Wanaomteua makonda huwa wanaona nini kutoka kwake?

Wanaomteua makonda huwa wanaona nini kutoka kwake?

He may not be the best person for the job unayotamani awe, lakini hii ya Land Rover kawa mbunifu

If you don’t get it, forget about it
Faida yake ni ipi Kwa mtu aliye dar kigamboni?
 
Landrover festival faida yake ni kuwa tunaouza spare parts za landrover tumepiga sana pesa msimu huu.

Wanaopiga rangi wamepiga pesa, mafundi seat covers wamepiga pesa, mechanics wamepiga pesa, watu wa hotel wamefanya biashara maana ni zaidi ya landrover 1,000+ ziko Arusha.

Vituo vya mafuta wameuza sana diesel, wafugaji wameuza sana wanyama maana pale kisongo zinauzwa nyama choma mbaya mbovu kwanzia leo, bodaboda & daladala wanapiga pesa watu wanatoka mjini kwenda kuangalia hilo tamasha

Ni wewe tu kutumia fursa ya mkusanyiko wa watu kupeleka biashara yako
 
  • Thanks
Reactions: FWC
Landrover festival faida yake ni kuwa tunaouza spare parts za landrover tumepiga sana pesa msimu huu.

Wanaopiga rangi wamepiga pesa, mafundi seat covers wamepiga pesa, mechanics wamepiga pesa, watu wa hotel wamefanya biashara maana ni zaidi ya landrover 1,000+ ziko Arusha.

Vituo vya mafuta wameuza sana diesel, wafugaji wameuza sana wanyama maana pale kisongo zinauzwa nyama choma mbaya mbovu kwanzia leo, bodaboda & daladala wanapiga pesa watu wanatoka mjini kwenda kuangalia hilo tamasha

Ni wewe tu kutumia fursa ya mkusanyiko wa watu kupeleka biashara yako
Unaangalia then unakuwa benefited with what?
 
Hicho kinachoitwa Land Rover Festival ni kama marathons za bongo
Nakataa landrover festival ni tofauti na Marathon kwenye marathon hautauza spare za magari kama ilivyo kwa landrover, mafundi hawapati kazi kama walivyopata wakati huu wa landrover, vituo vya mafuta hawauzi diesel kwenye marathon kama kwenye landrover festival
Kwahiyo landrover inanufaisha watu wengi kuliko marathon
 
Makonda ni "Mwanamkakati madhubuti sana", watu wa ndani ndio wanajua Impact yake! Yule ndio Alikua JIWE mwenyewe kwenye utawala wa JIWE.
 
Unaangalia then unakuwa benefited with what?
Unakua benefited kwenye kuuza spare parts, kubeba abiria kwenye bodaboda, enjoyment, hotel zinajaa, vyakula vinauzwa vya kutosha, vinywaji vya kutosha, Vituo vya mafuta Diesel, petrol inauzwa sana ni wewe tu fursa iko mlangoni ukiamua kulala ni juu yako
 
Makonda ni "Mwanamkakati madhubuti sana", watu wa ndani ndio wanajua Impact yake! Yule ndio Alikua JIWE mwenyewe kwenye utawala wa JIWE.
Mikakati unaelewa lakini maana yake?
 
Yale mafunzo ya usalama wa ccm yakimchongo aliyoendaga kusoma nje ndiyo anayotamba nayo!
 
Bahati
Kumiliki siri nyingi za watu fulani
Asili ya chama alichopo

Kuhusu uwezo wa kiutendaji -nadhani kuwa na uwezo wa kiutendaji inaweza isiwe sifa kuu Kama kuwa na uwezo wa kukaa katika limelight.
 
Makonda anawaumiza sana vichwa sijui kwanini? Huku mnamchukia na headline kila saa, kwann msimpuuze?
 
Ivi Kuna kitu Gani makonda positive ambacho amewahi Fanya jamii mzima ikaguswa?

Hii LAND ROVER FESTIVAL INA FAIDA GANI?

naomba mwenye kunipa faida tatu za hiki kitu naomba anifahamishe
Kwani wasafi festival Ina faida gani?
 
Faida yake ni ipi Kwa mtu aliye dar kigamboni?
Mkuu wa mkoa wa Arusha anafanya tukio la mkoani kwake Arusha halafu unauliza faida kwa mtu wa dsm, wewe jamaa ni hater wa kiwango cha sgr.
 
1. Michezo huunganisha watu
2. Promoting Utalii as Arusha ni kitovu cha tourism
3. Usisahau Royal Tour Impact
4. Uchumi wa eneo husika kukua i.e pa kulala,bars,vyakula, bodaboda etc

Kama hayo yote hujawahi kuyafikiria wewe utakua una shida kifikra
 
Back
Top Bottom