Wanaoangalia sasa hivi Madeama vs Belouizdad Yanga kazi wanayo

Wanaoangalia sasa hivi Madeama vs Belouizdad Yanga kazi wanayo

Tulidhani hawa madeama ni underdog, angalia mpira wanaoopiga Belouizdad wanatamani mpira uishe.

Yanga asiposhinda kesho kwa Mkapa basi ndoto yao itakuwa imeishia hapo.

Full Time MADEAMA 2 BELOUIZDAD 1

Kuweka kumbukumbu sawa msimamo unaonyesha.

View attachment 2830713
Mkuu hili Kundi D, hata Al Ahaly asipofanya juhudi anaweza asitoboe robo fainali. Kundi gumu ni balaa.
 
Watu wengi hawaelewi shida ya yanga hawana striker sasa wategemee magoli yafungwe kutoka midfield ya akina Aziz ki na Nzengeli ni kazi sana kwenye hizi mechi ngumu. Ukaishia hao wawili kazi umemaliza.


Yanga watam Miss sana mayele ndo alikua Messi wa yanga game nyingi hizi ngumu alikua anaziamua yeye mwenyewe.

Game ya leo yanga hata akifungwa goli moja atakupa amejitahidi sana. Yanga haendi popote labda dunia ipasuke.
Timu isipo funga mechi moja zina anza habari za Mayele, kwa hio mechi zote Yanga alizo cheza ni nyepesi? kipindi Mayele yupo Yanga walikua hawapotezi mechi? Real Madrid ina mshambuliaji gani wa maana sasa hivi na inatapa matokeo chanya?
 
Timu isipo funga mechi moja zina anza habari za Mayele, kwa hio mechi zote Yanga alizo cheza ni nyepesi? kipindi Mayele yupo Yanga walikua hawapotezi mechi? Real Madrid ina mshambuliaji gani wa maana sasa hivi na inatapa matokeo chanya?
Usifananishe Real Madrid na takataka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Timu isipo funga mechi moja zina anza habari za Mayele, kwa hio mechi zote Yanga alizo cheza ni nyepesi? kipindi Mayele yupo Yanga walikua hawapotezi mechi? Real Madrid ina mshambuliaji gani wa maana sasa hivi na inatapa matokeo chanya?
Ngoja mcheze mechi utakuja kurudi kwenye comment yangu mkuu!
 
CRB angeshinda jana yanga tungekuwa na wakati mgumu sana.
Kifupi yanga tumeshafuzu
 
Tulidhani hawa madeama ni underdog, angalia mpira wanaoopiga Belouizdad wanatamani mpira uishe.

Yanga asiposhinda kesho kwa Mkapa basi ndoto yao itakuwa imeishia hapo.

Full Time MADEAMA 2 BELOUIZDAD 1

Kuweka kumbukumbu sawa msimamo unaonyesha.

View attachment 2830713
Situlikubaliana kwamba hawa medeama ndio underdog yaani mbwa wa chini tena koko wasio na maana katika kundi hili wakati yanga ndio favorite ama imekuwaje tena
 
Ngoja mcheze mechi utakuja kurudi kwenye comment yangu mkuu!
Sina haja ya kurudi ume andika hisia sio uhalisia Mamelodi sundowns mpka wamefika final hawakua na mshambuliaji natural game ya mwisho ndio Peter Shalulile alicheza zingine zote walitumia force number 9 , Medeama jana magoli yete mawili yanefungwa na viungo, game ya Pyramid na Mazembe hakukua na goli la mshambuliaji ikija Yanga mna anza upuuzi
 
Back
Top Bottom