Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tuambie ni lini Magufuli pamoja na udikteta wake aliteua mawaziri 4 au 5 kutoka mkoa mmoja? shame on you
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
4 (Ummy, January, Aweso na FA)Kwaiyo kama Magufuli alikosea na yeye Samia akosee. Kwanini anateua Mawaziri wa wengi kutoka Pwani, Tanga na Zanzibar na kuacha Mikoa mingine ambayo ndiyo mtaji wa kura za CCM. Pwani peke yake ina Mawaziri 5, Tanga 3 na Zanzibar 5 wakati Mikoa ya Tabora 0, Rukwa 0 nk.
Huko alikoelekeza nguvu ndiyo watampigia kura na ata wakipiga wapo wangapi?
Chunguza halmashauri nyingi zilikuwa na watendaji wa kutoka mikoa ipi.Nani anaweza kulileta baraza la mawazili la jpm hapa ili tujue ni mkoa gn wa wasukuma ulikuwa na mawazili wengi?
Shame on you inakuhusu wewe pia. Nimeongelea halmashauri na mabosi wake sijaongelea mawaziri wala wasaidizi wao.Tuambie ni lini Magufuli pamoja na udikteta wake aliteua mawaziri 4 au 5 kutoka mkoa mmoja? shame on you
Hawajawahi kutegemea kura za kupigwa. Angalia mabadiliko necKwaiyo kama Magufuli alikosea na yeye Samia akosee. Kwanini anateua Mawaziri wa wengi kutoka Pwani, Tanga na Zanzibar na kuacha Mikoa mingine ambayo ndiyo mtaji wa kura za CCM. Pwani peke yake ina Mawaziri 5, Tanga 3 na Zanzibar 5 wakati Mikoa ya Tabora 0, Rukwa 0 nk.
Huko alikoelekeza nguvu ndiyo watampigia kura na ata wakipiga wapo wangapi?
Mbaya zaidi ni yule aliyekuwa DPNakumbuka IGP, Chief Justice, CAG, CDF, AG, Bandari, AT, BOT, Fedha.
Kwa mfano tu. Ni kwa mfano tu
Angalia wakuu wa mikoa 30 wa kwanza wa Maghufuli kuteua. Zaidi ya nusu yao walikuwa kabila moja. Tafuta list utaona aibu.Nani anaweza kulileta baraza la mawazili la jpm hapa ili tujue ni mkoa gn wa wasukuma ulikuwa na mawazili wengi?
Unamanisha DPP?Mbaya zaidi ni yule aliyekuwa DP
Mwana FA hana elimu?? jitahidi hata kufuatilia ili utambue ila kwa kifupi ana Masters of Science aliyoisomea Uingereza, ukiacha muziki ambayo yupo vyema kwenye elimu pia yupo vizuriMwana FA hana elimu sawa ila je ni waziri au naibu waziri?