chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Dini mda mwengine ni uchizi na ujinga ukifata sana. mtu imani imemkaa mpaka mambo mengine kuendeshwa na mtu wa imani mwenzake.
SITASAHAU:
Mama mmoja kasababisha mtoto kufariki akishinda kumuombea kwa kudai mapepo wakati ni maralia.
kisa chengine kuna ostadh ana wadanganya wasichana kwa kutumia vifungu vya dini kufanya nao ngono.
ukija kwangu utatangazwa na ITV
SITASAHAU:
Mama mmoja kasababisha mtoto kufariki akishinda kumuombea kwa kudai mapepo wakati ni maralia.
kisa chengine kuna ostadh ana wadanganya wasichana kwa kutumia vifungu vya dini kufanya nao ngono.
ukija kwangu utatangazwa na ITV