Wanaofanya kazi ya kupoteza watu ndani ya "Kitengo" wanapataje kazi hii?

Wanaofanya kazi ya kupoteza watu ndani ya "Kitengo" wanapataje kazi hii?

Kwa mwenye kujua, hivi watu wanaofanya hii kazi ya kikatili wanakuwa na sifa gani za kupewa hii kazi ndani ya Kitengo?

Kama ni vibarua, Je, hununuliwa vitu kama bangi waweze kuifanya hiyo kazi pasipo kujali wanachokiofanya?

Au watu wakishapata ajira, baadhi yao hupangiwa hii kazi wapende wasipende?

Na je, hii kazi ina mafunzo maalumu na ambayo yanapatikana nje ya nchi?

Au wanaofanya hii kazi ni watu wenye historia ya uhalifu na ambao ndio hupewa hii ajira?

Yaani unaweza kuwa unatoka nyumbani umetinga kaunda suti halafu kazi yako ikawa ni ya kupoteza watu au kusimamia operration/tukio la mtu kupotezwa na kisha siku ya ibada unaenda kuabudu?

Yataka moyo na ni bora kufanya kazi mochwari kuliko kuwa ndani ya hiki kitengo.
Usisahau na wale wanaovaa suti kwenda kukata Umeme
 
Ungejiuliza kwanza wale wanaopiga Wanyama kama Paka au Mbwa mpaka anakata roho hupewa mafunzo gani? Kwa nini Tanzania wanapiga paka mpaka anakata roho? Wanambana mahali na kumpiga mpaka anakata roho unafikiri ni kwa nini? Au kwa nini Tanzania Mwanaume akimuua Mke wake kwa ukatili Wanaume (siyo wote) wa Tanzania wanamtetea Mwanaume kwa ukatili alimfanyia Mwanamke na hawaonyeshi huruma na Mwanamke aliuliwa kikatili?

Ukiapata majibu ya hayo maswali ndiyo utaelewa kwamba unaweza kuuwa mtu kirahisi sana klk unavyodhania, unahitaji kumchukia tu, kila kitu kimeisha.

Hao watu ni psychopath sifa ya psychopathy ni kukosa huruma na wataalamu wanasema wanaotesa Wanyama ni psychopaths na siyo watekelezaji tu kuna wanaotoa oda pia unawaweka kundi gani?
Siungi mkono hoja yako, kama unakula nyama ya mbuzi, kuku na ng'ombe unamkamata na kumchinja, unamchuna na ngozi, au wale wanaoua kitimoto kwa kumpiga na kitu kizito kichwani unataka kusema ni sawa na hawa hitmen, mfano wako upo irrelevant, mnyama ni mnyama na binadamu ni binadamu, kama u anahisi anayeua paka ni katili basi anayechinja ng'ombe ni katili pia na wewe unayekwenda buchani kununua nyama na kusema nyama nzuri kilo 1 tukuweke kundi lipi?

Napinga ukatili dhidi ya wanyama lakini anayetoa roho ya mwanadamu mwenzake si sawa na anayeua mnyama.

Hitmen wale ni watekelezaji, kuna mafunzo wanapewa ya utii na ukatili, sio watu wa kujiuliza, wanachoambiwa wanasimamia usalama wa Taifa, mhanga hapo kwanza kabisa anapewa jina baya, sifa mbaya na pia wanaambiwa ni mtu hatari kwa usalama wa nchi, kinachofuata ni utekelezaji na kupewa sifa/reward kama cheo, pesa n.k..

Hivyo vitengo kuna viapo vyao hasa kutii na kufuata mamlaka toka juu, kuna taratibu zao kama ukiwa msaliti adhabu yako ni ipi, we hakuna kuuliza, ukishaambiwa flani hapasai kuendelea kupumua hakuna kuuliza na kubishia wakubwa zako, wengine akili zao huwa kama wanachanganyikiwa flani tokana na matukio wanayofanya lakini hakuna jinsi. Tazama hata movies wale askari huwa wanakwenda vitani wakirudi huwa wengine akili zinaruka wengine wanaugua ile inaitwa PTSD..

Fikiria kwa nini askari anaogopa na kuitii command ya mkubwa wake aende front vitani aka risk maisha yake kuliko kukataa command aliyopewa, wamefunzwa hivyo, na kuna watu ambao wanajua kucheza na akili za wanadamu.
 
Kwa mwenye kujua, hivi watu wanaofanya hii kazi ya kikatili wanakuwa na sifa gani za kupewa hii kazi ndani ya Kitengo?

Kama ni vibarua, Je, hununuliwa vitu kama bangi waweze kuifanya hiyo kazi pasipo kujali wanachokiofanya?

Au watu wakishapata ajira, baadhi yao hupangiwa hii kazi wapende wasipende?

Na je, hii kazi ina mafunzo maalumu na ambayo yanapatikana nje ya nchi?

Au wanaofanya hii kazi ni watu wenye historia ya uhalifu na ambao ndio hupewa hii ajira?

Yaani unaweza kuwa unatoka nyumbani umetinga kaunda suti halafu kazi yako ikawa ni ya kupoteza watu au kusimamia operration/tukio la mtu kupotezwa na kisha siku ya ibada unaenda kuabudu?

Yataka moyo na ni bora kufanya kazi mochwari kuliko kuwa ndani ya hiki kitengo.
Ni vijana kutoka uvccm
 
Kwa mwenye kujua, hivi watu wanaofanya hii kazi ya kikatili wanakuwa na sifa gani za kupewa hii kazi ndani ya Kitengo?

Kama ni vibarua, Je, hununuliwa vitu kama bangi waweze kuifanya hiyo kazi pasipo kujali wanachokiofanya?

Au watu wakishapata ajira, baadhi yao hupangiwa hii kazi wapende wasipende?

Na je, hii kazi ina mafunzo maalumu na ambayo yanapatikana nje ya nchi?

Au wanaofanya hii kazi ni watu wenye historia ya uhalifu na ambao ndio hupewa hii ajira?

Yaani unaweza kuwa unatoka nyumbani umetinga kaunda suti halafu kazi yako ikawa ni ya kupoteza watu au kusimamia operration/tukio la mtu kupotezwa na kisha siku ya ibada unaenda kuabudu?

Yataka moyo na ni bora kufanya kazi mochwari kuliko kuwa ndani ya hiki kitengo.
Kuna wafungwa na mahabusu wale wenye kesi ngumu hasa za unyang'anyi, mauaji nk .. Na wengine ni wale mabanditu wa mitaani

Yoyote kati ya huarifiwa kwamba leo kuna kazi maalum utajulishwa muda JIANDAE
 
Kuna mwingine tena kapotezwa au?
20221221_055947.jpg
 
Kwa mwenye kujua, hivi watu wanaofanya hii kazi ya kikatili wanakuwa na sifa gani za kupewa hii kazi ndani ya Kitengo?

Kama ni vibarua, Je, hununuliwa vitu kama bangi waweze kuifanya hiyo kazi pasipo kujali wanachokiofanya?

Au watu wakishapata ajira, baadhi yao hupangiwa hii kazi wapende wasipende?

Na je, hii kazi ina mafunzo maalumu na ambayo yanapatikana nje ya nchi?

Au wanaofanya hii kazi ni watu wenye historia ya uhalifu na ambao ndio hupewa hii ajira?

Yaani unaweza kuwa unatoka nyumbani umetinga kaunda suti halafu kazi yako ikawa ni ya kupoteza watu au kusimamia operration/tukio la mtu kupotezwa na kisha siku ya ibada unaenda kuabudu?

Yataka moyo na ni bora kufanya kazi mochwari kuliko kuwa ndani ya hiki kitengo.
Kamuulize makonda au jiwe kule chato kama utaweza maana wao ndio wataalamu wa hizo Mambo.
 
Hawa watu huitwa "hitmen". Hutumiwa na magenge ya waharifu, serikali (government conspiracies) ama walipa visasi (vendetta).

Nije kwenye hoja yako ya mafunzo. Hitmen wa serikali hupewa mafunzo ya kupoteza watu.

Hitmen wa Tanzania (enzi za ujamaa) walikuwa wanapelekwa Moscow ambako kuna chuo ambacho hutoa mafunzo ya kuuwa kwa kutumia sumu, bunduki na kumnyonga mtu kwa mikono.

Wengi humu ndani hamfahu hili.
Hitmen ni nick name tu, hata ww unaweza kuwa under right condition.

Kwanza wale wote ni askari, huwa hand picked within taasis husika.
Ndani ya taasis kuna vitengo vingi, moja ya kitengo vinavyohusika na hiyo kitu viko classified as paramilitary units or special operation units, within hizi unit kuna specialized skills officer.
Kazi zao hasa ni direct actions, sabotage, kidnapping, dissapearance, political protections, judicial killings ( hizi hufanyika under orders kutoka serikalini )

selection zao hawa huwa recruited kutoka kwenye majeshi mbali mbali mostly commando. Na ni hand picked na viongozi wao ,Na mara chache regular soldiers ambao wana out perform kwenye field yao. The hupewa mafunzo zaid kwenye field husika. Remember si kila anaekuwa selected ana pass mafunzo.

Under goverment protection hawa jamaa wana operate kwa usiri mkubwa in such serikal nyingi duniani zenye vikos kama hivi hukana kuhusika na mambo hayo.

Yes they exist
 
Siungi mkono hoja yako, kama unakula nyama ya mbuzi, kuku na ng'ombe unamkamata na kumchinja, unamchuna na ngozi, au wale wanaoua kitimoto kwa kumpiga na kitu kizito kichwani unataka kusema ni sawa na hawa hitmen, mfano wako upo irrelevant, mnyama ni mnyama na binadamu ni binadamu, kama u anahisi anayeua paka ni katili basi anayechinja ng'ombe ni katili pia na wewe unayekwenda buchani kununua nyama na kusema nyama nzuri kilo 1 tukuweke kundi lipi?

Napinga ukatili dhidi ya wanyama lakini anayetoa roho ya mwanadamu mwenzake si sawa na anayeua mnyama.

Hitmen wale ni watekelezaji, kuna mafunzo wanapewa ya utii na ukatili, sio watu wa kujiuliza, wanachoambiwa wanasimamia usalama wa Taifa, mhanga hapo kwanza kabisa anapewa jina baya, sifa mbaya na pia wanaambiwa ni mtu hatari kwa usalama wa nchi, kinachofuata ni utekelezaji na kupewa sifa/reward kama cheo, pesa n.k..

Hivyo vitengo kuna viapo vyao hasa kutii na kufuata mamlaka toka juu, kuna taratibu zao kama ukiwa msaliti adhabu yako ni ipi, we hakuna kuuliza, ukishaambiwa flani hapasai kuendelea kupumua hakuna kuuliza na kubishia wakubwa zako, wengine akili zao huwa kama wanachanganyikiwa flani tokana na matukio wanayofanya lakini hakuna jinsi. Tazama hata movies wale askari huwa wanakwenda vitani wakirudi huwa wengine akili zinaruka wengine wanaugua ile inaitwa PTSD..

Fikiria kwa nini askari anaogopa na kuitii command ya mkubwa wake aende front vitani aka risk maisha yake kuliko kukataa command aliyopewa, wamefunzwa hivyo, na kuna watu ambao wanajua kucheza na akili za wanadamu.
Asomaye na afahamu.
 
Back
Top Bottom