Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Siku zote anayetamani kufanya hiyo KAZI, huwa hapati! Anapata yule ambaye hata hakutegemea [emoji1545]
Sasa umejibu swali au umetoa ufafanuzi wa aina hiyo ya watu ?! Mtoa mada anataka kujua je wanaabudu, je wanapewa mafunzo, je wanafamilia, je wanahisi hatia kwa watendayo, je wanalazimishwa au ni kwa hiari yao.Ungejiuliza kwanza wale wanaopiga Wanyama kama Paka au Mbwa mpaka anakata roho hupewa mafunzo gani? Kwa nini Tanzania wanapiga paka mpaka anakata roho?
Wanambana mahali na kumpiga mpaka anakata roho unafikiri ni kwa nini? Au kwa nini Tanzania Mwanaume akimuua Mke wake kwa ukatili Wanaume (siyo wote) wa Tanzania wanamtetea Mwanaume kwa ukatili aliomfanyia Mwanamke na hawaonyeshi huruma na Mwanamke aliyeuliwa kikatili?
Ukipata majibu ya hayo maswali ndiyo utaelewa kwamba unaweza kuuwa mtu kirahisi sana klk unavyodhania, unahitaji kumchukia tu, kila kitu kimeisha.
Hao watu ni psychopath sifa ya psychopathy ni kukosa huruma na wataalamu wanasema wanaotesa Wanyama ni psychopaths na siyo watekelezaji tu kuna wanaotoa oda pia unawaweka kundi gani?
Wengi ni zao la Jeshi huwez ingia fresh from school...Kwa mwenye kujua, hivi watu wanaofanya hii kazi ya kikatili wanakuwa na sifa gani za kupewa hii kazi ndani ya Kitengo?
Kama ni vibarua, Je, hununuliwa vitu kama bangi waweze kuifanya hiyo kazi pasipo kujali wanachokiofanya?
Au watu wakishapata ajira, baadhi yao hupangiwa hii kazi wapende wasipende?
Na je, hii kazi ina mafunzo maalumu na ambayo yanapatikana nje ya nchi?
Au wanaofanya hii kazi ni watu wenye historia ya uhalifu na ambao ndio hupewa hii ajira?
Yaani unaweza kuwa unatoka nyumbani umetinga kaunda suti halafu kazi yako ikawa ni ya kupoteza watu au kusimamia operration/tukio la mtu kupotezwa na kisha siku ya ibada unaenda kuabudu?
Yataka moyo na ni bora kufanya kazi mochwari kuliko kuwa ndani ya hiki kitengo.
Alipewa msamaha na Benjamini Mkapa , sasa hapo jiongeze mwenyewe , au labda kama hukuwa umezaliwa , Ushahidi wote umo humu JFNa yule aliyemuua Chacha Wangwe sijui ana roho ya aina gani?
Nimetafuta sana mwenye kujua historia ya Chacha Wangwe nimekosa kama unaifahamu vizuri ,,unaweza ukanipa..Na yule aliyemuua Chacha Wangwe sijui ana roho ya aina gani?
Kitu kimoja Mungu alifanya fair ni kuwa kama uliua basi na wewe utatoweka kwa njia hiyo hiyo.Kuwa yatima no baba no mama no ndugu wa karibu na wewe kupita kiasi .
Kuwa na uwezo mkubwa shuleni na akili kubwa mtaani .
Kuwa mtu wa kujichanganya sana na jamii .
Kuwa na historia ya kunyanyasika na huko nyuma kiasi umekuwa affected psychologically .
Basi utatafutwa popote ili ufanye hayo .
Ila kumbuka kwenda shule maana details zako zinachukuliwa shuleni sio uwe mtu wa mtaani .
Nitarudi baadae ikiwa kuna atakayebisha nitakuja kutoa mifano na baadhi ya majina ukayafuatilie ila jua sio mimi ila ni wao.[emoji120]
Sasa umejibu swali au umetoa ufafanuzi wa aina hiyo ya watu ?! Mtoa mada anataka kujua je wanaabudu, je wanapewa mafunzo, je wanafamilia, je wanahisi hatia kwa watendayo, je wanalazimishwa au ni kwa hiari yao.
Yule jamaa hayupo ila hizi story bado tu.
Watafute uwaulize. Nawe unataka kupoteza watu. Fikiria ukipotezwa kabla ya kutaka kujiunga na wahalifu hawa.Kwa mwenye kujua, hivi watu wanaofanya hii kazi ya kikatili wanakuwa na sifa gani za kupewa hii kazi ndani ya Kitengo?
Kama ni vibarua, Je, hununuliwa vitu kama bangi waweze kuifanya hiyo kazi pasipo kujali wanachokiofanya?
Au watu wakishapata ajira, baadhi yao hupangiwa hii kazi wapende wasipende?
Na je, hii kazi ina mafunzo maalumu na ambayo yanapatikana nje ya nchi?
Au wanaofanya hii kazi ni watu wenye historia ya uhalifu na ambao ndio hupewa hii ajira?
Yaani unaweza kuwa unatoka nyumbani umetinga kaunda suti halafu kazi yako ikawa ni ya kupoteza watu au kusimamia operration/tukio la mtu kupotezwa na kisha siku ya ibada unaenda kuabudu?
Yataka moyo na ni bora kufanya kazi mochwari kuliko kuwa ndani ya hiki kitengo.
Ukijiuliza Mbowe alichofanya Chacha WangweKuna kitu nakigiundua hapa, ila stasema kwa sasa.
Mbona hawakumzika kama mtu aliyekufa kwa covid?COVID ilimchukua
Hii ni hadisi ya kufikirika. As far as I know ukiona mtu amepigwa aubkuuliwa kifo cja ajabu utagundua ni ugomvi wa kutembea na mke wa mtu, au majizi kupunjana mgawo wa mali waliyoiba, au kulipa kisasi mtu kaua ndugu zake, au vita vya kikabila hasa nchi zetu jirani Rwanda na Kenya. Usiumize kichwa chako.Kwa mwenye kujua, hivi watu wanaofanya hii kazi ya kikatili wanakuwa na sifa gani za kupewa hii kazi ndani ya Kitengo?
Kama ni vibarua, Je, hununuliwa vitu kama bangi waweze kuifanya hiyo kazi pasipo kujali wanachokiofanya?
Au watu wakishapata ajira, baadhi yao hupangiwa hii kazi wapende wasipende?
Na je, hii kazi ina mafunzo maalumu na ambayo yanapatikana nje ya nchi?
Au wanaofanya hii kazi ni watu wenye historia ya uhalifu na ambao ndio hupewa hii ajira?
Yaani unaweza kuwa unatoka nyumbani umetinga kaunda suti halafu kazi yako ikawa ni ya kupoteza watu au kusimamia operration/tukio la mtu kupotezwa na kisha siku ya ibada unaenda kuabudu?
Yataka moyo na ni bora kufanya kazi mochwari kuliko kuwa ndani ya hiki kitengo.
Sio KWELI! Ukifahamu walio nyuma ya CHADEMA ndio utaelewa 🙏🏿Ukijiuliza Mbowe alichofanya Chacha Wangwe
Unauliza SWALI gani hilo? Hilo ndio JIBU! Sasa hivi jaribu kutulia na kuwa MTAZAMAJI!Kuna mwingine tena kapotezwa au?
Waliopewa ile kazi walikua wazembe sana sidhani kama watakua hai mpaka leo hii maana hii kazi mission isopokua accomplished inabidi wahusika wauliwe kutunza siri., hivi walishindwa hata kumtegesha sniper mmoja sehemu nzuri jamaa akishuka tu kwenye gari anapiga ya kichwa kazi imeisha