Wanaojua Dkt. William Mtanzania wa USA. Je, Profile picha ni yake?

Wanaojua Dkt. William Mtanzania wa USA. Je, Profile picha ni yake?

Kuna shida kidogo nimeigunduwa hii leo, kitaaluma hakuna daktari mbobezi wa mgonjwa yote, Sasa napata mashaka juu ya huyu Dr. William.

Kwanza nilimtambuwa kama Medical doctor, lakini siku zinavyokwenda anazidi kuvaa uhusika mbalimbali kwamba yeye ni Sangoma, yeye ni Astrologist na blah blah kibao.

Binafsi sina tatizo naye lakini naamini Allah ndio mjuzi zaidi, haiwezekani Dr William kila jambo Sasa hivi anarukia na kujifanya anajuwa zaidi.

Sasa si vibaya Kwa sababu hapa JF ndio huwa tunaanzia wengine wanapoishia basi Kwa thread hii naomba tumjuwe vizuri huyu Dr William Mtanzania wa Marekani ni nani je hizi ni Picha zake halisi? Na kama siyo anaficha nini? Na kama hizi Picha siyo zake je mwenye Picha hizi anaitwa nani?

To cut short the whole story naomba hii thread iwe maalum kuyajuwa makandokando yote ya kiumbe huyu kutoka undefined to reviled.

View attachment 2515696View attachment 2515697
Maadamu hakuna aliyedai kuwa picha yake tukubali kuwa ndiye yeye, achana naye. Duniani unaeeza ukaishi kokote kule na ukapiga hela kwa kufanya kazi za maokoto bila kumsumbua mtu, sasa wewe unamtakia nini? Kama picha umeikuta kwenye pochi ya mkeo yamalizeni wenyewe, hakujui humjui.
 
Hizi ni akili zaidi ya upumbavu, hujui maisha ya watu yanategemea social network kiasi gani.

Kujiita Dr kwa akili za kijinga kama hizi ni kuwadhalilisha wanataaluma.

Nashauri ujiite Tabibu.
Madaktari wagaigai watatu wanapambana kwa Uzi mmoja 😀😀
 
KWANZA NISEME KUWA SIPO HAPA KUPIGANA NA KUBISHANA NA MTU ILA NIPO HAPA KUTAKA KUJUA SWALI MOJA KWAMBA MTU ANAWEZA AKAWA ANATUMIA PICHA NDIO SIO YAKE ILA UZITO WA MHIMU TUKAUTUPA KWINGINE SABABU SIONI UZITO WA MTU NI ZILE CONTENT ALIZO NAZO NA SIO PICHA ALIZONAZO YANI NI SAWA NA KIGOGO AMBAYE WATU WANAWAZA KUMJUA HATA KWA SURA ILA WANASAHAU ZILE CONTENT NDIO KITU MHIMU KINA MATTER NA SIO PICHA NADHANI TUKIJA UPANDE WA PILI UTAONA KWAMBA PICHA sio mada mhimu hapa kikubwa tuangalie tunaisadia vipi jamii katika changamoto za kiafya na maswala ya kiuchumi.


Zipo hoja za msingi kama zilivyo tanguliwa kusema, naweza kusema kila mtu akila binadamu ana mdomo pia ana fikira anaweza kusema kile anacho feel kuwa anaweza kukisema kutokana na mawazo yake binafsi ukweli nikwamba zipo porojo za watu wanasema kwamba mimi nitaperi hebu tujiulize ni nani ambaye nimewahi kumtaperi mfano mzuri ni watu ambao waliwahi kuja inbox yangu na wao walikuja kama wateja wangu kwa sababu hiyo walikuja sio wateja ila walikuja kama wapelelezi kwangu sababu huduma yangu natoa ushauri na matibabu na kama mtu anakuja kwangu still ninazo dawa hebu niulize mtu akija kuuliza dawa utampa dawa bure au dawa utauza na kama nitauza hizo dawa beba usika kwamba wewe ndio mimi daktari una dawa unauza utampa mgonjwa huyu bure au atachangia sehemu ya ofisi,



pia tujiulize swali dogo kwamba huduma yangu imekuwa ya watu wengi wanachangia 1,000 na wenye 5,000 lengo kubwa niwazo ambalo tulitaka kuanzisha ofisi Tanzania, sasa kuna swali, hapa kuna ubaya gani kama mtu nimfuasi wangu akija nikamwomba achangie ujenzi na support ya ofisi hapo nakosea na huo ni utaperi aya sasa ofisi baada ya wale wachache kuchangia tulianzisha na ipo na inafanya kazi kwa kutumia mchango wa wale ambao walikuwa na imani kuwa nipo kusaidia wengine na wao wanaguswa kusaidia kila nacho kifanya tuache roho binafsi kwamba mtu akifanya kitu chema upande wapili anakuwa kama anabana ridhiki isiwe hivyo sisi wote ni waafrika tunapoishi kwa majungu na kusingiziana vitu hakuna ambaye yupo bora sisi ni wana wa mama afarika ngozi zetu nyeusi sisi ndio watu wa kwanza kupigana majungu na sio kusaidiana mtu asonge mbele kama mtu anakosea kuchangia anakosea kuomba wafuasi wake mchango ni kheri kumpa ushauri asiombe na mpe sababu na sio kumpoiga vijembe na kumjadili kisa tu anasaidia wengine au kisa tu hamjui kwa picha huo ni ushamba na siku zote wema huwa hawafi kwa mambo ya kijinga
Kwahiyo wewe fulu dokta unapraktiz kabisa hapa tanzania au?
hebu toa majina yako kamili tuyadukue....
 
Nilivyoiona hiyo picha tu...nikaitambua...

Hakuna Dr hapo .. hiyo picha iko viral sana google...

Nilianza kuiona na kuipenda tangu 2012... Baada ya kusearch "Doctor photos"

Labda mimi ndie sijui... Ila nenda kwenye Goole photos.. image search... Itakuletea ukweli wa hicho nnachokwambia...




Teknolojia haijawahi danganya... Huyo ni kama marehemu ng'wizukulu jilala... Ama msanii Jj mwaka!



Mpigaji wa Daraja la kwanza!
 
Nilivyoiona hiyo picha tu...nikaitambua...

Hakuna Dr hapo .. hiyo picha iko viral sana google...

Nilianza kuiona na kuipenda tangu 2012... Baada ya kusearch "Doctor photos"

Labda mimi ndie sijui... Ila nenda kwenye Goole photos.. image search... Itakuletea ukweli wa hicho nnachokwambia...




Teknolojia haijawahi danganya... Huyo ni kama marehemu ng'wizukulu jilala... Ama msanii Jj mwaka!



Mpigaji wa Daraja la kwanza!
Uko deep sana.
 
KWANZA NISEME KUWA SIPO HAPA KUPIGANA NA KUBISHANA NA MTU ILA NIPO HAPA KUTAKA KUJUA SWALI MOJA KWAMBA MTU ANAWEZA AKAWA ANATUMIA PICHA NDIO SIO YAKE ILA UZITO WA MHIMU TUKAUTUPA KWINGINE SABABU SIONI UZITO WA MTU NI ZILE CONTENT ALIZO NAZO NA SIO PICHA ALIZONAZO YANI NI SAWA NA KIGOGO AMBAYE WATU WANAWAZA KUMJUA HATA KWA SURA ILA WANASAHAU ZILE CONTENT NDIO KITU MHIMU KINA MATTER NA SIO PICHA NADHANI TUKIJA UPANDE WA PILI UTAONA KWAMBA PICHA sio mada mhimu hapa kikubwa tuangalie tunaisadia vipi jamii katika changamoto za kiafya na maswala ya kiuchumi.


Zipo hoja za msingi kama zilivyo tanguliwa kusema, naweza kusema kila mtu akila binadamu ana mdomo pia ana fikira anaweza kusema kile anacho feel kuwa anaweza kukisema kutokana na mawazo yake binafsi ukweli nikwamba zipo porojo za watu wanasema kwamba mimi nitaperi hebu tujiulize ni nani ambaye nimewahi kumtaperi mfano mzuri ni watu ambao waliwahi kuja inbox yangu na wao walikuja kama wateja wangu kwa sababu hiyo walikuja sio wateja ila walikuja kama wapelelezi kwangu sababu huduma yangu natoa ushauri na matibabu na kama mtu anakuja kwangu still ninazo dawa hebu niulize mtu akija kuuliza dawa utampa dawa bure au dawa utauza na kama nitauza hizo dawa beba usika kwamba wewe ndio mimi daktari una dawa unauza utampa mgonjwa huyu bure au atachangia sehemu ya ofisi,



pia tujiulize swali dogo kwamba huduma yangu imekuwa ya watu wengi wanachangia 1,000 na wenye 5,000 lengo kubwa niwazo ambalo tulitaka kuanzisha ofisi Tanzania, sasa kuna swali, hapa kuna ubaya gani kama mtu nimfuasi wangu akija nikamwomba achangie ujenzi na support ya ofisi hapo nakosea na huo ni utaperi aya sasa ofisi baada ya wale wachache kuchangia tulianzisha na ipo na inafanya kazi kwa kutumia mchango wa wale ambao walikuwa na imani kuwa nipo kusaidia wengine na wao wanaguswa kusaidia kila nacho kifanya tuache roho binafsi kwamba mtu akifanya kitu chema upande wapili anakuwa kama anabana ridhiki isiwe hivyo sisi wote ni waafrika tunapoishi kwa majungu na kusingiziana vitu hakuna ambaye yupo bora sisi ni wana wa mama afarika ngozi zetu nyeusi sisi ndio watu wa kwanza kupigana majungu na sio kusaidiana mtu asonge mbele kama mtu anakosea kuchangia anakosea kuomba wafuasi wake mchango ni kheri kumpa ushauri asiombe na mpe sababu na sio kumpoiga vijembe na kumjadili kisa tu anasaidia wengine au kisa tu hamjui kwa picha huo ni ushamba na siku zote wema huwa hawafi kwa mambo ya kijinga
Umekuja JF huku ndio utakuwa mwisho wa Utapeli wako, wait n see.

Kuna Mtu mzito amekimbia hapa JF.
 
KWANZA NISEME KUWA SIPO HAPA KUPIGANA NA KUBISHANA NA MTU ILA NIPO HAPA KUTAKA KUJUA SWALI MOJA KWAMBA MTU ANAWEZA AKAWA ANATUMIA PICHA NDIO SIO YAKE ILA UZITO WA MHIMU TUKAUTUPA KWINGINE SABABU SIONI UZITO WA MTU NI ZILE CONTENT ALIZO NAZO NA SIO PICHA ALIZONAZO YANI NI SAWA NA KIGOGO AMBAYE WATU WANAWAZA KUMJUA HATA KWA SURA ILA WANASAHAU ZILE CONTENT NDIO KITU MHIMU KINA MATTER NA SIO PICHA NADHANI TUKIJA UPANDE WA PILI UTAONA KWAMBA PICHA sio mada mhimu hapa kikubwa tuangalie tunaisadia vipi jamii katika changamoto za kiafya na maswala ya kiuchumi.


Zipo hoja za msingi kama zilivyo tanguliwa kusema, naweza kusema kila mtu akila binadamu ana mdomo pia ana fikira anaweza kusema kile anacho feel kuwa anaweza kukisema kutokana na mawazo yake binafsi ukweli nikwamba zipo porojo za watu wanasema kwamba mimi nitaperi hebu tujiulize ni nani ambaye nimewahi kumtaperi mfano mzuri ni watu ambao waliwahi kuja inbox yangu na wao walikuja kama wateja wangu kwa sababu hiyo walikuja sio wateja ila walikuja kama wapelelezi kwangu sababu huduma yangu natoa ushauri na matibabu na kama mtu anakuja kwangu still ninazo dawa hebu niulize mtu akija kuuliza dawa utampa dawa bure au dawa utauza na kama nitauza hizo dawa beba usika kwamba wewe ndio mimi daktari una dawa unauza utampa mgonjwa huyu bure au atachangia sehemu ya ofisi,



pia tujiulize swali dogo kwamba huduma yangu imekuwa ya watu wengi wanachangia 1,000 na wenye 5,000 lengo kubwa niwazo ambalo tulitaka kuanzisha ofisi Tanzania, sasa kuna swali, hapa kuna ubaya gani kama mtu nimfuasi wangu akija nikamwomba achangie ujenzi na support ya ofisi hapo nakosea na huo ni utaperi aya sasa ofisi baada ya wale wachache kuchangia tulianzisha na ipo na inafanya kazi kwa kutumia mchango wa wale ambao walikuwa na imani kuwa nipo kusaidia wengine na wao wanaguswa kusaidia kila nacho kifanya tuache roho binafsi kwamba mtu akifanya kitu chema upande wapili anakuwa kama anabana ridhiki isiwe hivyo sisi wote ni waafrika tunapoishi kwa majungu na kusingiziana vitu hakuna ambaye yupo bora sisi ni wana wa mama afarika ngozi zetu nyeusi sisi ndio watu wa kwanza kupigana majungu na sio kusaidiana mtu asonge mbele kama mtu anakosea kuchangia anakosea kuomba wafuasi wake mchango ni kheri kumpa ushauri asiombe na mpe sababu na sio kumpoiga vijembe na kumjadili kisa tu anasaidia wengine au kisa tu hamjui kwa picha huo ni ushamba na siku zote wema huwa hawafi kwa mambo ya kijinga
Mimi baada ya kuona unaandika 'mhimu' badala ya 'muhimu'
'Taperi'badala ya 'tapeli' nimegundua ww ni wa mchongo
na ulivyotumia maandishi makubwa ndo basi tena ......wale wale...
 
Nilivyoiona hiyo picha tu...nikaitambua...

Hakuna Dr hapo .. hiyo picha iko viral sana google...

Nilianza kuiona na kuipenda tangu 2012... Baada ya kusearch "Doctor photos"

Labda mimi ndie sijui... Ila nenda kwenye Goole photos.. image search... Itakuletea ukweli wa hicho nnachokwambia...




Teknolojia haijawahi danganya... Huyo ni kama marehemu ng'wizukulu jilala... Ama msanii Jj mwaka!



Mpigaji wa Daraja la kwanza!
1700413869510.png

Uki reverse search hiyo picha kwenye google images, inakuja na mpaka na kichwa cha Obama
Ilishatred sana hii picha
Huyu sijui katokea pori gani?
 
Nilivyoiona hiyo picha tu...nikaitambua...

Hakuna Dr hapo .. hiyo picha iko viral sana google...

Nilianza kuiona na kuipenda tangu 2012... Baada ya kusearch "Doctor photos"

Labda mimi ndie sijui... Ila nenda kwenye Goole photos.. image search... Itakuletea ukweli wa hicho nnachokwambia...




Teknolojia haijawahi danganya... Huyo ni kama marehemu ng'wizukulu jilala... Ama msanii Jj mwaka!



Mpigaji wa Daraja la kwanza!
Ndio ni picha ya mtandaoni, ni model mmoja sema nimemsahau jina
 
View attachment 2819031
Uki reverse search hiyo picha kwenye google images, inakuja na mpaka na kichwa cha Obama
Ilishatred sana hii picha
Huyu sijui katokea pori gani?
DJ Walete, huyu kajileta mwenyewe, hapa JF ndio utakuwa mwisho wa Utapeli wake na kuungaunga story.
 
Mimi binafsi simuoni kama tapeli maana amenisaidia hasa hii miti shamban yupo vizuri sana huyu jamaa na anafundisha Bure! Shida ni kwenye kutabiri mara mechi za Simba na Yanga na mambo ya siasa walakini angejikita kwenye taaluma Yake. Jamaa mara atabiri ajari mara magonjwa Kwa wasanii hapo ndo anabugi Kwa sababu ajari zipo tu
 
Mimi binafsi simuoni kama tapeli maana amenisaidia hasa hii miti shamban yupo vizuri sana huyu jamaa na anafundisha Bure! Shida ni kwenye kutabiri mara mechi za Simba na Yanga na mambo ya siasa walakini angejikita kwenye taaluma Yake. Jamaa mara atabiri ajari mara magonjwa Kwa wasanii hapo ndo anabugi Kwa sababu ajari zipo tu
Hiyo mitishamba unaweza kuitaja?
 
Hiyo mitishamba unaweza kuitaja?
Mshenzi wewe unavidonda vya tumbo na mimi Doctor William nipo hapa [emoji35]

Kuku wewe, nakupa dawa itakusaidia sasa ole wako ukawapw wengine kwa hela mshenzi wewe,

Chukua haya majani faster nimesema, chizi wewe unazuba nini 🥸

Chukua yaoshe,
Afu yaponde ponde, yawe kama kisamvu.

Safi,
Yachemshe [emoji91] wacha yaive kuku wewe, kwani mimi ndio nilikupa madonda ya tumbo, siujinga wako unakula mdaa umeenda, ulidhani usingepata madonda ya tumbo mbuzi wewe,

Kula ni kwa faida yako,
Nyagau wewe, kula hadi ukumbushwe, mdaa na kula wewe upo busy na umbea kenge kabisa wewe,

Nakuona unavyosoma huku unacheka [emoji16] aya chukua chukua glass uwe unakumix na majivu ya mkaa ambayo yamechujwa kisha _ kijiko kimoja koroga kunywa kila siku asubhi.

Ukiendelea kuumwa vidonda vya tumbo niite taperi nipo hapa nasubiri mrejesho...

Tikiti ni SoMo jingine na huo mmea ndo kazungumzia vingi inshort masomo ni mengi kama hujamfatalia unaweingia fb ukampata sema amejaa matusi yasiyo na sababu nk. Kuhusu kuomba pesa halazimishi mtu mwenyew sijawahi tuma Hela ukiamua kutapeliwa basi ni wewe wengine tunafaidika na mambo mengi kule
Screenshot_20231119-213857.jpg
FB_IMG_1700419242799.jpg
 
Hiyo mitishamba unaweza kuitaja?
LEO NATAKA KUWAPA DAWA YA KUTOA HARAFU

Kinywa chako kinatoa harufu, isiyoeleweka hata unakosa kukaa na kuongea na watu sababu ya harafu.

Basi chukua huu ushauri wangu utakusaidia, sana

Chukua
1. LIMAO 1
2. CHUMVI KIJIKO 1
3. MDARASINI VIJIKO 3
4. PUNJE ZA KARAFU

JINSI YA KUCHANGANYA
(Hii mix yako utakapoianda, hakikisha unatumia usiku na asubhi) maana faida yake pia hungalisha na meno kuwa masafi na hata kutibu kama meno yametoboka.

Anza kwa kusaga karafuu upate unga laini, na mix na unga wa mdarasini

Mix chumvi kwenye bakuri, pana kisha tia maji ya limao anza kutitia mchanganyo wako wa karafu + mdarasini taratibu kwenye bakuri lenye maji ya chumvi na limao pata rojo nzito.

Rojo hii, iweke kwenye mswaki pigia mswaki usiku na asubhi utakuja kuniambia mimi nimemaliza.


Sasa hapo Kuna utapeli Gani? Maana unajifunza ukiona huwezi hiyo tuba unawaachia wanao weza simple tu na kasaidia watu wengi sana Mimi Kuna jirani yangu alikuwa anasumbuliwa na jino mno siku Moja akapost SoMo la jino nikamwambia ajaribu Hadi Leo kashapona akataka kunipa 25 nikamwambia hata Mimi nilisoma mtandaon tu swali mtu kama huyo kama kasoma mwenyew akiamua kutuma kama shukran je atakuwa katapeliwa?
FB_IMG_1700419811458.jpg
 
Huyo jamaa ni tapeli, katapeli washamba wengi kwakujifanya anatibu ukimwi.
Anatumia picha ya mwanamitindo flan uko majuu.
Mbwembwe zake wala zisikuumize kichwa hana tofauti na popoma genta.
So Genta naye ni tapeli kumbe
 
Back
Top Bottom