Wanaoiba kura tukiwa katikati ya mfungo wa Ramadhan na Kwaresma ni akina nani?

Uliwahi kuona Source yoyote kwenye thread za Lucas?

Hana haja na hayo mambo!!
 
Swali LANGU, Hawa wanaoiba kura kipindi hiki wanazo dini?
Au wana dini ila Hawajafunga?

Nauliza tena, waliofanya haya, ni ATHEIST kina @Kiranga ?

Ombi: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi jitafakari.
Mwizi huwa ana muda wa kujitafakari
 
Kwamba kuzimu na wizi wakura, ni pipa na mfuniko!!!

Pia hii ya kusema akhera ni kuzimu, umeitoa wapi?
 
Kwamba kuzimu na wizi wakura, ni pipa na mfumuko!!!
Ndugu !!!doctrine zote mbili ni kuzimu!

Ukiona mtu aliekufa anatangazwa mwenye heri tambua kuwa kule kuzimu ameshakufa tena Kwa mara ya pili ndio asubiri hukumu halisi!!!

Yaani wale viongozi was dini hizi au siasa hufa kwanza kwa kuhamishwa wakatumike kule walipopatia madaraka halafu ndio hufa tena Kwa kifo halisi Cha miaka halisi!ndio hutangazwa wenye heri rasmi!!
 
Ni watu wa motoni 🙏🔥🔥 !
 
Ni muhimu kujua kwamba hakuna wakati ambao tunaruhusiwa na Mungu kufanya dhambi/uovu na mwingine haturuhusiwi.
Hivyo ni ujinga au unafiki kujifanya watakatifu wakati wa kufunga tu.
Pili, mtu muovu ni muovu tu hata kama ni muumini asiyekosa kanisani au msikitini.
Tatu, waovu wengi hutumia dini kama kichaka cha kujificha.
 
Kwamba kuzimu na wizi wakura, ni pipa na mfuniko!!!

Pia hii ya kusema akhera ni kuzimu, umeitoa wapi?
Kamusi ya biblia inasema Akhera-kuzimu!

Kama una mbs,ingia YouTube tafuta huduma ya kristo ya jacob steven Kuna ujumbe Kwa mama"Ikulu imepasuka" kasikilize na uone!!
 
Kwahiyo mkaona muibe wakati wa mfungo!!
 
Kamusi ya biblia inasema Akhera-kuzimu!

Kama una mbs,ingia YouTube tafuta huduma ya kristo ya jacob steven Kuna ujumbe Kwa mama"Ikulu imepasuka" kasikilize na uone!!
Asee nimeona,

Njia Gani itumike message ifike Ili madhabahu ya Tanga idhibitiwe!!
 
Kuwa na dini siyo sababu ya kutotenda dhambi! Hata shetani ana dini
Kinachofanya mtu aogope kutenda dhambi ni kuwa na Hofu ya Mungu!
Chama pendwa ni Chama Cha Mashetani kwa hiyo hakiwezi kuacha kuiba!
 
P
 
Mkuu huwa unaamini dini? Wenzako huwa wanatumia ukondoo wa dini kufanya Yao. Kama watu wanaapa kwa kutumia hivyo vitabu vya dini huku wakiwa wamefanya uovu Hadi kwenye huo uchaguzi, na Wala hawadhuriki, hapo dini ni kitu gani? Machafuko pekee ndio yanaweza kuleta mabadiliko na sio dini ambazo hazina majibu ya kweli.
 
Weka hapa kwanza ushahidi wa kweli wa hizo kura unazosema zimeibiwa.
Tunasema Tanzania hakuna uchaguzi Bali maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura. Vyombo vinavyopaswa kudhibitisha wizi wa kura, ndio vinavyoratibu wizi wa kura!
 
Umeibua jambo Muhimu sana. Lakini nikuulize swali weww ulidhani wale jamaa wana dini?

Endelea kujidanganya.
 
Dini ni imani moja dhaifu sana isiyo na Nguvu kabisa.

Mtu katoka kuua jana na leo anaapa kashika Msahafu na wala huo Msahafu haumfanyi kitu
😂
 
Umeibua jambo Muhimu sana. Lakini nikuulize swali weww ulidhani wale jamaa wana dini?

Endelea kujidanganya.
Unataka kusema kitabu kitakatifu wanachoshika Kwa kuapa ni hadaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…