kamjabari
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 1,144
- 1,668
Kwa afrika ni wakati muhimu wa kuludisha tamaduni zetu nzuri ,na kuachana na imani za kufikirika za kizungu na kiaarabu ambazo matokeyo hayaonekani .
Ndiyo maana imani hizi haziheshimiwi tofauti na tamaduni zetu za kiafrika tulizo zisaliti
Ilikiwa watu wakienda kinyume kwenye jamii wanaadhibiwa na hawaludi tena.
Ndiyo maana imani hizi haziheshimiwi tofauti na tamaduni zetu za kiafrika tulizo zisaliti
Ilikiwa watu wakienda kinyume kwenye jamii wanaadhibiwa na hawaludi tena.