Wanaoitwa Wazee wa Dar es Salaam ambao kila Rais wa Tanzania anatamani kukutana nao ni akina nani?

Wanaoitwa Wazee wa Dar es Salaam ambao kila Rais wa Tanzania anatamani kukutana nao ni akina nani?

Wazee wa Dar es Salaam ni wale wenye kizazi cha walionzisha MWENGE WA UHURU.

kwa ufupi Rais yeyote atakaewazalau wazee hawa na atakae uzalau mwenge wa uhuru hawezi kubaki salama.

KILA FALME INA KINGA YAKE, UTARATIBU WAKE NA UTAMADUNI WAKE.

Ludi na ukasome uzi wa historia ya mwenge wa uhuru wanzilishi wake na historia yake. Halafu ndio utajua wazee wa dar ni kinanani kwenye Tanzania hii.
umenikumbusha kitu
 
Kuna Watu kazi yao kukebehi tu...haijalishi wanatokea wapi ila ni Wazee hivyo tunapaswa kuwaheshimu.
 
Kuna wale waganga 500 kutoka bariadi na simiyu nao waaalikwe wasisahaulike....
 
Kuna speech Nyerere aliongea hadi akalia machozi..

Ikafuata bakora Kwa wanafunzi wa udsm

Mama tumuombee mema. Asimame imara. Waliokuwa wanamsifu jana wanaweza leo kumnanga. Ndio uongozi ulivyo. Hekima lazima itangulie mbele
 
Ninaomba yeyote anayewajua anieleweshe ili mimi na wengine wasioelewa kama mimi tuwafahamu Wazee hawa ambao kila kiongozi anapenda kukutana nao.

Natanguliza shukrani.
Hili ni jukwaa tu ambalo amechagua katika kuzungumza na Watanzania wote.Angeweza kusema "Nahutubia taifa"lakini limewekwa katika lugha laini ila kwa ujumla kuna maagizo au msimamo anaotaka kuutoa kwa watanzania wote.Sio futari!!
 
Wazee wa Dar es Salaam ni wale wenye kizazi cha walionzisha MWENGE WA UHURU.

kwa ufupi Rais yeyote atakaewazalau wazee hawa na atakae uzalau mwenge wa uhuru hawezi kubaki salama.

KILA FALME INA KINGA YAKE, UTARATIBU WAKE NA UTAMADUNI WAKE.

Ludi na ukasome uzi wa historia ya mwenge wa uhuru wanzilishi wake na historia yake. Halafu ndio utajua wazee wa dar ni kinanani kwenye Tanzania hii.
Sasa hao wazee hakuna anaeishi mikoani wote walivyo stafu wameg'ang'ania Dsm?
 
Wazee wa saigon na wazee wa shibam
Hii itawahusu

Ova
 
Ninaomba yeyote anayewajua anieleweshe ili mimi na wengine wasioelewa kama mimi tuwafahamu Wazee hawa ambao kila kiongozi anapenda kukutana nao.

Natanguliza shukrani.
Wazee wenyewe ni sisi hapa.
Kwanza toa shikamoo tafadhali!
 
Hawa wazee ni asilimia kubwa waliwah kuhudumu km mainfoma wa kitengo na ndio maana mualiko wao ni wa kimyakimya wanawatext tu mchezo umekwisha wengine wanaingia kupitia konekshen ya vingunge wa sisiem na ndio maana weng wetu hakuna wazee tunaoish nao ambao tuliwah waona ktk hayo matukio. MTAZAMO TU
 
Wazee wa Dar es Salaam ni wale wenye kizazi cha walionzisha MWENGE WA UHURU.

kwa ufupi Rais yeyote atakaewazalau wazee hawa na atakae uzalau mwenge wa uhuru hawezi kubaki salama.

KILA FALME INA KINGA YAKE, UTARATIBU WAKE NA UTAMADUNI WAKE.

Ludi na ukasome uzi wa historia ya mwenge wa uhuru wanzilishi wake na historia yake. Halafu ndio utajua wazee wa dar ni kinanani kwenye Tanzania hii.
Kwa hiyo ile kufutwa mbio za mwenge inawezekana ndo nogwa ilianzia hapo?
 
Kwaiyo wazee wa Dar wana upekee tofauti na wazee wa mikoa mingine?
 
Back
Top Bottom