Nami nakwambia taratibu za chama ni Kwa Rais aliyepita mchujo wa awali na kushinda Urais u haguzi wa awali,Unachanganya taratibu za chama na katiba ya nchi.
Majibu yote yanahitajika.Jaribu kuwa specific unataka kujua awamu ya kwanza ni ipi au why ccm itoe fomu moja 2025?
Ni kama ilivyokuwa kwa Mkapa, Kikwette na JPMMaamuzi hayo yalifanyika kikao Gani, na idadi ya wajumbe walikuwa wanagani, na kikao kilifanyika wapi?
Mkapa, Kikwete na JPM walipitia mchujo wa chama Awamu ya kwanza,Ni kama ilivyokuwa kwa Mkapa, Kikwette na JPM
Mkuu hawa watu wanatudharau sana sana sisi wananchi. Wanajua hakuna uchaguzi wa kweli. Ila wakitudharau sisi na Mungu naye wanamdharau? Linaweza kutokea jambo na likabadilisha kabisa ni nani atakuwa rais wa 2025.Akisusa siku ya mwisho wa compaign nini kitatokea?
Tusilazimishane!!
Uchaguzi wa 2025 ni wa aina yake.Mkuu hawa watu wanatudharau sana sana sisi wananchi. Wanajua hakuna uchaguzi wa kweli. Ila wakitudharau sisi na Mungu naye wanamdharau? Linaweza kutokea jambo na likabadilisha kabisa ni nani atakuwa rais wa 2025.
Ni mawazo yako tu ndiyo yanaona hivyo. Kwa taarifa yako hata hao akina Mkapa, Kikwete na JPM walioshinda mchujo awamu ya kwanza, Katiba ya CCM haisemi mchujo wa pili wana CCM wengine wasigombee, bali ni utamaduni wao tu wanaoufuata. Wakitaka kubadili watabadili kwa vile ni utamaduni tu na siyo sheria/ kanuniMkapa, Kikwete na JPM walipitia mchujo wa chama Awamu ya kwanza,
Jambo ambalo halikufanyika Kwa aliyepo hivyo, HOJA ya fomu Moja Haina mashiko.
Nafasi ya Urais haitakiwi mbeleko, wagombea washindanishwe tupate Rais mwenye capacity.
Hajakatazwa mtu kuchukua fomu ni mapenzi ya wanachama kumuachia Samia achukue fomuNami nakwambia taratibu za chama ni Kwa Rais aliyepita mchujo wa awali na kushinda Urais u haguzi wa awali,
Si huyu aliyepata Urais wa kikatiba bila kupita mchujo ndani ya chama kama mgombea Urais.
HOJA ya fomu Moja Kwa Haina mashimo uchaguzi huu.
Ndio ujue kuhusu homu, wapo watakaochukua. Tusubiri.Hajakatazwa mtu kuchukua fomu ni mapenzi ya wanachama kumuachia Samia achukue fomu
Hata wakichukua ni "zuga " tu hiyo anaepeperusha bendera anajulikana.Ndio ujue kuhusu homu, wapo watakaochukua. Tusubiri.
Psychological projection and mind control !!!Ndicho wanachojaribu kukipika kwenye fikra zetu!!Salaam, Shalom!!
Nchini petu Tanzania , mwaka kesho 2025 kutakuwapo na uchaguzi mkuu Kwa ngazi zote, Udiwani, ubunge na nafasi ya Urais.
Limeibuka kundi dogo la watu linaloanza kujadili habari za 2030 kana kwamba 2025 tayari Kuna kiongozi special amekwishawekwa tayari Kwa nafasi ya Urais, kwamba tutaingia Uchaguzi 2025 kuchagua Wabunge na Madiwani pekee, hili Si sawa na kinatakiwa kukemea vikali.
Rais aliyepo, ikifika muda wa mchakato ndani ya vyama, itafikia time atakuwa mgombea sawa kabisa na wagombea wengine ikitokea chama chake kikampa ridhaa kupeperusha bendera.
Watanzania 2025 Wana HAKI ya msingi kabisa kumchagua kiongozi wamtakaye katika nafasi zote kuanzia Udiwani,ubunge na Urais.
Soma Pia: Wanasiasa na mbinu ya kuweka TV kwenye mikusanyiko ili kuhadaa wapiga kura
Nchi hii ni ya mfumo wa vyama vingi, wananchi Wana HAKI kabisa kumchagua Rais, Mbunge au Diwani Kutokea chama chochote Cha Siasa na akawa Kiongozi.
ANGALIZO: 2025 Kuna Uchaguzi Mkuu, Wananchi tunajua HAKI zetu na tutamchagua kiongozi tumtakaye utakapowadia muda huo adhimu, na kamwe hatutapangiwa. Na wote wanaojadili Urais wa 2030 kana kwamba 2025 hakuna uchaguzi Kwa nafasi ya Urais "WAPUUZWE".
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA πΉπΏ
Karibuni π
Jidangaye.Hata wakichukua ni "zuga " tu hiyo anaepeperusha bendera anajulikana.
Wewe ndo unajidanganyaJidangaye.
Kwamba!Wanatuonaje?
Vile tulivyo ndio wanavyotuona
Ni nani huyo anajadili urais wa 2030?Salaam, Shalom!!
Nchini petu Tanzania , mwaka kesho 2025 kutakuwapo na uchaguzi mkuu Kwa ngazi zote, Udiwani, ubunge na nafasi ya Urais.
Limeibuka kundi dogo la watu linaloanza kujadili habari za 2030 kana kwamba 2025 tayari Kuna kiongozi special amekwishawekwa tayari Kwa nafasi ya Urais, kwamba tutaingia Uchaguzi 2025 kuchagua Wabunge na Madiwani pekee, hili Si sawa na kinatakiwa kukemea vikali.
Rais aliyepo, ikifika muda wa mchakato ndani ya vyama, itafikia time atakuwa mgombea sawa kabisa na wagombea wengine ikitokea chama chake kikampa ridhaa kupeperusha bendera.
Watanzania 2025 Wana HAKI ya msingi kabisa kumchagua kiongozi wamtakaye katika nafasi zote kuanzia Udiwani,ubunge na Urais.
Soma Pia: Wanasiasa na mbinu ya kuweka TV kwenye mikusanyiko ili kuhadaa wapiga kura
Nchi hii ni ya mfumo wa vyama vingi, wananchi Wana HAKI kabisa kumchagua Rais, Mbunge au Diwani Kutokea chama chochote Cha Siasa na akawa Kiongozi.
ANGALIZO: 2025 Kuna Uchaguzi Mkuu, Wananchi tunajua HAKI zetu na tutamchagua kiongozi tumtakaye utakapowadia muda huo adhimu, na kamwe hatutapangiwa. Na wote wanaojadili Urais wa 2030 kana kwamba 2025 hakuna uchaguzi Kwa nafasi ya Urais "WAPUUZWE".
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA πΉπΏ
Karibuni π
Na Rais ni mmoja tu na anajulikanaFomu ni moja tu
Salaam, Shalom!!
Nchini petu Tanzania , mwaka kesho 2025 kutakuwapo na uchaguzi mkuu Kwa ngazi zote, Udiwani, ubunge na nafasi ya Urais.
Limeibuka kundi dogo la watu linaloanza kujadili habari za 2030 kana kwamba 2025 tayari Kuna kiongozi special amekwishawekwa tayari Kwa nafasi ya Urais, kwamba tutaingia Uchaguzi 2025 kuchagua Wabunge na Madiwani pekee, hili Si sawa na kinatakiwa kukemea vikali.
Rais aliyepo, ikifika muda wa mchakato ndani ya vyama, itafikia time atakuwa mgombea sawa kabisa na wagombea wengine ikitokea chama chake kikampa ridhaa kupeperusha bendera.
Watanzania 2025 Wana HAKI ya msingi kabisa kumchagua kiongozi wamtakaye katika nafasi zote kuanzia Udiwani,ubunge na Urais.
Soma Pia: Wanasiasa na mbinu ya kuweka TV kwenye mikusanyiko ili kuhadaa wapiga kura
Nchi hii ni ya mfumo wa vyama vingi, wananchi Wana HAKI kabisa kumchagua Rais, Mbunge au Diwani Kutokea chama chochote Cha Siasa na akawa Kiongozi.
ANGALIZO: 2025 Kuna Uchaguzi Mkuu, Wananchi tunajua HAKI zetu na tutamchagua kiongozi tumtakaye utakapowadia muda huo adhimu, na kamwe hatutapangiwa. Na wote wanaojadili Urais wa 2030 kana kwamba 2025 hakuna uchaguzi Kwa nafasi ya Urais "WAPUUZWE".
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA πΉπΏ
Karibuni π