Syolosu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2019
- 868
- 1,016
Why wa dar tu?1. Je, hao wazee wanapatikana Dar tu au wapo kila mkoa?
2. Je, wa Dar ndio muhimu kuliko wa mikoa mingine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why wa dar tu?1. Je, hao wazee wanapatikana Dar tu au wapo kila mkoa?
2. Je, wa Dar ndio muhimu kuliko wa mikoa mingine?
sasa kualikwa ili kupiga makofi tu !Kuna siku nilimsikia Askofu Kakobe ( enzi hizo ) akisema alishawahi kualikwa lakini alivyoenda akakuta kazi yao ni kusikiliza tu na kupiga makofi.
Baada ya hapo hakushiriki tena. Sasa tunaweza kulaumu lakini kumbe watu wengine hawataki kushiriki wenyewe.
Pale siyo sehemu ya mjadala. Wanaenda kuhutubiwa tu.sasa kualikwa ili kupiga makofi tu !
Aiseee !!!Pale siyo sehemu ya mjadala. Wanaenda kuhutubiwa tu.
Maelezo ya mhe. kunenge ni kuwa utaratibu maalum wa kuwakusanya kutoka karibu nchi nzima umefuatwa vema....ina maanisha ni maongezi na wazee wote. nikijaribu kujibu swali la mleta mada, ni kundi la mababu zetu waliotulea na 'kuilea' nchi yetu hii hadi kufikia hapa ambapo tumepata viongozi hawa tulionao, wana uelewa mzuri wa historia ya nchi huku wakiaminika kuwa bado wana uwezo wa kushaurina kuonya kuhusu muenendo na uelekeo wa nchi.Nasikia wako mia tisa. Kesho nitasoge pale mlimani city nikawaone aisee
😂😂😂😂
Nyerere was a genius. Ukiona hivyo kuna sababu maalumu ya kutaka kuungwa mkono
Mkuu..wengi ni majinga ya hapo ccm.Ninaomba yeyote anayewajua anieleweshe ili mimi na wengine wasioelewa kama mimi tuwafahamu Wazee hawa ambao kila kiongozi anapenda kukutana nao.
Natanguliza shukrani.
Mi tangu nianze kusikia hii mikutano na wazee wa Dar sijawahi kumwona hata mzee mmoja toka mtaani kwetu akaenda kuwakilisha...Ninaomba yeyote anayewajua anieleweshe ili mimi na wengine wasioelewa kama mimi tuwafahamu Wazee hawa ambao kila kiongozi anapenda kukutana nao.
Natanguliza shukrani.
Wanapatikana Dar Tu , yes Dar muhimu sana1. Je, hao wazee wanapatikana Dar tu au wapo kila mkoa?
2. Je, wa Dar ndio muhimu kuliko wa mikoa mingine?
Ndio waliopigania Uhuru na harakati za uhuruWhy wa dar tu?
Natanguliza shukrani piaNinaomba yeyote anayewajua anieleweshe ili mimi na wengine wasioelewa kama mimi tuwafahamu Wazee hawa ambao kila kiongozi anapenda kukutana nao.
Natanguliza shukrani.
Ninaomba yeyote anayewajua anieleweshe ili mimi na wengine wasioelewa kama mimi tuwafahamu Wazee hawa ambao kila kiongozi anapenda kukutana nao.
Natanguliza shukrani.
itakuwa wale wazee wa yanga wana fitina waleNinaomba yeyote anayewajua anieleweshe ili mimi na wengine wasioelewa kama mimi tuwafahamu Wazee hawa ambao kila kiongozi anapenda kukutana nao.
Natanguliza shukrani.
Ninaomba yeyote anayewajua anieleweshe ili mimi na wengine wasioelewa kama mimi tuwafahamu Wazee hawa ambao kila kiongozi anapenda kukutana nao.
Natanguliza shukrani.
Wanaruhusiwa kuongea chochote ?au wanakua wasikilizaji tuu na kugonga mezaMaelezo ya mhe. kunenge ni kuwa utaratibu maalum wa kuwakusanya kutoka karibu nchi nzima umefuatwa vema....ina maanisha ni maongezi na wazee wote. nikijaribu kujibu swali la mleta mada, ni kundi la mababu zetu waliotulea na 'kuilea' nchi yetu hii hadi kufikia hapa ambapo tumepata viongozi hawa tulionao, wana uelewa mzuri wa historia ya nchi huku wakiaminika kuwa bado wana uwezo wa kushaurina kuonya kuhusu muenendo na uelekeo wa nchi.
Miongoni mwa vitu vya kijinga sana watawala wetu wanafanya ni huo upuuzi wa wanaoitwa wazee wa DSM ..ukweli sio wazee wa DSM na maccm yaliyochoka usishangae kesho ukasikia Risala ya Samia aongezewe mudaNinaomba yeyote anayewajua anieleweshe ili mimi na wengine wasioelewa kama mimi tuwafahamu Wazee hawa ambao kila kiongozi anapenda kukutana nao.
Natanguliza shukrani.