Pre GE2025 Wanaojadili Urais wa 2030 ilihali 2025 Kuna Uchaguzi mkuu, wanatuonaje Watanzania?

Pre GE2025 Wanaojadili Urais wa 2030 ilihali 2025 Kuna Uchaguzi mkuu, wanatuonaje Watanzania?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unachanganya taratibu za chama na katiba ya nchi.
Nami nakwambia taratibu za chama ni Kwa Rais aliyepita mchujo wa awali na kushinda Urais u haguzi wa awali,

Si huyu aliyepata Urais wa kikatiba bila kupita mchujo ndani ya chama kama mgombea Urais.

HOJA ya fomu Moja Kwa Haina mashiko uchaguzi huu.
 
Ni kama ilivyokuwa kwa Mkapa, Kikwette na JPM
Mkapa, Kikwete na JPM walipitia mchujo wa chama Awamu ya kwanza,

Jambo ambalo halikufanyika Kwa aliyepo hivyo, HOJA ya fomu Moja Haina mashiko.

Nafasi ya Urais haitakiwi mbeleko, wagombea washindanishwe tupate Rais mwenye capacity.
 
Akisusa siku ya mwisho wa compaign nini kitatokea?

Tusilazimishane!!
Mkuu hawa watu wanatudharau sana sana sisi wananchi. Wanajua hakuna uchaguzi wa kweli. Ila wakitudharau sisi na Mungu naye wanamdharau? Linaweza kutokea jambo na likabadilisha kabisa ni nani atakuwa rais wa 2025.
 
Mkapa, Kikwete na JPM walipitia mchujo wa chama Awamu ya kwanza,

Jambo ambalo halikufanyika Kwa aliyepo hivyo, HOJA ya fomu Moja Haina mashiko.

Nafasi ya Urais haitakiwi mbeleko, wagombea washindanishwe tupate Rais mwenye capacity.
Ni mawazo yako tu ndiyo yanaona hivyo. Kwa taarifa yako hata hao akina Mkapa, Kikwete na JPM walioshinda mchujo awamu ya kwanza, Katiba ya CCM haisemi mchujo wa pili wana CCM wengine wasigombee, bali ni utamaduni wao tu wanaoufuata. Wakitaka kubadili watabadili kwa vile ni utamaduni tu na siyo sheria/ kanuni
 
Nami nakwambia taratibu za chama ni Kwa Rais aliyepita mchujo wa awali na kushinda Urais u haguzi wa awali,

Si huyu aliyepata Urais wa kikatiba bila kupita mchujo ndani ya chama kama mgombea Urais.

HOJA ya fomu Moja Kwa Haina mashimo uchaguzi huu.
Hajakatazwa mtu kuchukua fomu ni mapenzi ya wanachama kumuachia Samia achukue fomu
 
Salaam, Shalom!!

Nchini petu Tanzania , mwaka kesho 2025 kutakuwapo na uchaguzi mkuu Kwa ngazi zote, Udiwani, ubunge na nafasi ya Urais.

Limeibuka kundi dogo la watu linaloanza kujadili habari za 2030 kana kwamba 2025 tayari Kuna kiongozi special amekwishawekwa tayari Kwa nafasi ya Urais, kwamba tutaingia Uchaguzi 2025 kuchagua Wabunge na Madiwani pekee, hili Si sawa na kinatakiwa kukemea vikali.

Rais aliyepo, ikifika muda wa mchakato ndani ya vyama, itafikia time atakuwa mgombea sawa kabisa na wagombea wengine ikitokea chama chake kikampa ridhaa kupeperusha bendera.

Watanzania 2025 Wana HAKI ya msingi kabisa kumchagua kiongozi wamtakaye katika nafasi zote kuanzia Udiwani,ubunge na Urais.

Soma Pia: Wanasiasa na mbinu ya kuweka TV kwenye mikusanyiko ili kuhadaa wapiga kura

Nchi hii ni ya mfumo wa vyama vingi, wananchi Wana HAKI kabisa kumchagua Rais, Mbunge au Diwani Kutokea chama chochote Cha Siasa na akawa Kiongozi.

ANGALIZO: 2025 Kuna Uchaguzi Mkuu, Wananchi tunajua HAKI zetu na tutamchagua kiongozi tumtakaye utakapowadia muda huo adhimu, na kamwe hatutapangiwa. Na wote wanaojadili Urais wa 2030 kana kwamba 2025 hakuna uchaguzi Kwa nafasi ya Urais "WAPUUZWE".

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Psychological projection and mind control !!!Ndicho wanachojaribu kukipika kwenye fikra zetu!!

Yaani ionekane makundi yote tayari yamekubaliana ndie hata kama Kuna ukakasi humo ndani ionekane wamekubaliana!!

Kama jambo hilo Lina baraka ya jamuhuri sawa lakini kama ni mhusika na wenzake wamejifungia ndani wakaja na hii move bila baraka ya jamuhuri na maono ya 2050 Kuna haja ya wenye mamlaka kuja na muelekeo mpya!
 
Wengi wape ..
Wajinga wamekuwa wengi sana nchi hii.
 
Salaam, Shalom!!

Nchini petu Tanzania , mwaka kesho 2025 kutakuwapo na uchaguzi mkuu Kwa ngazi zote, Udiwani, ubunge na nafasi ya Urais.

Limeibuka kundi dogo la watu linaloanza kujadili habari za 2030 kana kwamba 2025 tayari Kuna kiongozi special amekwishawekwa tayari Kwa nafasi ya Urais, kwamba tutaingia Uchaguzi 2025 kuchagua Wabunge na Madiwani pekee, hili Si sawa na kinatakiwa kukemea vikali.

Rais aliyepo, ikifika muda wa mchakato ndani ya vyama, itafikia time atakuwa mgombea sawa kabisa na wagombea wengine ikitokea chama chake kikampa ridhaa kupeperusha bendera.

Watanzania 2025 Wana HAKI ya msingi kabisa kumchagua kiongozi wamtakaye katika nafasi zote kuanzia Udiwani,ubunge na Urais.

Soma Pia: Wanasiasa na mbinu ya kuweka TV kwenye mikusanyiko ili kuhadaa wapiga kura

Nchi hii ni ya mfumo wa vyama vingi, wananchi Wana HAKI kabisa kumchagua Rais, Mbunge au Diwani Kutokea chama chochote Cha Siasa na akawa Kiongozi.

ANGALIZO: 2025 Kuna Uchaguzi Mkuu, Wananchi tunajua HAKI zetu na tutamchagua kiongozi tumtakaye utakapowadia muda huo adhimu, na kamwe hatutapangiwa. Na wote wanaojadili Urais wa 2030 kana kwamba 2025 hakuna uchaguzi Kwa nafasi ya Urais "WAPUUZWE".

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Ni nani huyo anajadili urais wa 2030?
 
Salaam, Shalom!!

Nchini petu Tanzania , mwaka kesho 2025 kutakuwapo na uchaguzi mkuu Kwa ngazi zote, Udiwani, ubunge na nafasi ya Urais.

Limeibuka kundi dogo la watu linaloanza kujadili habari za 2030 kana kwamba 2025 tayari Kuna kiongozi special amekwishawekwa tayari Kwa nafasi ya Urais, kwamba tutaingia Uchaguzi 2025 kuchagua Wabunge na Madiwani pekee, hili Si sawa na kinatakiwa kukemea vikali.

Rais aliyepo, ikifika muda wa mchakato ndani ya vyama, itafikia time atakuwa mgombea sawa kabisa na wagombea wengine ikitokea chama chake kikampa ridhaa kupeperusha bendera.

Watanzania 2025 Wana HAKI ya msingi kabisa kumchagua kiongozi wamtakaye katika nafasi zote kuanzia Udiwani,ubunge na Urais.

Soma Pia: Wanasiasa na mbinu ya kuweka TV kwenye mikusanyiko ili kuhadaa wapiga kura

Nchi hii ni ya mfumo wa vyama vingi, wananchi Wana HAKI kabisa kumchagua Rais, Mbunge au Diwani Kutokea chama chochote Cha Siasa na akawa Kiongozi.

ANGALIZO: 2025 Kuna Uchaguzi Mkuu, Wananchi tunajua HAKI zetu na tutamchagua kiongozi tumtakaye utakapowadia muda huo adhimu, na kamwe hatutapangiwa. Na wote wanaojadili Urais wa 2030 kana kwamba 2025 hakuna uchaguzi Kwa nafasi ya Urais "WAPUUZWE".

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
 

Attachments

  • 5781825-51775523b226d8414338068b2d50cfec.mp4
    3 MB
Back
Top Bottom