Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Nelson...Unakataa mzee wangu bali ulikua mwanafunzi usiyekua na nidhamu UDSM
Tumekuelewa kakaMnachonga ngenga tu mmewahi kuona Video za vita vya mapinduzi hayo ya ZANZIBAR miaka ile nyie?!... wana sababu zao ndo mana hawataki, usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Tuweke udini na urangi pembeni...,haki na maslahi kwanza!
Count...Situkani mkuu ila nimesema majibu yako yalikuwa ni ya kihuni, kimsingi nimeikosoa hoja yako na si wewe binafsi mkuu
Hujajibu swali tena badala yake unauliza maswali
Hujaeleza kuhusu huo utafiti hujajibu swali la msingi hii inaashiria nini?
Anza kunijibu maswali yangu then nitajibu yako mkuu wangu
Kama huna majibu sema pia sio dhambi
SWALI:
Hakukuwa na ubaguzi wa rangi na uonevu systematically kwa wenyeji wa visiwa vile?
Kulikua na umiliki sawa wa ardhi kati ya wenyeji na wageni?
Kulikua na umiliki sawa wa watumwa kati ya wenyeji na wavamizi?
Kulikuwa na mgawanyo sawa wa nyenzo za uzalishaji mali kati ya wenyeji na wavamizi
Hapana mzee wangu siwezi kukuita kilaza!!!Ila nasikia ulichochea uvunjwaji mabucha ya nguruwe!!Nelson...
Sikupata kujua hili.
Kuna mahali nilisoma hapa kuwa Mohamed Said alikuwa ''kilaza,'' yaani hayamudu masomo.
Sina hakika kama ni wewe uliandika au mtu mwingine.
Wakati mwingine vitu kama hivi vina raha yake kusoma.
Vinakufanya ushukuru.
Rudi nyuma kidogo toka Mwaka 1700,s mpaka 1964!!!Usianzie 1964 tu mzee wanguCount...
Hapana haja ya kutukana.
Tufanye mjadala wa adabu na heshima.
Hapa Tanzania Bara iliyosaidia mapinduzi ya Zanzibar kuna fursa sawa kati ya wananchi wake wote?
Ni nani wanaohodhi nafasi za elimu kuanzia sekondari hadi vyuo vikuu?
Ni nani walioshika serikali na bunge na nafasi za kazi huko kote?
Ni nani waliodhalilishwa toka uhuru upatikane mwaka wa 1961?
Unaijua jamii iliyoshika madaraka kwa 80%.
Unaijua jamii iliyodhalilishwa?
Unalijua tatizo hili hapa Tanganyika?
Vipi uyaone ya Zanzibar chini ya Sultan ushindwe kuliona hili lililopo nchini kwako?
Ikiwa Zanzibar imenufaika na mapinduzi iweje serikali ya CCM Zanzibar inashindwa kila uchaguzi?
Wazanzibari hawataki kunufaika na mapinduzi?
Unalo jibu la swali hili?
Sasa ila uwe radhi kufundishikaNelson...
Utanifariji sana kuwa leo na mimi nakaa kusomeshwa kwani nimezoea kusomesha wengine.
Nasubiri darasa lako kwa hamu.
Naamini kipo nitakachojifunza kutoka kwako:
PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES
- The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.
- The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006.
- Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.
- Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.
- Uamuzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.
- Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No. 1, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam.
- Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No.2, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam.
- Dar es Salaam na Wazalendo Wake Mashujaa Katika Kupigani Uhuru wa Tanganyika Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam.
- Watu Mashuhuri Katika Kuulingania Uislam Tanzania, Sheikh Ilunga, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam.
- Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam.
- The School Trip to Zanzibar, Africa Proper Education Network 2020, Dar es Salaam.
- Rajabu Ibrahim Kirama, Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam, Readit, 2020, Dar es Salaam.
- In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).
- Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).
- Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi).
- The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).
- Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).
- The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili. Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).
- Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).
- Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).
- Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).
- Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).
- Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.
- Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.
- Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.
- Awards: Several Awards
- Visiting Scholar: (2011).
- University of Iowa, Iowa City, USA.
- Northwestern University, Chicago, Illinois, USA.
- Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.
- OTHER COUNTRIES VISITED
- Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.
Nelson...Sasa ila uwe radhi kufundishika
Nelson...Hapana mzee wangu siwezi kukuita kilaza!!!Ila nasikia ulichochea uvunjwaji mabucha ya nguruwe!!
Bas ucjsliNelson...
Mimi sina tatizo kusomeshwa na wewe kwa hakika unanifanyia ikhsani kubwa sana mimi kupiga goti kwako ukanisomesha.
Hili ni jambo halijapata kunitokea toka nimalize masomo.
Siku zote mimi ni kuingia Vyuo Vikuu kusomesha.
Leo wewe umenipa fursa kubwa.
Niko tayari na ni radhi kuwa mwanafunzi wako.
Nelson...
Mimi sina tatizo kusomeshwa na wewe kwa hakika unanifanyia ikhsani kubwa sana mimi kupiga goti kwako ukanisomesha.
Hili ni jambo halijapata kunitokea toka nimalize masomo.
Siku zote mimi ni kuingia Vyuo Vikuu kusomesha.
Leo wewe umenipa fursa kubwa.
Niko tayari na ni radhi kuwa mwanafunzi wak
Basi ucjali nitapanga utaratibu wa kukufikia!!!Mzee wanguNelson...
Mimi sina tatizo kusomeshwa na wewe kwa hakika unanifanyia ikhsani kubwa sana mimi kupiga goti kwako ukanisomesha.
Hili ni jambo halijapata kunitokea toka nimalize masomo.
Siku zote mimi ni kuingia Vyuo Vikuu kusomesha.
Leo wewe umenipa fursa kubwa.
Niko tayari na ni radhi kuwa mwanafunzi wako.
Una lolote la kusema kuhusu tuhuma hizi mzee wangu???Nelson...
Hapana siwezi kufanya uchochezi wa aina yoyote.
Umesikia wapi taarifa hizi?
Nelson...Kuna watu wanadai wewe ulikua kinara wa zile vurugu za mwembe chai na mwanzilishi wa vuguvugu la kutaka tanzania iwe nchi ya kiislamu na ijiunge na IOC na pia unahusika na mihadhara ya kidini katika nyumba za ibada kuwashawishi watu kuvunja sheria za nchi!!!Na umekua unatumia platforms za mitandao ya kijamii kueneza sera zako hizo mzee wangu!!!!Una lolote la kusema kuhusu tuhuma hizi???
Una lolote la kusema kuhusu tuhuma hizi mzee wangu???
Nelson...M
Bas ucjsli
Basi ucjali nitapanga utaratibu wa kukufikia!!!Mzee wangu
Sijui kama unaelewa mzee wangu ila hilo si jibuCapone...
Nimekujibu labda ukiwa hukulipenda jibu langu.
Nakujibu tena.
Usawa huo unaouliza Zanzibar wakati wa Sultani upo hapa Tanganyika hivi sasa?
Je upo pia Zanzibar hii ya serikali ya mapinduzi?
Sio overload, ni Overlord soma komenti zangu kwa makini usijichanganyeSijakufahamu overload vipi ? Yaani Wazanzibari hawakudai uhuru kutoka kwa Sultani wakadai uhuru kutoka Uingereza kwa sababu ya Uingereza kuwa ni overload wa Misri na Sudan ?
Hivi uko serious?
Mkuu kama unaleta hoja za kihuni sitasita kuziita za kihuni regardlessCount...
Hapana haja ya kutukana.
Tufanye mjadala wa adabu na heshima.
Hapa Tanzania Bara iliyosaidia mapinduzi ya Zanzibar kuna fursa sawa kati ya wananchi wake wote?
Ni nani wanaohodhi nafasi za elimu kuanzia sekondari hadi vyuo vikuu?
Ni nani walioshika serikali na bunge na nafasi za kazi huko kote?
Ni nani waliodhalilishwa toka uhuru upatikane mwaka wa 1961?
Unaijua jamii iliyoshika madaraka kwa 80%.
Unaijua jamii iliyodhalilishwa?
Unalijua tatizo hili hapa Tanganyika?
Vipi uyaone ya Zanzibar chini ya Sultan ushindwe kuliona hili lililopo nchini kwako?
Ikiwa Zanzibar imenufaika na mapinduzi iweje serikali ya CCM Zanzibar inashindwa kila uchaguzi?
Wazanzibari hawataki kunufaika na mapinduzi?
Unalo jibu la swali hili?
Mzee wangu ninatamani sana sana ningenufaika nayo ila ninasikitika kuwa kushindwa kwako kunijibu swali langu kunanifanya nikuone mamluki jambo ambalo lina compromise hata imani na heshima yangu kwako mzeeCapone...
Nimekujibu.
Mimi sibishani na mtu yeyote hapa.
Mimi hapa naeleza naeleza ninayoyajua.
Nadhani kwa muda uliokuwa unasoma ninayoandika naamini umepata mengi ambayo hukupata kuyajua.
Ikiwa huamini niandikayo sawa tuendelee na mengine watu wanufaike na darsa hili.