Wanaojua Dkt. William Mtanzania wa USA. Je, Profile picha ni yake?

Wanaojua Dkt. William Mtanzania wa USA. Je, Profile picha ni yake?

Hizi ni akili zaidi ya upumbavu, hujui maisha ya watu yanategemea social network kiasi gani.

Kujiita Dr kwa akili za kijinga kama hizi ni kuwadhalilisha wanataaluma.

Nashauri ujiite Tabibu.
Nimewalenga nyie ambao hamna mnachoingiza katika social networks ,mnafatilia Maisha ya watu na umbea tu
 
Teh teh ili jamaa bado lipo uko fesibuku aisee ni jinga sana kuna kipindi lilikimbiza sijui linaleta utabiri Magu alivyokufa likaanza kutunga stor eti lilioteshwa picha nzima itavyokua mpaka chuma kudedi upuuzi mtupu

Nliona pia linajiandikia ujumbe Alf linajijibu likimaliza linascreenshot linatuma ety ushuhuda 😂😂😂😂😂
 
Mimi nikiona Mtu anatumia Facebook namuonaga mpumbavu tu
Kama hujui umuhimu wa Facebook hujui lolote kuhusu social media. In short wewe ni wakuja kutoka kwenu Kyelimilile. Ni sawa na asiyejua kuendesha gari manual akijitapa ni mjuzi wa magari
 
Kama hujui umuhimu wa Facebook hujui lolote kuhusu social media. In short wewe ni wakuja kutoka kwenu Kyelimilile. Ni sawa na asiyejua kuendesha gari manual akijitapa ni mjuzi wa magari
Hiyo umetumia lugha ya picha huwezi kuelewa Kama Akili ndogo Mimi Facebook nimejiunga 2007 Sasa wewe dogo ulikuwa wapi miaka hiyo?
 
Picha inaonekana sio yeye ,Kuna mazuri yake..huyu jamaa masomo yake ya Afya kuhusu mimea na vitu mbali mbali katika kutibu Yana msaada Sana usipuuzie HATA KIDOGO Nasisitiza usipuuzie ni 100 percent kweli..kwenye AFYA Sina shida nae ila kwenye mengine ndio naona ana story ambazo nizakutunga na umbea..
 
Nakubaliana na wewe, utafiti wangu inaonesha ni mtu anayetumia internet kuungauñga taarifa zake Sasa shida anapitiliza.

Angekuwa smart kichwani asingejifanya anajuwa kila kitu hata Mimi nilikuwa namfuatilia consultantion zake za kitabibu.

Lakini Sasa hivi baada ya kujifanya na yeye ni Mganga wa kienyeji na yeye Kungwi na yeye ni mtabiri nimepuuza kabisa na nahitaji Sasa tumuexpose Dr William ni nani na je hii ndio Picha yake?View attachment 2515708
Umetumwa na Azam embe?
 
Kuna shida kidogo nimeigunduwa hii leo, kitaaluma hakuna daktari mbobezi wa mgonjwa yote, Sasa napata mashaka juu ya huyu Dr. William.

Kwanza nilimtambuwa kama Medical doctor, lakini siku zinavyokwenda anazidi kuvaa uhusika mbalimbali kwamba yeye ni Sangoma, yeye ni Astrologist na blah blah kibao.

Binafsi sina tatizo naye lakini naamini Allah ndio mjuzi zaidi, haiwezekani Dr William kila jambo Sasa hivi anarukia na kujifanya anajuwa zaidi.

Sasa si vibaya Kwa sababu hapa JF ndio huwa tunaanzia wengine wanapoishia basi Kwa thread hii naomba tumjuwe vizuri huyu Dr William Mtanzania wa Marekani ni nani je hizi ni Picha zake halisi? Na kama siyo anaficha nini? Na kama hizi Picha siyo zake je mwenye Picha hizi anaitwa nani?

To cut short the whole story naomba hii thread iwe maalum kuyajuwa makandokando yote ya kiumbe huyu kutoka undefined to reviled.

View attachment 2515696View attachment 2515697
Utabiri, sayansi za kubahatisha ni usenge tu. Yupo mtaalam kama huyu mbagala kizuiani anakujua uchawi kwelikweli na anatibia sana ila alipoanza kunitabiria nikamuona huyu jamaa jau. Anatumia sayansi dhahania alafu Common thoughts. Ananambia huyo mwanamke unayemuona Kila mara kwenye ndoto zako ukimuona laiv utamjua?. Nikamjibu simjui... Nikamuona katumbua macho... Ooh nikuandikie kombe ukaoge. Nikamtema mazima mana alipiga ramli chonganishi
 
Nliona pia linajiandikia ujumbe Alf linajijibu likimaliza linascreenshot linatuma ety ushuhuda 😂😂😂😂😂
Yani Bongo ukiwa kauzu na ukiwa huna mshipa wa noma lazima uwe tajiri.

Huyu jamaa bila kupepesa macho ni tapeli tu.
 
Kuna shida kidogo nimeigunduwa hii leo, kitaaluma hakuna daktari mbobezi wa mgonjwa yote, Sasa napata mashaka juu ya huyu Dr. William.

Kwanza nilimtambuwa kama Medical doctor, lakini siku zinavyokwenda anazidi kuvaa uhusika mbalimbali kwamba yeye ni Sangoma, yeye ni Astrologist na blah blah kibao.

Binafsi sina tatizo naye lakini naamini Allah ndio mjuzi zaidi, haiwezekani Dr William kila jambo Sasa hivi anarukia na kujifanya anajuwa zaidi.

Sasa si vibaya Kwa sababu hapa JF ndio huwa tunaanzia wengine wanapoishia basi Kwa thread hii naomba tumjuwe vizuri huyu Dr William Mtanzania wa Marekani ni nani je hizi ni Picha zake halisi? Na kama siyo anaficha nini? Na kama hizi Picha siyo zake je mwenye Picha hizi anaitwa nani?

To cut short the whole story naomba hii thread iwe maalum kuyajuwa makandokando yote ya kiumbe huyu kutoka undefined to reviled.

View attachment 2515696View attachment 2515697
KWANZA NISEME KUWA SIPO HAPA KUPIGANA NA KUBISHANA NA MTU ILA NIPO HAPA KUTAKA KUJUA SWALI MOJA KWAMBA MTU ANAWEZA AKAWA ANATUMIA PICHA NDIO SIO YAKE ILA UZITO WA MHIMU TUKAUTUPA KWINGINE SABABU SIONI UZITO WA MTU NI ZILE CONTENT ALIZO NAZO NA SIO PICHA ALIZONAZO YANI NI SAWA NA KIGOGO AMBAYE WATU WANAWAZA KUMJUA HATA KWA SURA ILA WANASAHAU ZILE CONTENT NDIO KITU MHIMU KINA MATTER NA SIO PICHA NADHANI TUKIJA UPANDE WA PILI UTAONA KWAMBA PICHA sio mada mhimu hapa kikubwa tuangalie tunaisadia vipi jamii katika changamoto za kiafya na maswala ya kiuchumi.


Zipo hoja za msingi kama zilivyo tanguliwa kusema, naweza kusema kila mtu akila binadamu ana mdomo pia ana fikira anaweza kusema kile anacho feel kuwa anaweza kukisema kutokana na mawazo yake binafsi ukweli nikwamba zipo porojo za watu wanasema kwamba mimi nitaperi hebu tujiulize ni nani ambaye nimewahi kumtaperi mfano mzuri ni watu ambao waliwahi kuja inbox yangu na wao walikuja kama wateja wangu kwa sababu hiyo walikuja sio wateja ila walikuja kama wapelelezi kwangu sababu huduma yangu natoa ushauri na matibabu na kama mtu anakuja kwangu still ninazo dawa hebu niulize mtu akija kuuliza dawa utampa dawa bure au dawa utauza na kama nitauza hizo dawa beba usika kwamba wewe ndio mimi daktari una dawa unauza utampa mgonjwa huyu bure au atachangia sehemu ya ofisi,



pia tujiulize swali dogo kwamba huduma yangu imekuwa ya watu wengi wanachangia 1,000 na wenye 5,000 lengo kubwa niwazo ambalo tulitaka kuanzisha ofisi Tanzania, sasa kuna swali, hapa kuna ubaya gani kama mtu nimfuasi wangu akija nikamwomba achangie ujenzi na support ya ofisi hapo nakosea na huo ni utaperi aya sasa ofisi baada ya wale wachache kuchangia tulianzisha na ipo na inafanya kazi kwa kutumia mchango wa wale ambao walikuwa na imani kuwa nipo kusaidia wengine na wao wanaguswa kusaidia kila nacho kifanya tuache roho binafsi kwamba mtu akifanya kitu chema upande wapili anakuwa kama anabana ridhiki isiwe hivyo sisi wote ni waafrika tunapoishi kwa majungu na kusingiziana vitu hakuna ambaye yupo bora sisi ni wana wa mama afarika ngozi zetu nyeusi sisi ndio watu wa kwanza kupigana majungu na sio kusaidiana mtu asonge mbele kama mtu anakosea kuchangia anakosea kuomba wafuasi wake mchango ni kheri kumpa ushauri asiombe na mpe sababu na sio kumpoiga vijembe na kumjadili kisa tu anasaidia wengine au kisa tu hamjui kwa picha huo ni ushamba na siku zote wema huwa hawafi kwa mambo ya kijinga
 

Attachments

  • 398762635_884732566343160_4933686375224466036_n.png
    398762635_884732566343160_4933686375224466036_n.png
    261.3 KB · Views: 3
Dr William Mtanzania wa Marekani alichonambia leoView attachment 2532793View attachment 2532795
KWANZA NISEME KUWA SIPO HAPA KUPIGANA NA KUBISHANA NA MTU ILA NIPO HAPA KUTAKA KUJUA SWALI MOJA KWAMBA MTU ANAWEZA AKAWA ANATUMIA PICHA NDIO SIO YAKE ILA UZITO WA MHIMU TUKAUTUPA KWINGINE SABABU SIONI UZITO WA MTU NI ZILE CONTENT ALIZO NAZO NA SIO PICHA ALIZONAZO YANI NI SAWA NA KIGOGO AMBAYE WATU WANAWAZA KUMJUA HATA KWA SURA ILA WANASAHAU ZILE CONTENT NDIO KITU MHIMU KINA MATTER NA SIO PICHA NADHANI TUKIJA UPANDE WA PILI UTAONA KWAMBA PICHA sio mada mhimu hapa kikubwa tuangalie tunaisadia vipi jamii katika changamoto za kiafya na maswala ya kiuchumi.


Zipo hoja za msingi kama zilivyo tanguliwa kusema, naweza kusema kila mtu akila binadamu ana mdomo pia ana fikira anaweza kusema kile anacho feel kuwa anaweza kukisema kutokana na mawazo yake binafsi ukweli nikwamba zipo porojo za watu wanasema kwamba mimi nitaperi hebu tujiulize ni nani ambaye nimewahi kumtaperi mfano mzuri ni watu ambao waliwahi kuja inbox yangu na wao walikuja kama wateja wangu kwa sababu hiyo walikuja sio wateja ila walikuja kama wapelelezi kwangu sababu huduma yangu natoa ushauri na matibabu na kama mtu anakuja kwangu still ninazo dawa hebu niulize mtu akija kuuliza dawa utampa dawa bure au dawa utauza na kama nitauza hizo dawa beba usika kwamba wewe ndio mimi daktari una dawa unauza utampa mgonjwa huyu bure au atachangia sehemu ya ofisi,
 
Back
Top Bottom