Wanaoibeba Tanga ni Wadigo na wabondei

Wanaoibeba Tanga ni Wadigo na wabondei

Kibaya zaidi hata wanawake wa kidigo wanaolewA sana na vijsna wa kisambaa kwa sababu ni wachacharikaji.Muda si mrefu kabila ls wadigo litapotea.Sasa hv wasambaa wameingia mpaka baharini.Vijana wengi wa kidigo wanalelewa na wazazi wao hawajitumi.
 
Kibaya zaidi hata wanawake wa kidigo wanaolewA sana na vijsna wa kisambaa kwa sababu ni wachacharikaji.Muda si mrefu kabila ls wadigo litapotea.Sasa hv wasambaa wameingia mpaka baharini.Vijana wengi wa kidigo wanalelewa na wazazi wao hawajitumi.
Kweli kabisa ushahidi huu hapa
 

Attachments

  • 5207757-69863676912bf28a887f88e56febe3a9.mp4
    7.6 MB
Tanga kiuchumi imeshika na wahindi, wachaga na wasambaa , wadigo wanamiliki nyumba chakavu za iridhi za wakati WA mkoloni
 
Ukisikia Tanga raha na mengine mazuri ni kazi ya wadigo na wabondei, vitu kama elimu, mapenzi, mapishi, ukarimu na uzungumzaji wa lugha fasaha ya Kiswahili. Waliobakia kama Wasambaa na Wazigua ni watu washamba tu na kazi ngumu
wanaibeba tanga kwa lipi?
 
Ukisikia Tanga raha na mengine mazuri ni kazi ya wadigo na wabondei, vitu kama elimu, mapenzi, mapishi, ukarimu na uzungumzaji wa lugha fasaha ya Kiswahili. Waliobakia kama Wasambaa na Wazigua ni watu washamba tu na kazi ngumu
kufanya kazi sio ushamba ndio kusema ujaja ni kuchoma chapati na vitumbua kwa kina mama wa kidigo waume kushinda vibarazani?
 
Pale unapofikiria kwa makalio...wasambaa ndo matajiri Tanga na Wana elimu Tanga fuatilia wakina professor Riziki Shemdoe, Kijazi marehemu, Shekilango mpaka ana mtaa hapa Sinza. Wasambaa ndo advanced na wachapakazi hata kwa sura nzuri na interaction na wazungu wapo.

Kama unabisha fuatilia watu wengi Serikalini kwa wanaotoka Tanga ni kabila gani hayo majina ya "She" yapo kibao na ni wachapakazi .

Soko la Mgandini ni wasambaa ,kule chuma na Ngamiani ... Tajiri kama Shehoza ni msambaa ni wachache sana kwa umaskini Wasambaa. Nilikaa hapo ukienda pale 15 ni wafanyabiashara wakubwa.

Nenda mpaka Arusha ,Dar, Moshi kaone balaa la wasambaa ..

Wadigo ujuaji mwingi kujua kiswahili wanajifanya wanajua kila kitu.
kiswahili chenyewe hawakijui
 
Back
Top Bottom