapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…