Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Hivi Kuna mdigo profesa au hata daktari bingwa au hata afisa wa jeshi mwenye cheo Cha kanali?
Tangu dunia iumbwe kumesha wahi kua na waziri mdigo?
Ndio wenyeji lakini Kama walivyo fanywa wazaramo Dar, ndio hivyo hivyo walivyo fanywa wadigo Tanga.Wadigo ndy wenye Tanga mjini,,
Wengine wote kelele tu.
[emoji16][emoji16][emoji16]kaliwashauna dharubu sana uwe mwana? ukuvi?
Mdigo anafungua duka lake saa tatu na nusu asubuhiUkisikia Tanga raha na mengine mazuri ni kazi ya wadigo na wabondei, vitu kama elimu, mapenzi, mapishi, ukarimu na uzungumzaji wa lugha fasaha ya Kiswahili. Waliobakia kama Wasambaa na Wazigua ni watu washamba tu na kazi ngumu
Acha upuuzi na ukabila. Kwani hao unaowasema ni waswahili? Mbona kiswahili hakina mwenyewe? Tanga ni yao woteUkisikia Tanga raha na mengine mazuri ni kazi ya wadigo na wabondei, vitu kama elimu, mapenzi, mapishi, ukarimu na uzungumzaji wa lugha fasaha ya Kiswahili. Waliobakia kama Wasambaa na Wazigua ni watu washamba tu na kazi ngumu
Watu wa Lutindi wanakaukichaa ila wana akili sanaZumbe umshambaa kaibu lutindi
Lutindi haina vichaa ,ile hospitali ni kwa watanzania woteilijengwa kisarawe ila wajerumani wakaihamishia lutindi sababu ya utulivu na hali ya hewa.Watu wa Lutindi wanakaukichaa ila wana akili sana
Sio rushoto ni lushotoWasambaa ndo kabila ambalo Lina wanawakee wanaongoza kwa kuolewa hawachagui mume Wala kabila Bora mtu kafata talatibu zao ata Mimi Niko mbioni kuoa msambaa wa rushoto
SambaaHivi Makamba family ni kabila gani kati ya hao?
Hahaaa umewananga sana kina mwapachu wadigo waleHivi Kuna mdigo profesa au hata daktari bingwa au hata afisa wa jeshi mwenye cheo Cha kanali?
Tangu dunia iumbwe kumesha wahi kua na waziri mdigo?
Kina Mwapachu hawakua wadigo piwa ndio maana walipenya Hadi uwaziri.Hahaaa umewananga sana kina mwapachu wadigo wale