Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kuna shida kidogo nimeigunduwa hii leo, kitaaluma hakuna daktari mbobezi wa mgonjwa yote, Sasa napata mashaka juu ya huyu Dr. William.
Kwanza nilimtambuwa kama Medical doctor, lakini siku zinavyokwenda anazidi kuvaa uhusika mbalimbali kwamba yeye ni Sangoma, yeye ni Astrologist na blah blah kibao.
Binafsi sina tatizo naye lakini naamini Allah ndio mjuzi zaidi, haiwezekani Dr William kila jambo Sasa hivi anarukia na kujifanya anajuwa zaidi.
Sasa si vibaya Kwa sababu hapa JF ndio huwa tunaanzia wengine wanapoishia basi Kwa thread hii naomba tumjuwe vizuri huyu Dr William Mtanzania wa Marekani ni nani je hizi ni Picha zake halisi? Na kama siyo anaficha nini? Na kama hizi Picha siyo zake je mwenye Picha hizi anaitwa nani?
To cut short the whole story naomba hii thread iwe maalum kuyajuwa makandokando yote ya kiumbe huyu kutoka undefined to reviled.
Kwanza nilimtambuwa kama Medical doctor, lakini siku zinavyokwenda anazidi kuvaa uhusika mbalimbali kwamba yeye ni Sangoma, yeye ni Astrologist na blah blah kibao.
Binafsi sina tatizo naye lakini naamini Allah ndio mjuzi zaidi, haiwezekani Dr William kila jambo Sasa hivi anarukia na kujifanya anajuwa zaidi.
Sasa si vibaya Kwa sababu hapa JF ndio huwa tunaanzia wengine wanapoishia basi Kwa thread hii naomba tumjuwe vizuri huyu Dr William Mtanzania wa Marekani ni nani je hizi ni Picha zake halisi? Na kama siyo anaficha nini? Na kama hizi Picha siyo zake je mwenye Picha hizi anaitwa nani?
To cut short the whole story naomba hii thread iwe maalum kuyajuwa makandokando yote ya kiumbe huyu kutoka undefined to reviled.