Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enzi za Nyerere sio siku hizi.Kazi zote zinazohusu "kitengo" qualifications zake ni siri ya recruiters ndo maana huwa hazitangazwi, wakikufanyia surveillance wakiona unafaa watakufata wenyewe tu
Katika duru za Intelligence, wale wanaitwa "Sanctions Server".Kwa mwenye kujua, hivi watu wanaofanya hii kazi ya kikatili wanakuwa na sifa gani za kupewa hii kazi ndani ya Kitengo?
Kama ni vibarua, Je, hununuliwa vitu kama bangi waweze kuifanya hiyo kazi pasipo kujali wanachokiofanya?
Au watu wakishapata ajira, baadhi yao hupangiwa hii kazi wapende wasipende?
Na je, hii kazi ina mafunzo maalumu na ambayo yanapatikana nje ya nchi?
Au wanaofanya hii kazi ni watu wenye historia ya uhalifu na ambao ndio hupewa hii ajira?
Yaani unaweza kuwa unatoka nyumbani umetinga kaunda suti halafu kazi yako ikawa ni ya kupoteza watu au kusimamia operration/tukio la mtu kupotezwa na kisha siku ya ibada unaenda kuabudu?
Yataka moyo na ni bora kufanya kazi mochwari kuliko kuwa ndani ya hiki kitengo.
Katika duru za Intelligence, wale wanaitwa "Sanctions Server".
Wanapewa bahasha, na picha ndani, na fedha. Wanaambiwa watafute hawa watu uwaue. Hiyo inaitwa "sanction" moja, ambayo wakati mwingine inajumuisha watu zaidi ya mmoja wanaotakiwa kuuawa.
Hawa watu wakati mwingine wanaitwa Oval Office, Rais anamwambia huyu mtu," Nina matatizo kidogo na Congress, there is too much red tape. You DO understand my problem, don't you? Hawa watu lazima wauawe."
Wakati wa ile scandal ya BCCI, is that correct?, ile Bank scandal, watu wengi waliuawa kwa amri ya White House
Wakati mwingine Sanctions Server anakataa kutii amri.
Yupo mmoja alikuwa maisha yake as a Sanctions Server. Anasema mpumbavu mmoja yule alimwamuru kumuua binti kumbe kosa lake yule binti alikuwa ni illegitimate child, sasa yeye, kama presidential candidate alikuwa hataki political scandal,anataka yule mtoto awe eliminated.
Yule Sanctions Server hakumuua yule binti. Alimpa different identity, akampeleka mafichoni.
Anasema aliwasiliana na yule jamaa, au tumwite "mheshimiwa"( hamtaji jina) ambaye nadhani alishinda urais, akamwambia ,"We huna akili kabisa"
Katika duru za Intelligence, wale wanaitwa "Sanctions Server".
Wanapewa bahasha, na picha ndani, na fedha. Wanaambiwa watafute hawa watu uwaue. Hiyo inaitwa "sanction" moja, ambayo wakati mwingine inajumuisha watu zaidi ya mmoja wanaotakiwa kuuawa.
Hawa watu wakati mwingine wanaitwa Oval Office, Rais anamwambia huyu mtu," Nina matatizo kidogo na Congress, there is too much red tape. You DO understand my problem, don't you? Hawa watu lazima wauawe."
Wakati wa ile scandal ya BCCI, is that correct?, ile Bank scandal, watu wengi waliuawa kwa amri ya White House
Wakati mwingine Sanctions Server anakataa kutii amri.
Yupo mmoja alikuwa maisha yake as a Sanctions Server. Anasema mpumbavu mmoja yule alimwamuru kumuua binti kumbe kosa lake yule binti alikuwa ni illegitimate child, sasa yeye, kama presidential candidate alikuwa hataki political scandal,anataka yule mtoto awe eliminated.
Yule Sanctions Server hakumuua yule binti. Alimpa different identity, akampeleka mafichoni.
Anasema aliwasiliana na yule jamaa, au tumwite "mheshimiwa"( hamtaji jina) ambaye nadhani alishinda urais, akamwambia ,"We huna akili kabisa"
Ndiyo, Sanctions Servers mambo yao kama movie, but alas siyo movie.Mazee! Nimesoma kwa umakini kumbe unatusimulia movie?! hahahahah
Duniani kote baadhi ya binadamu ni wakatili kwa asili/psychopaths, wanahitaji fursa na mazingira sahihi tu kuweza kutekeleza ukatili huo.
DuuhHawa watu huitwa "hitmen". Hutumiwa na magenge ya waharifu, serikali (government conspiracies) ama walipa visasi (vendetta).
Nije kwenye hoja yako ya mafunzo. Hitmen wa serikali hupewa mafunzo ya kupoteza watu.
Hitmen wa Tanzania (enzi za ujamaa) walikuwa wanapelekwa Moscow ambako kuna chuo ambacho hutoa mafunzo ya kuuwa kwa kutumia sumu, bunduki na kumnyonga mtu kwa mikono.
Inanikumbush akina John Gweru wa ZimbabwePGO
Acha ibakie hivyo hivyo!
Ila mwisho wa siku watamdaka tuNdiyo mfumo wa mambo ya kidola
Ulivyo....serikali zote duniani zina umafia...
Ndomana mpaka leo umeona Snowden kala kona yuko russia huko
Ova
Acha uongoKuna wafungwa na mahabusu wale wenye kesi ngumu hasa za unyang'anyi, mauaji nk .. Na wengine ni wale mabanditu wa mitaani
Yoyote kati ya huarifiwa kwamba leo kuna kazi maalum utajulishwa muda JIANDAE
Je ukweli ni upi?Acha uongo
Hajui loloteJe ukweli ni upi?
Na ukiwachunguza walivyokulia,maisha yao huwa ni ya ovyo....Kuna watu tumegaZaliwa hatuna ruhuma,
Siku zote anayetamani kufanya hiyo KAZI, huwa hapati! Anapata yule ambaye hata hakutegemea 🙏🏿Oya manze, likitokea dili la kupoteza mtu nishtueni ase