Wanaojua Dkt. William Mtanzania wa USA. Je, Profile picha ni yake?

Wanaojua Dkt. William Mtanzania wa USA. Je, Profile picha ni yake?

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Kuna shida kidogo nimeigunduwa hii leo, kitaaluma hakuna daktari mbobezi wa mgonjwa yote, Sasa napata mashaka juu ya huyu Dr. William.

Kwanza nilimtambuwa kama Medical doctor, lakini siku zinavyokwenda anazidi kuvaa uhusika mbalimbali kwamba yeye ni Sangoma, yeye ni Astrologist na blah blah kibao.

Binafsi sina tatizo naye lakini naamini Allah ndio mjuzi zaidi, haiwezekani Dr William kila jambo Sasa hivi anarukia na kujifanya anajuwa zaidi.

Sasa si vibaya Kwa sababu hapa JF ndio huwa tunaanzia wengine wanapoishia basi Kwa thread hii naomba tumjuwe vizuri huyu Dr William Mtanzania wa Marekani ni nani je hizi ni Picha zake halisi? Na kama siyo anaficha nini? Na kama hizi Picha siyo zake je mwenye Picha hizi anaitwa nani?

To cut short the whole story naomba hii thread iwe maalum kuyajuwa makandokando yote ya kiumbe huyu kutoka undefined to reviled.

Screenshot_2023-02-13-09-01-52-48.png
FB_IMG_1676265608178.jpg
 
Huyo jamaa nafahamu kitambo inadaiwa ni mhaya yuko hapa Tanzania sema aliwahi kwenda USA.

Ni wale aina ya kina mwaka muongo muongo tu na mjuji kama mhaya


USSR
Nakubaliana na wewe, utafiti wangu inaonesha ni mtu anayetumia internet kuungauñga taarifa zake Sasa shida anapitiliza.

Angekuwa smart kichwani asingejifanya anajuwa kila kitu hata Mimi nilikuwa namfuatilia consultantion zake za kitabibu.

Lakini Sasa hivi baada ya kujifanya na yeye ni Mganga wa kienyeji na yeye Kungwi na yeye ni mtabiri nimepuuza kabisa na nahitaji Sasa tumuexpose Dr William ni nani na je hii ndio Picha yake?
FB_IMG_1676265608178.jpg
 
Mimi nikiona Mtu anatumia Facebook namuonaga mpumbavu tu
Hizi ni akili zaidi ya upumbavu, hujui maisha ya watu yanategemea social network kiasi gani.

Kujiita Dr kwa akili za kijinga kama hizi ni kuwadhalilisha wanataaluma.

Nashauri ujiite Tabibu.
 
Back
Top Bottom