Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Kama mission aikua accomplished maana ake haikufanyika kwa usahihi..waliomshambulia Lissu hawakuwa wazembe.
..walimtupia risasi nyingi na 16 ziliingia mwilini mwake.
..they hit their target. Suala la target kufa hiyo ni habari nyingine.
..kilichotokea ni jambo la muujiza Lissu kuepuka kifo.
..mnaosema sniper angefanya kazi nzuri mnakosea.
..Kwasababu hata Snipers hawana uhakika wa 100% kufanikisha mission zao.
..Mwisho mnaweza kusema labda wangetumia BOMU LA NYUKLIA. lakini hata ktk shambulizi la nyuklia kuna wahanga wame-survive.
Kama mission aikua accomplished maana ake haikufanyika kwa usahihi
Kama alivyomfanya Dr UlimbokaMkuu mbona unatukumbusha maumivu na machungu ya enzi z jiwe??
Jiwe alikuwa muuaji, mtekaji na mpora fedha za watu. My God! This imbecile was the monster!Kama alivyomfanya Dr Ulimboka
Amenikumbusha baba yangu Sokoine alichofanyiwa.Mkuu mbona unatukumbusha maumivu na machungu ya enzi z jiwe??
Kwahiyo Doctor G, baba yako alikuwa ni SOKOINE?Amenikumbusha baba yangu Sokoine alichofanyiwa.
Nyerere na Mkapa nao walikuaje? maana wema hawafi.Jiwe alikuwa muuaji, mtekaji na mpora fedha za watu. My God! This imbecile was the monster!
Kwani uliona wamefia madarakani hawa?Nyerere na Mkapa nao walikuaje? maana wema hawafi.
... [emoji108][emoji108][emoji108]Kwani uliona wamefia madarakani hawa?
Kwani watu wema ni waliyokuwa madarakani tu?Kwani uliona wamefia madarakani hawa?
Hapo mzee Makamba alitumia tafsida. (Sijui unajua hata maana ya tafsida!)Kwani watu wema ni waliyokuwa madarakani tu?
🤣🤣🤣Mbona hawakumzika kama mtu aliyekufa kwa covid?
Tembo risasi moja tu analala chini...sio kweli.
..they shot their target 16 times.
..99.999% of the time ukimpiga mtu risasi 16 huwa anakufa.
..mission ingekuwa haikufanyika kwa usahihi kama wangejulikana au kutambuliwa, au wangeshambulia mtu ambaye hawakutumwa kumshambulia.
Kwamba mtu kama Maalim seif kufia kwake madarakani ni dalili ya kwamba hauwa mtu mwema?Hapo mzee Makamba alitumia tafsida. (Sijui unajua hata maana ya tafsida!)
Shetani mwenyewe hafi yupo hadi leo.Te
Tembo risasi moja tu analala chini.
Ukweli ni kwamba watu wema hawafi
Shetani ana ubaya gani?Shetani mwenyewe hafi yupo hadi leo.
Ni kinyume cha wema.Shetani ana ubaya gani?
SawaKitu kimoja Mungu alifanya fair ni kuwa kama uliua basi na wewe utatoweka kwa njia hiyo hiyo.
Huwa Wana source kutoka Kwa ma PolisiKwa mwenye kujua, hivi watu wanaofanya hii kazi ya kikatili wanakuwa na sifa gani za kupewa hii kazi ndani ya Kitengo?
Kama ni vibarua, Je, hununuliwa vitu kama bangi waweze kuifanya hiyo kazi pasipo kujali wanachokiofanya?
Au watu wakishapata ajira, baadhi yao hupangiwa hii kazi wapende wasipende?
Na je, hii kazi ina mafunzo maalumu na ambayo yanapatikana nje ya nchi?
Au wanaofanya hii kazi ni watu wenye historia ya uhalifu na ambao ndio hupewa hii ajira?
Yaani unaweza kuwa unatoka nyumbani umetinga kaunda suti halafu kazi yako ikawa ni ya kupoteza watu au kusimamia operration/tukio la mtu kupotezwa na kisha siku ya ibada unaenda kuabudu?
Yataka moyo na ni bora kufanya kazi mochwari kuliko kuwa ndani ya hiki kitengo.
Jaribu kupitia huu uzi wa Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana na unatakiwa kuwa na UVUMILIVU WA KISIASA kama walivyo FAMILIA YA HAYATI KARUME, yaani mnapaswa kuiga SIASA ZA ZANZIBARI kwa upande wa CHAMA CHA MAPINDUZI-CCM.Amenikumbusha baba yangu Sokoine alichofanyiwa.