Kumbe imethibitika, dini na Imani, ni vitu viwili tofauti.Dini ni imani moja dhaifu sana isiyo na Nguvu kabisa.
Mtu katoka kuua jana na leo anaapa kashika Msahafu na wala huo Msahafu haumfanyi kitu
π
Mwanadamu anatakiwa kuwa mbali na uovu wakati wote. Iwe mfungo au siku za kawaida. Hakuna wakati wowote ule ambao Mungu huruhusu uovu.Kwahiyo mkaona muibe wakati wa mfungo!!
Kabisa, yaani nikiona mtu anapata madaraka kwa uhuni, kisha anajifanya mcha Mungu huwa namuona ni bonge la tapeli.Dini ni imani moja dhaifu sana isiyo na Nguvu kabisa.
Mtu katoka kuua jana na leo anaapa kashika Msahafu na wala huo Msahafu haumfanyi kitu
π
Hakuna kiongozi wa CCM anajali ukubwa wa dhambi.Salaam, Shalom!!
DINI kubwa mbili duniani, zimejikuta zikiwa katika mfungo Kwa pamoja, waislamu na wakatoliki,
Mtwara katika uchaguzi wa madiwani, limetokea tukio la kukamatwa kura fake,
Swali LANGU, Hawa wanaoiba kura kipindi hiki wanazo dini?
Au wana dini ila Hawajafunga?
Nauliza tena, waliofanya haya, ni ATHEIST kina Kiranga ?
Ombi: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi jitafakari.
Karibuni[emoji120]
Kabisa, yaani nikiona mtu anapata madaraka kwa uhuni, kisha anajifanya mcha Mungu huwa namuona ni bonge la tapeli.
Na huo ndio ukweli wenyewe !Ni muhimu kujua kwamba hakuna wakati ambao tunaruhusiwa na Mungu kufanya dhambi/uovu na mwingine haturuhusiwi.
Hivyo ni ujinga au unafiki kujifanya watakatifu wakati wa kufunga tu.
Pili, mtu muovu ni muovu tu hata kama ni muumini asiyekosa kanisani au msikitini.
Tatu, waovu wengi hutumia dini kama kichaka cha kujificha.
Kabisa !Hakuna kiongozi wa CCM anajali ukubwa wa dhambi.
Hatar sana. !Si unaona wameiba kura wakati wa Kwaresma na Ramadhani?
Huwa wanatudanganya tu sisi wanyonge....lakini sio wenzetuKabisa !
Hawaamini kama kuna Mungu !!
CHAMA TAWALASalaam, Shalom!!
DINI kubwa mbili duniani, zimejikuta zikiwa katika mfungo Kwa pamoja, waislamu na wakatoliki,
Mtwara katika uchaguzi wa madiwani, limetokea tukio la kukamatwa kura fake,
Swali LANGU, Hawa wanaoiba kura kipindi hiki wanazo dini?
Au wana dini ila Hawajafunga?
Nauliza tena, waliofanya haya, ni ATHEIST kina Kiranga ?
Ombi: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi jitafakari.
Karibuni[emoji120]