Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waheshimu wasambaa plzUkisikia Tanga raha n mengine mazuri ni kazi ya wadigo na wabondei, vitu kama elimu, mapenzi, mapishi, ukarimu na uzungumzaji wa lugha fasaha ya Kiswahili. Waliobakia kama wasambaa na wazingua ni watu wa shamba tu na kazi ngumu,
ukanena ukamara mweneuPale unafikiria kwa makalio...wasambaa ndo matajiri Tanga na Wana elimu Tanga fuatilia wakina professor riziki shemdoe, kijazi marehemu...
Sineni nkamara mwenehu.ukanena ukamara mweneu
una dharubu sana uwe mwana? ukuvi?Sineni nkamara mwenehu.
😂😂😂una dharubu sana uwe mwana? ukuvi?
Wadigo watani zangu kama watani zangu wengine wazaramo.Pale unapofikiria kwa makalio...wasambaa ndo matajiri Tanga na Wana elimu Tanga fuatilia wakina professor riziki shemdoe, kijazi marehemu...
Hao wadigo na wabondei ndo wale washinda vibarazani na wacheza bao na wanawake wao wavaa vijora na kwenda kwenye visherehe ila wasambaa ndo watu wa kazi na wainua uchumi wa TangaUkisikia Tanga raha na mengine mazuri ni kazi ya wadigo na wabondei, vitu kama elimu, mapenzi, mapishi, ukarimu na uzungumzaji wa lugha fasaha ya Kiswahili. Waliobakia kama Wasambaa na Wazigua ni watu washamba tu na kazi ngumu
Tena kwa accent yao.Nasoma comments 🍿
Wazigua?Waheshimu wasambaa plz